Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Haswaa lzm pale kati 2we na viungo punda wawili ili tubalance lkn tukisema tucheze nao km last game watatufunga
Ingawa sasa hivi Casemiro ameshazoea ligi ya Uingereza. Hivyo kuna unafuu kidogo hapo kati.
 
Naangalia mchezo wa Napoli v Juve, huyu chalii Victor Osimhen anastahili kuwa main priority majira ya kiangazi.

Mechi 14 goli 12 ktk Serie A msimu huu sio mchezo, miaka 24 tu.
Japo Serie A siyo ligi ngumu sana kama EPL ila Osimhen ni mchezaji mzuri pia.

Yupo vizuri kwenye maeneo mengi sana aerial quality ni kubwa, mikimbio yake perfect, hana uchoyo sana.
 
Japo Serie A siyo ligi ngumu sana kama EPL ila Osimhen ni mchezaji mzuri pia.

Yupo vizuri kwenye maeneo mengi sana aerial quality ni kubwa, mikimbio yake perfect, hana uchoyo sana.
Hiyo ligi ya serie A.
Marco anautovic na miaka yake 33 ana magoli 8 katika mechi 14, huyu jamaa tulishafikia hatua nzuri ya kumsajili lakini kashfa zake zikafelisha mpango huo.

Victor osimhen ana magoli 12 katika mechi 14.
 
Hiyo ligi ya serie A.
Marco anautovic na miaka yake 33 ana magoli 8 katika mechi 14, huyu jamaa tulishafikia hatua nzuri ya kumsajili lakini kashfa zake zikafelisha mpango huo.

Victor osimhen ana magoli 12 katika mechi 14.
Osimhen ana mengi mazuri uwanjani ile kiwango chake cha kujituma ni kizuri pia.

Pressing anayofanya na namna anavyofanya hold up play anafaa sana kuwa timu.

Japo kwa uelewano walionao Napoli Any striker would do wonders.

Napoli wamekusanya squad yenye wachezaji wenye uwezo wa kucheza mpira namna wanavyotembea uwanjani, utulivu wanapopata mpira, pasi za kueleweka kila kitu excellent.
 
Hiyo ligi ya serie A.
Marco anautovic na miaka yake 33 ana magoli 8 katika mechi 14, huyu jamaa tulishafikia hatua nzuri ya kumsajili lakini kashfa zake zikafelisha mpango huo.

Victor osimhen ana magoli 12 katika mechi 14.
Kama tulimtaka Mark Arnatovic ni heri tungemfikiria pia Alexander Mitrovic ni replica ya Arnautovic
 
Presha na khofu kwa wachezaji ndiye adui yetu mkubwa pindi tunapocheza na timu zenye ubora mfano wa manchester city.

Tunahitaji kuazima confidence ya wachezaji wa liverpool japo kwa dakika 90 mchana wa leo.

City atakufa mchana wa leo kama tutaondoa uoga
Kuwafunga City tunatakiwa tuperfect mikimbio yetu kwenye transition.

Hatutakiwi kufanya mistakes kwenye breaks tunapokwenda kushambulia kwa kutoa sloppy passes.

Atleast tutumie vizuri early chances tunazopata.

Man city wanakuwa vizuri sana wide na kwenye defence yao ukiondoa Walker wanakuwa dhaifu kwenye fullbacks atleast tunaweza kuexploit maeneo hayo.
 
Osimhen ana mengi mazuri uwanjani ile kiwango chake cha kujituma ni kizuri pia.

Pressing anayofanya na namna anavyofanya hold up play anafaa sana kuwa timu.

Japo kwa uelewano walionao Napoli Any striker would do wonders.

Napoli wamekusanya squad yenye wachezaji wenye uwezo wa kucheza mpira namna wanavyotembea uwanjani, utulivu wanapopata mpira, pasi za kueleweka kila kitu excellent.
Napoli ndo timu inayocheza soka safi zaidi ulaya kwa sasa kwa maoni yangu
 
Anaekufa muache afe
IMG-20230114-WA0008.jpg
 
Back
Top Bottom