Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyie mambanga saivi munashinda shinda meno yote nje nje sasa hongereni kwa ilo ila sisi puroject etu ikikaa sawa aise nawambieni mutajua hamujui unaona jinsi tunavyoshusha vyuma!? Yani musimu ujao sijui mutaweka wapi sura zenu maana tutagawa dozi ile mithili ya mateso ya yesu.. hii timu enu ya kuunga unga na uyu kocha enu anawaletea waholanzi tu nawambiya mutakuwa na wakati mugumu sana
#CFC💙💙💙💙
 
Nyie mambanga saivi munashinda shinda meno yote nje nje sasa hongereni kwa ilo ila sisi puroject etu ikikaa sawa aise nawambieni mutajua hamujui unaona jinsi tunavyoshusha vyuma!? Yani musimu ujao sijui mutaweka wapi sura zenu maana tutagawa dozi ile mithili ya mateso ya yesu.. hii timu enu ya kuunga unga na uyu kocha enu anawaletea waholanzi tu nawambiya mutakuwa na wakati mugumu sana
#CFC
Mmepigwa tena 100 Mudryk, huyo chakinolisi hawezi kua naproject ya kueleweka.
 
Van dijk alimdanganya nini mwenzie maana hata vaan gaal ndio anavyoshawishi wachezaji wasiende united
kwa maono yako unaona Van Gaal yupo sawa?..?

Unachotakiwa kujua van Gaal anachuki na waajiri wake wa zamani #ManUtd hivyo hawezi toa maono chanya kutuhusu sisi, na ndio maana kila muda utaona akituponda tu.

Pia LVG yeye ni nani mpaka awe sawa kwa kila shauri atakalotoa?..?
 
GoodMorning RED's

#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230104_232540_152.jpg
 
Nyie mambanga saivi munashinda shinda meno yote nje nje sasa hongereni kwa ilo ila sisi puroject etu ikikaa sawa aise nawambieni mutajua hamujui unaona jinsi tunavyoshusha vyuma!? Yani musimu ujao sijui mutaweka wapi sura zenu maana tutagawa dozi ile mithili ya mateso ya yesu.. hii timu enu ya kuunga unga na uyu kocha enu anawaletea waholanzi tu nawambiya mutakuwa na wakati mugumu sana
#CFC💙💙💙💙
Mkuu samahani hivi kwa huu mwandiko wako, wa (munashinda,mutajua,musimu,mutaweka,nawambiya,mutakuwa na mugumu).

Duh, ulipita hata memkwa kweli, kwa huu uandishi wako ebu tulia uandike Vizuri kwanza hakuna nukta Wala mkato. Afu unalamika huku wakati nafasi ya chely wowo na united kimsimamo ni tofauti msimu huu nakuzidi kila kitu.

Nyie pambaneni na maboya wenzenu wa London kuibiana vituko kina mudryk, na kusajili hovyo maboya wengine ili mshiriki Europe msimu ujao.
 
Mkuu samahani hivi kwa huu mwandiko wako, wa (munashinda,mutajua,musimu,mutaweka,nawambiya,mutakuwa na mugumu).

Duh, ulipita hata memkwa kweli, kwa huu uandishi wako ebu tulia uandike Vizuri kwanza hakuna nukta Wala mkato. Afu unalamika huku wakati nafasi ya chely wowo na united kimsimamo ni tofauti msimu huu nakuzidi kila kitu.

Nyie pambaneni na maboya wenzenu wa London kuibiana vituko kina mudryk, na kusajili hovyo maboya wengine ili mshiriki Europe msimu ujao.
Ahhhh kiswahili kweli kigumu
 
The Peter Drury's commentary on Marcus Rashford winner hits differently

#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
 
Kama unahisi mancity kaonewa leta timu yako OT
Wameanza uchawi, marcus rashford ndiye aliyekuwa offside lakin naye alijijua kuwa yupo offside na hakuugusa ata kidogo huo akamuachia the killer bruno Fernandez akikimbia kutokea nyuma na kuuwahi mpira na kuachia bonge ya shoot adi goal.... Kama Rashford angeupiga ule mpira ingekuwa ni offside.
 
Nyie mambanga saivi munashinda shinda meno yote nje nje sasa hongereni kwa ilo ila sisi puroject etu ikikaa sawa aise nawambieni mutajua hamujui unaona jinsi tunavyoshusha vyuma!? Yani musimu ujao sijui mutaweka wapi sura zenu maana tutagawa dozi ile mithili ya mateso ya yesu.. hii timu enu ya kuunga unga na uyu kocha enu anawaletea waholanzi tu nawambiya mutakuwa na wakati mugumu sana
#CFC💙💙💙💙
sasa hivi mmekuwa Clowns, Toka Woodward aondoke kampa kijiti Boehly.
 
Wameanza uchawi, marcus rashford ndiye aliyekuwa offside lakin naye alijijua kuwa yupo offside na hakuugusa ata kidogo huo akamuachia the killer bruno Fernandez akikimbia kutokea nyuma na kuuwahi mpira na kuachia bonge ya shoot adi goal.... Kama Rashford angeupiga ule mpira ingekuwa ni offside.
Sure thing,The best thing yule beki wa city angefanya ni kumchezea rafu rashford badala yake akafanya assumption refa ataona offsude,Bruno amefanya vzr kwa kukimbia bila kuwaza offside ya Rashford (alikua anawaza filimbi tu ndo ingemzuia),It shows fighting spirit ipo juu sana.
 
Back
Top Bottom