Asante mkuuDebut for WoutView attachment 2486717
Arsenal wanaongea kama vile akiwepo Partey mpinzani hapati shot on target hata moja. Kwa kweli ile game yao na spurs,ni bahati haikuwa upande wa spurs tu ila walitengeneza nafasi nyingi nzuri sana ila Ramsdale alifanya kazi yake vizuri sana.Hizi ndiyo aina ya mechi zinawapa kiburi Arsenal 😁
7 shots on target conceded against Spurs (wakiwa na DM wao) halafu timu kama United ambayo ilipata a total of 4 shots on target against City ni mbovu kwasababu watacheza Emirates.
United wakiwa away wana 1.67xG. A proper humbling ndiyo kitu itawafaa Arsenal, wanajisahau sana.
View attachment 2486472
Kaka malizana na timu ya weusi kwanza, mambo ya Partey baadaeArsenal wanaongea kama vile akiwepo Partey mpinzani hapati shot on target hata moja. Kwa kweli ile game yao na spurs,ni bahati haikuwa upande wa spurs tu ila walitengeneza nafasi nyingi nzuri sana ila Ramsdale alifanya kazi yake vizuri sana.
😀nimekuja nisome hii comment kwanza kabla ya kwenda kibanda umiza....Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha[emoji16][emoji16]
Prediction
Crystal palace 0 vs Manchester united 1
Time
5.00 usiku
GGMU[emoji83][emoji83]View attachment 2486402
Usisahau ramsdale naye ni sehemu ya kikosiArsenal wanaongea kama vile akiwepo Partey mpinzani hapati shot on target hata moja. Kwa kweli ile game yao na spurs,ni bahati haikuwa upande wa spurs tu ila walitengeneza nafasi nyingi nzuri sana ila Ramsdale alifanya kazi yake vizuri sana.
Huyu dogo ni takataka siku hiziBorussia Dortmund are interested in Anthony Elanga.
#FabrizioRomano
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]
man utd |View attachment 2483993
Yani nimehamia online bila kutakaDStv ikinyesha mvua kidogo tu "NO SIGNAL" nashindwa kuona soka la vijana wa EtH ipasavyo.
#GGMU
Mkuu dish lako halijasetiwa vzr mm kwangu wingu likiwa jeusi ndio haionesh lakin kam kuna mvua na wingu la kawaida inaonesha bila kugandagandaDStv ikinyesha mvua kidogo tu "NO SIGNAL" nashindwa kuona soka la vijana wa EtH ipasavyo.
#GGMU
Aaah! Ntafuatilia nijue maana kipindi hiki cha mvua ni tatizo.Mkuu dish lako halijasetiwa vzr mm kwangu wingu likiwa jeusi ndio haionesh lakin kam kuna mvua na wingu la kawaida inaonesha bila kugandaganda