Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tumeharibikiwa hapo kwa Martial tu. Lakini nadhani hii ndio mechi yake ya mwisho kuanza baada ya usajili wa kijana mpya jana. Mvivu tu kukimbia na ma-gloves yake mikononi sijui anavaa ya nini.
Screenshot_20230114_143502_Google.jpg
 
Huo upande wa beki ya kushoto ya malacia ndio ulikua uchocholo, wa magoli ya man fisi. Cjui kocha ameona niny mpaka kumuweka malacia hapo.
 
Huo upande wa beki ya kushoto ya malacia ndio ulikua uchocholo, wa magoli ya man fisi. Cjui kocha ameona niny mpaka kumuweka malacia hapo.
Malacia ile game alicheza vibaya na kidogo tu angekula red..Leo itabidi atulize akili sana..na Shaw amsaidie upande huo.

City tukiwakamata kwenye flanks naamini tutafanya kitu..sina shaka na AWB,naamini atamweka mtu mfukoni.
 
Malacia ile game alicheza vibaya na kidogo tu angekula red..Leo itabidi atulize akili sana..na Shaw amsaidie upande huo.

City tukiwakamata kwenye flanks naamini tutafanya kitu..sina shaka na AWB,naamini atamweka mtu mfukoni.
Fred leo kapewa chance atakiwasha sana hapo kati, ule mguu wale uko kama una sumaku. Garnacho angeanza ili ampe Walker yellow card ya mapema ashindwe kucheza, lakini kuna wakongwe hapo ni ngumu sana dogo kuanza.
 
Back
Top Bottom