Ikiwa hivyo, kesho itakua Totte 2 Aseno 1sare ya bila kufungana inatosha kabisa
Kama akimuanzisha tena na leo Martial na wale watoto machachari akiwaacha benchi itabidi niangalie hii mechi nikiwa nimelewa.BREAKING!
#MUFC XI to face City: De Gea, Wan-Bissaka, Varane, Shaw, Malacia, Casemiro, Fred, Eriksen, Bruno, Rashford, Martial.![]()
Kwahiyo Martinez anaanzia subBREAKING!
#MUFC XI to face City: De Gea, Wan-Bissaka, Varane, Shaw, Malacia, Casemiro, Fred, Eriksen, Bruno, Rashford, Martial.![]()
Woryout brother hii game tunashinda.I'm nervous..
Daah..jasho linanitoka
Nilijua hayo mambo ni bongo tu hadi kwa wenzetu. Yani Elanga yupo ila Facundo hata sub amna kmmk.Pellistri hayupo hata bench..ila Elanga yupo..
Malacia ile game alicheza vibaya na kidogo tu angekula red..Leo itabidi atulize akili sana..na Shaw amsaidie upande huo.Huo upande wa beki ya kushoto ya malacia ndio ulikua uchocholo, wa magoli ya man fisi. Cjui kocha ameona niny mpaka kumuweka malacia hapo.
Cndio hapo Sasa, afu malacia mie ndio naogopa maana game ya kwanza na man fiisi ilimkataa kabisa na alikua uchocholo kwa baadhi ya magoli ya man fisi, cjui ten hag anaplan gany!Pellistri hayupo hata bench..ila Elanga yupo..
Inasemekana anaondoka kwa mkopo.Pellistri hayupo hata bench..ila Elanga yupo..
Fred leo kapewa chance atakiwasha sana hapo kati, ule mguu wale uko kama una sumaku. Garnacho angeanza ili ampe Walker yellow card ya mapema ashindwe kucheza, lakini kuna wakongwe hapo ni ngumu sana dogo kuanza.Malacia ile game alicheza vibaya na kidogo tu angekula red..Leo itabidi atulize akili sana..na Shaw amsaidie upande huo.
City tukiwakamata kwenye flanks naamini tutafanya kitu..sina shaka na AWB,naamini atamweka mtu mfukoni.
Naona Anawakanda city Kwa vijembe na maneno ya shombo akiwa jukwaanHuyu leo anawakanda city
Wapinzani chali