Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
Ww ropoka Ila ulitamba utashinda EmiratesSoma hizo stats angalia na matokeo halafu utasema nani mropokaji.
1.67xG tulifunga magoli mangapi? Tena hapohapo Emirates tukiwa hatuna DM wetu. Tulikuwa tushawaweka sehemu mbaya hata kwa droo tu, City alikuwa anawapumulia na nyie nina 100% mtatoka 1st position kama siyo siku za karibuni, April lazima muachie.
Sasa hivi upo ktk hali ganArsenal hii mechi hawatoboi. Kipigo ni palepale Emirates.
Wewe mropokaji umepotea Baada ya kichapoHalafu wamekariri team ya msimu uliopita waliyoifunga Emirates viungo walicheza Matic na McTomminay
Mpira wa janja janja hauna nafasiJumapili tutawaonesha mpira wa ujanja ujanja ,wakuvizia kaunta hauna nafasi ,na haufai katika harakati za kupigania ubingwa
Manyua Haina pesaBaada ya dili la Wout na Butland kukamilika hakuna tetesi nyingine au mpaka summer ?
All in all, kikosi kimesheheni tuombe tu tusipate majeruhi key players !
Unasema una project huku unajenga timu kupitia wazee
Kwa timu ya kupaki BasiTukishashinda mechi ya arsenal baada ya hapo natabiri mechi zote 17 zilizobakia ni win win
IlikuwajeUnited pass 3 mpk 5 goal, hii ndio nature ya united.....arsenal wanaleta dharau kwa boss wao, tutawashagaza
Huu uropokaji wenu ndio unafanya Sasa muwe wakali [emoji1787]Wakati united wanawapakua arsena8 3-1 huyo boya alikua hayupo? Tena siku ile shukuruni gari lilikuwa halijawaka, jumapili kuna 8 zingine zinakuja
Hiyo mechi tulikuwa na nafasi ya kuondoka hata na point Emirates na takwimu zilikuwa on point. United akiwa away ana 1.67xG na tulifunga magoli mawili lakini shida kubwa mchezaji muhimu kwenye defense yetu hakuwepo, tungewezaje kuizuia Arsenal kwa dk 90 isipate magoli zaidi ya mawili? Tulishindwa na nimekubali Arsenal walistahili points 3 lakini pamoja na dominance yao walishindwa kumaliza mechi mapema.Ww ropoka Ila ulitamba utashinda Emirates
Huu hapa ndio utopolo wenu Arsenyani.Angalia takwimu utajua yupi mbovuView attachment 2496143
Labda sio Emirates hiHiyo mechi tulikuwa na nafasi ya kuondoka hata na point Emirates na takwimu zilikuwa on point. United akiwa away ana 1.67xG na tulifunga magoli mawili lakini shida kubwa mchezaji muhimu kwenye defense yetu hakuwepo, tungewezaje kuizuia Arsenal kwa dk 90 isipate magoli zaidi ya mawili? Tulishindwa na nimekubali Arsenal walistahili points 3 lakini pamoja na dominance yao walishindwa kumaliza mechi mapema.
Msimu huu Man City tu ndiyo alifanya total dominance dhidi yetu, walitukamata kila mahali ile mechi ya kwanza.
Hii inaonesha jinsi gani timu yenu Bado ,ndio maana mnategemea individual brilliance za RashidiHuu hapa ndio utopolo wenu Arsenyani.
Arsenal Total shots 25 On target 5
Man utd Total shots 6 On target 4
Nyie Arsenyani msipende kujifananisha na sisi, ushindi wetu hauhitaji Attempts 30 ndio tupate goli 1 kama nyinyi [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2496222
Our number 10 has scored 10 goals in 10 games for Erik 10 Hag[emoji91]Marcus Rashford since the World Cup [emoji2962]
#TrustTheProcessETH[emoji1179]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]
man utd |View attachment 2496174
Hicho unachokitaka wewe nimekwambia sio utamaduni wetu usitulazimishe, kipindi cha kwanza chote sisi ndio tuliotawala, tulikua na uwezo wa kuattempts zaidi ya mara 30 kwenye goli lenu, kwetu sisi attempts zisizo na malengo ya kufunga goli sio utamaduni wetu broo.Hii inaonesha jinsi gani timu yenu Bado ,ndio maana mnategemea individual brilliance za Rashidi
Sio kwamba hampendi kutawala mechi ,ila mnazidiwa na kupelekewa Moto
Sio kwamba Zile hasa dk 20 za mwisho mlipenda kukaa nyuma ,Ni mlilazimishwa
Sio kweli kwamba mliruhusu kwa hiari Arsenal awapigie mashuti 20 ndani ya box lenu na 5 nje ya box ,Mlilazimishwa
Kipindi gani Cha Kwanza mlitawala ? Mechi ipi?Hicho unachokitaka wewe nimekwambia sio utamaduni wetu usitulazimishe, kipindi cha kwanza chote sisi ndio tuliotawala, tulikua na uwezo wa kuattempts zaidi ya mara 30 kwenye goli lenu, kwetu sisi attempts zisizo na malengo sio utamaduni wetu.
Attemps 3 kwa goli 1 hio ndio standard yetu Manchester United.
Wakati mnapelekewa Moto ,mashabiki wa Arsenal walikuwa wanaimbaHuu hapa ndio utopolo wenu Arsenyani.
Arsenal Total shots 25 On target 5
Man utd Total shots 6 On target 4
Nyie Arsenyani msipende kujifananisha na sisi, ushindi wetu hauhitaji Attempts 30 ndio tupate goli 1 kama nyinyi [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2496222
Wanga wengi.Sisi tukishinda hamtaki tushangilie[emoji16] tukifungwa nyie mnashangilia.
Notting 1-Liva 0
Notting 2 - Tott 0
Notting 1- Chelsea 1