Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyie mambanga saivi munashinda shinda meno yote nje nje sasa hongereni kwa ilo ila sisi puroject etu ikikaa sawa aise nawambieni mutajua hamujui unaona jinsi tunavyoshusha vyuma!? Yani musimu ujao sijui mutaweka wapi sura zenu maana tutagawa dozi ile mithili ya mateso ya yesu.. hii timu enu ya kuunga unga na uyu kocha enu anawaletea waholanzi tu nawambiya mutakuwa na wakati mugumu sana
#CFC💙💙💙💙
Mkuu samahani hivi kwa huu mwandiko wako, wa (munashinda,mutajua,musimu,mutaweka,nawambiya,mutakuwa na mugumu).

Duh, ulipita hata memkwa kweli, kwa huu uandishi wako ebu tulia uandike Vizuri kwanza hakuna nukta Wala mkato. Afu unalamika huku wakati nafasi ya chely wowo na united kimsimamo ni tofauti msimu huu nakuzidi kila kitu.

Nyie pambaneni na maboya wenzenu wa London kuibiana vituko kina mudryk, na kusajili hovyo maboya wengine ili mshiriki Europe msimu ujao.
 
Mkuu samahani hivi kwa huu mwandiko wako, wa (munashinda,mutajua,musimu,mutaweka,nawambiya,mutakuwa na mugumu).

Duh, ulipita hata memkwa kweli, kwa huu uandishi wako ebu tulia uandike Vizuri kwanza hakuna nukta Wala mkato. Afu unalamika huku wakati nafasi ya chely wowo na united kimsimamo ni tofauti msimu huu nakuzidi kila kitu.

Nyie pambaneni na maboya wenzenu wa London kuibiana vituko kina mudryk, na kusajili hovyo maboya wengine ili mshiriki Europe msimu ujao.
Ahhhh kiswahili kweli kigumu
 
The Peter Drury's commentary on Marcus Rashford winner hits differently

#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
 
😁😁😁
AENbmk.jpeg
 
Kama unahisi mancity kaonewa leta timu yako OT
Wameanza uchawi, marcus rashford ndiye aliyekuwa offside lakin naye alijijua kuwa yupo offside na hakuugusa ata kidogo huo akamuachia the killer bruno Fernandez akikimbia kutokea nyuma na kuuwahi mpira na kuachia bonge ya shoot adi goal.... Kama Rashford angeupiga ule mpira ingekuwa ni offside.
 
Nyie mambanga saivi munashinda shinda meno yote nje nje sasa hongereni kwa ilo ila sisi puroject etu ikikaa sawa aise nawambieni mutajua hamujui unaona jinsi tunavyoshusha vyuma!? Yani musimu ujao sijui mutaweka wapi sura zenu maana tutagawa dozi ile mithili ya mateso ya yesu.. hii timu enu ya kuunga unga na uyu kocha enu anawaletea waholanzi tu nawambiya mutakuwa na wakati mugumu sana
#CFC💙💙💙💙
sasa hivi mmekuwa Clowns, Toka Woodward aondoke kampa kijiti Boehly.
 
Wameanza uchawi, marcus rashford ndiye aliyekuwa offside lakin naye alijijua kuwa yupo offside na hakuugusa ata kidogo huo akamuachia the killer bruno Fernandez akikimbia kutokea nyuma na kuuwahi mpira na kuachia bonge ya shoot adi goal.... Kama Rashford angeupiga ule mpira ingekuwa ni offside.
Sure thing,The best thing yule beki wa city angefanya ni kumchezea rafu rashford badala yake akafanya assumption refa ataona offsude,Bruno amefanya vzr kwa kukimbia bila kuwaza offside ya Rashford (alikua anawaza filimbi tu ndo ingemzuia),It shows fighting spirit ipo juu sana.
 
LVG ni bonge la kocha, ila kufanya kazi na woodward ni kitu kigumu sana, ameprove sehemu nyingi tu kuwa yeye ni top coa
Huyu mzee hapana kwa kweli sio kwa style ya man u yule hafai kabisa huwezi kumuuza Rafaeli halafu ukatumia mabeki kama kina Blanket, kazi yao kurudisha mpira nyuma. Kwangu mimi hakuna kipindi nilikuwa nachukia kuangalia mpira kama kipindi cha Van gal yaan mpira mnacheza na kumiliki nyie haladfu mwishowe mnafungwa.
 
Huyu mzee hapana kwa kweli sio kwa style ya man u yule hafai kabisa huwezi kumuuza Rafaeli halafu ukatumia mabeki kama kina Blanket, kazi yao kurudisha mpira nyuma. Kwangu mimi hakuna kipindi nilikuwa nachukia kuangalia mpira kama kipindi cha Van gal yaan mpira mnacheza na kumiliki nyie haladfu mwishowe mnafungwa.
Waliowauza wachezaji wazuri time ya kina rvg, hovyo sana
 
Huyu mzee hapana kwa kweli sio kwa style ya man u yule hafai kabisa huwezi kumuuza Rafaeli halafu ukatumia mabeki kama kina Blanket, kazi yao kurudisha mpira nyuma. Kwangu mimi hakuna kipindi nilikuwa nachukia kuangalia mpira kama kipindi cha Van gal yaan mpira mnacheza na kumiliki nyie haladfu mwishowe mnafungwa.
sababu hajapewa watu wake anaowataka, in real life mpira sio kama Fifa na Pes unachukua timu unacheza,

LVG alikuwa wazi kabisa anataka nini na hakupewa anachotaka so akachukua hao watoto. LVG ana UEFA ubingwa wa La liga, Bundesliga, Ligi yao uholanzi etc. katoa malegend kibao, hajaanza ukocha na UTD.

angalia wachezaji walioachwa na LVG kama Rafael, Nani na wengineo walifanya nini walivyoondoka UTD? si tu timu kubwa hazijawataka, hata hizo ndogo hawakucheza vizuri.
 
Back
Top Bottom