Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ikiwa hivyo, kesho itakua Totte 2 Aseno 1
Na hivi wako kwao tena? Inawezekana kabisa. Kawaida Sisi tukicheza na Spurs pia tunakuwa tunacheza na FA na PGMOL kwa pamoja hivyo the odds are usually stacked against us. Huwa inatupasa sisi tupae wao wanapotembea.
 
Kosa la kwanza EtH atakalolifanya kesho ni kuanza na kiungo cha Casemiro,Fernendes na Eriksen.

Tunahitaji mkimbiaji hapo katikati..ile game ya sita goli la kwanza lilianzia pale Eriksen alipoacha kucheza tactical foul..Fred atatusaidia kwa kazi hii.
Fred yupo ndani leo, unakiongeleaje kikosi?
 
Maelezo ya kocha kuhusu Martinez kukaa Benchi.
Screenshot_20230114-151849_1.jpg
 
Mama Cita Sinyorita,
Leo tunakugongwa goli sita,
Kila ukiinama sisi tunaweka,
Mpaka mwisho utajuta,
Kwa nini uwanjani timu ulileta.

MR10 Hatrick
Anthony 2
Bruno 1


#End of an era
Hahaha. daah. bonge moja la taarabu
 
GGMU,
Tumejiandaa kwa matokeo yoyote
Sema kila nikimcheki Haaland natetemeka
 
Back
Top Bottom