Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Presha na khofu kwa wachezaji ndiye adui yetu mkubwa pindi tunapocheza na timu zenye ubora mfano wa manchester city.

Tunahitaji kuazima confidence ya wachezaji wa liverpool japo kwa dakika 90 mchana wa leo.

City atakufa mchana wa leo kama tutaondoa uoga
Kuwafunga City tunatakiwa tuperfect mikimbio yetu kwenye transition.

Hatutakiwi kufanya mistakes kwenye breaks tunapokwenda kushambulia kwa kutoa sloppy passes.

Atleast tutumie vizuri early chances tunazopata.

Man city wanakuwa vizuri sana wide na kwenye defence yao ukiondoa Walker wanakuwa dhaifu kwenye fullbacks atleast tunaweza kuexploit maeneo hayo.
 
Osimhen ana mengi mazuri uwanjani ile kiwango chake cha kujituma ni kizuri pia.

Pressing anayofanya na namna anavyofanya hold up play anafaa sana kuwa timu.

Japo kwa uelewano walionao Napoli Any striker would do wonders.

Napoli wamekusanya squad yenye wachezaji wenye uwezo wa kucheza mpira namna wanavyotembea uwanjani, utulivu wanapopata mpira, pasi za kueleweka kila kitu excellent.
Napoli ndo timu inayocheza soka safi zaidi ulaya kwa sasa kwa maoni yangu
 
Anaekufa muache afe
IMG-20230114-WA0008.jpg
 
Back
Top Bottom