Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,144
- 43,859
Fred atamsaidia, watakuwa pamoja.Malacia ile game alicheza vibaya na kidogo tu angekula red..Leo itabidi atulize akili sana..na Shaw amsaidie upande huo.
City tukiwakamata kwenye flanks naamini tutafanya kitu..sina shaka na AWB,naamini atamweka mtu mfukoni.


