Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Garnacho pamoja na talent aliyonayo kitu anachonikera ni kuwa mchoyo na siyo mara ya kwanza anafanya hivi. Mimi ni heri acheze mchezaji anayeonekana ana talent ya kawaida lakini anacheza kama timu.

Sancho, Pellistri, Diallo, Martial ni wachezaji wazuri sana wanaocheza kama timu. Hata Greenwood kipindi anaanza kupata namba alikuwa na mambo hayahaya ila tofauti yake na Garnacho ana uwezo mkubwa wa kufunga. Sasa Garnacho anakaa na mali halafu hafungi.
Mabingwa watarajiwa hamjambooooooo?
 
Garnacho pamoja na talent aliyonayo kitu anachonikera ni kuwa mchoyo na siyo mara ya kwanza anafanya hivi. Mimi ni heri acheze mchezaji anayeonekana ana talent ya kawaida lakini anacheza kama timu.

Sancho, Pellistri, Diallo, Martial ni wachezaji wazuri sana wanaocheza kama timu. Hata Greenwood kipindi anaanza kupata namba alikuwa na mambo hayahaya ila tofauti yake na Garnacho ana uwezo mkubwa wa kufunga. Sasa Garnacho anakaa na mali halafu hafungi.
Mtoto mpuuzi sana yule kana ego za kijinga mno.
 
Sema jana tuliupiga mwingi sana hayo mengine makosa ya kawaida tu tulishindwa wenyewe kuua game kwa nafasi tulizopata.

Muhimu tuna uwezo wa kurudisha goal wakitutangulia sio kipindi cha rangnick tukiwekwa tu goal ujue nitolee io.
 
Back
Top Bottom