Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ww Ni mropokaji
 
Ww Ni mropokaji
Soma hizo stats angalia na matokeo halafu utasema nani mropokaji.

1.67xG tulifunga magoli mangapi? Tena hapohapo Emirates tukiwa hatuna DM wetu. Tulikuwa tushawaweka sehemu mbaya hata kwa droo tu, City alikuwa anawapumulia na nyie nina 100% mtatoka 1st position kama siyo siku za karibuni, April lazima muachie.
 
Sources close to Qatar Sports Investments have confirmed that there is interest in Manchester United.


#TheAthletic
#TrustTheProcessETH

#GlazerOUT

#GGMU


man utd |View attachment 2496175
Daahhh hawa wa Qatar wana pesa kama uchafu, Man Utd ikiangukia kwenye mikono yao kina Arsenyani na Kroenke's wao watateseka sana kipindi cha usajili, maana hizo £100m za Anthony zinawauma kwelikweli utafikiri zimetoka kwenye mifuko yao.
 
Daahhh hawa wa Qatar wana pesa kama uchafu, Man Utd ikiangukia kwenye mikono yao kina Arsenyani na Kroenke's wao watateseka sana kipindi cha usajili, maana hizo £100m za Anthony zinawauma kwelikweli utafikiri zimetoka kwenye mifuko yao.
Rio Ferdinand

"Huyu Anthony tumepigwa"
 
Ww ropoka Ila ulitamba utashinda Emirates
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…