Hii ya lindelof?Hii sub ya sasa sijaielewa
Ndio.Hii ya lindelof?
































































Sio timu yenu kila timu ina wachezaji viongoz mkuu hao wanakuwa chachu ya kila kitu
Hii timu yetu tukubali tukatae, ni Casemiro na Eriksen. Bila hawa watu wawili tutapata tabu sana.
Kile kitoto kilichokosa 2 open chances kimetucost sana hii mechi, katafutiwe timu kwa mkopo kakakue Kidogo.
Tusingeanza na huyu ngongoti na Garnacho hii game tungeshinda vizuri tu.Garnacho na fred wametuangusha sana leo na nafikiri hakuna haja ya kuanza na huyu ngongoti anatuchelewesha tu
Hujajua tu wewe...asingekuwepo Fred unadhani baada ya Casemiro kuumia nani angecheza hapo kati..kapambana sana katibua tibua sana ukiacha makosa madogo madogo. Yule Dalot ndio utopolo mtupu.Garnacho na fred wametuangusha sana leo na nafikiri hakuna haja ya kuanza na huyu ngongoti anatuchelewesha tu
10 Hag sijui hua anafikiriaga nini kumuanzisha Garnacho?Tusingeanza na huyu ngongoti na Garnacho hii game tungeshinda vizuri tu.