NtYga
JF-Expert Member
- Aug 23, 2018
- 4,965
- 12,757




Pale EPL hakuna kocha Ata mmoja anaweza kuja msumbua Eric ten hag mda tu ndio utakao amuaErik ten Hag has beaten Pep Guardiola, Jurgen Klopp, Antonio Conte and Mikel Arteta in his first six months at Man United.
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2481396
Real Madrid waliamua kutupa zawadi ya casemiro
Kipara Kuna watu hawwezi kimbinu mwiaka Milioni Ten hag,don Carlo,conte labda awazid uwezo wa mchezaji mmoja mmoja ila technically awo sio level zakoHuyu kipara pep alifikiri anacheza na wapaka poda wa chelsea
Lkn kocha mmj hiv namuona hajatulia kabisa. Mzee mzima van gal namuona ni aged lkn stupid.Erick ni master wa dutch ni moja kati ya watu wenye intelligence kubwa ya soka
Van dijk alimdanganya nini mwenzie maana hata vaan gaal ndio anavyoshawishi wachezaji wasiende unitedGakpo listened to Van Dijk and didn’t join Man Utd
#Joke
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2481406
Subiri mechi ijayo kama utamuona huyo na fred.Kocha ananata na bit tangu huyo jamaa Wan-Bissaka arud hakuna game tumepoteza na kufungwa n magoli machache alafu jamaa anakaba sana na kushambulia
Mmepigwa tena 100 Mudryk, huyo chakinolisi hawezi kua naproject ya kueleweka.Nyie mambanga saivi munashinda shinda meno yote nje nje sasa hongereni kwa ilo ila sisi puroject etu ikikaa sawa aise nawambieni mutajua hamujui unaona jinsi tunavyoshusha vyuma!? Yani musimu ujao sijui mutaweka wapi sura zenu maana tutagawa dozi ile mithili ya mateso ya yesu.. hii timu enu ya kuunga unga na uyu kocha enu anawaletea waholanzi tu nawambiya mutakuwa na wakati mugumu sana
#CFC![]()
kwa maono yako unaona Van Gaal yupo sawa?..?Van dijk alimdanganya nini mwenzie maana hata vaan gaal ndio anavyoshawishi wachezaji wasiende united