Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hizi ndiyo aina ya mechi zinawapa kiburi Arsenal

7 shots on target conceded against Spurs (wakiwa na DM wao) halafu timu kama United ambayo ilipata a total of 4 shots on target against City ni mbovu kwasababu watacheza Emirates.

United wakiwa away wana 1.67xG. A proper humbling ndiyo kitu itawafaa Arsenal, wanajisahau sana.

View attachment 2486472
Kaka mbona Arsenal inakunyima usingizi sana
 
United mechi aliyoongoza kwa ball possession against big 6 ni ya Spurs tu nyingine zote opponents ndiyo wanakaa sana na mpira lakini kipigo kinakuwa kwao.

Kama kawaida yetu pasi 5 goli. Nyie Arsenal mnatamba sana kwasababu mmewafunga wachovu kama Spurs. Yale magoli ni moja tu la Captain ndiyo utahesabu kama kitu Arsenal walifanya kwenye ile mechi. 2nd half timu ilikatika mlipoteana sana na mlipelekewa moto.

Hii mechi mmeirahisisha sana lakini hamjui kitu mnachoenda kukutana nacho, nyie mnaamini atmosphere ya Emirates tu, pale tuna wachezaji wamecheza Camp Nou, wamecheza kwenye big stages unadhani Emirates ni sehemu utaweza kuwapoteza?

Jiulize, mnaenda kukutana na timu ya aina gani? Ni tofauti kabisa na ile iliyowapiga 3. Bora zaidi!
Tutarudi humu kufukua hii comment, hatuongei sana
 
Arsenal's recent Premier League home record vs Manchester United:
21/22 - 3-1 Win
20/21 - 0-0 Draw
19/20 - 2-0 Win
18/19 - 2-0 Win
17/18 - 3-1 Loss
16/17 - 2-0 Win
15/16 - 3-0 Win
 
Debut for Wout Weghorst

GGMU.

Screenshot_20230118-220944_Instagram.jpg
 
Kosi la ushindi liko wapi ndugu zangu wa title contenders?

Yani mnaiwazia sana gemu ya j'pili kuliko hii ya leo
 
Hizi ndiyo aina ya mechi zinawapa kiburi Arsenal 😁

7 shots on target conceded against Spurs (wakiwa na DM wao) halafu timu kama United ambayo ilipata a total of 4 shots on target against City ni mbovu kwasababu watacheza Emirates.

United wakiwa away wana 1.67xG. A proper humbling ndiyo kitu itawafaa Arsenal, wanajisahau sana.

View attachment 2486472
Arsenal wanaongea kama vile akiwepo Partey mpinzani hapati shot on target hata moja. Kwa kweli ile game yao na spurs,ni bahati haikuwa upande wa spurs tu ila walitengeneza nafasi nyingi nzuri sana ila Ramsdale alifanya kazi yake vizuri sana.
 
Back
Top Bottom