Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huo upande wa beki ya kushoto ya malacia ndio ulikua uchocholo, wa magoli ya man fisi. Cjui kocha ameona niny mpaka kumuweka malacia hapo.
Malacia ile game alicheza vibaya na kidogo tu angekula red..Leo itabidi atulize akili sana..na Shaw amsaidie upande huo.

City tukiwakamata kwenye flanks naamini tutafanya kitu..sina shaka na AWB,naamini atamweka mtu mfukoni.
 
Malacia ile game alicheza vibaya na kidogo tu angekula red..Leo itabidi atulize akili sana..na Shaw amsaidie upande huo.

City tukiwakamata kwenye flanks naamini tutafanya kitu..sina shaka na AWB,naamini atamweka mtu mfukoni.
Fred leo kapewa chance atakiwasha sana hapo kati, ule mguu wale uko kama una sumaku. Garnacho angeanza ili ampe Walker yellow card ya mapema ashindwe kucheza, lakini kuna wakongwe hapo ni ngumu sana dogo kuanza.
 
Kati pako solid, Fred na Casemiro!

Naona licha Hana fitness!

Upande wa malacia akipelekewa Sana Moto huwa anapanic anaweza kula umeme !

Leo Martial atatusuprise, ana kismati na mechi kubwa ! Assist au goal

Huku kwa AWB naona hakuna shida !

Kipindi Cha pili wataingia kina Anthony !

Joao cancelo siku hizi anakabia macho, sio yule ! Let's go

#GGMU
 
Kati pako solid, Fred na Casemiro!

Naona licha Hana fitness!

Upande wa malacia akipelekewa Sana Moto huwa anapanic anaweza kula umeme !

Leo Martial atatusuprise, ana kismati na mechi kubwa ! Assist au goal

Huku kwa AWB naona hakuna shida !

Kipindi Cha pili wataingia kina Anthony !

Joao cancelo siku hizi anakabia macho, sio yule ! Let's go

#GGMU
Mnajitutumuaga [emoji38]
 
  • Thanks
Reactions: K11
Ikiwa hivyo, kesho itakua Totte 2 Aseno 1
Na hivi wako kwao tena? Inawezekana kabisa. Kawaida Sisi tukicheza na Spurs pia tunakuwa tunacheza na FA na PGMOL kwa pamoja hivyo the odds are usually stacked against us. Huwa inatupasa sisi tupae wao wanapotembea.
 
Kosa la kwanza EtH atakalolifanya kesho ni kuanza na kiungo cha Casemiro,Fernendes na Eriksen.

Tunahitaji mkimbiaji hapo katikati..ile game ya sita goli la kwanza lilianzia pale Eriksen alipoacha kucheza tactical foul..Fred atatusaidia kwa kazi hii.
Fred yupo ndani leo, unakiongeleaje kikosi?
 
Back
Top Bottom