rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,165
- 43,854
Hakuna kudraw hapaa ni kupigaa kila anaekujaaaa....Kwangu mimi naona tukimfunga Man City na Crystal Palace halafu tukidraw na Arsenal itakuwa vizuri zaidi.




Hakuna kudraw hapaa ni kupigaa kila anaekujaaaa....Kwangu mimi naona tukimfunga Man City na Crystal Palace halafu tukidraw na Arsenal itakuwa vizuri zaidi.




Sema game zote zimekaa kimitego sana usipokuwa makini unaweza kuambulia point moja tu.Hakuna kudraw hapaa ni kupigaa kila anaekujaaaa....![]()
Unategemea nini kwa watoto wadogo miaka 18? Akikua nadhani ataacha.Michezo Ni kitu Cha kijamii kinachounganisha watu,,,,
Pamoja na utani wa kishabiki baina ya timu zetu, kulikuwa hakuna sababu ya kutoa tusi ili kufikisha ujumbe uliokusudiwa mkuu !
Ustaarabu Ni kitu kidogo Sana !
Lets enjoy the beautiful game !!
Hamna mtegoo hapooo nasemaa ataekufaa chache ni 2Sema game zote zimekaa kimitego sana usipokuwa makini unaweza kuambulia point moja tu.




Wueh! Hofu yangu imepungua. Martial huwezi kumtegemea, kesho yenyewe EtH hana uhakika na fitness yake. He's susceptible to injuries.Man United confirm deal for Wout Weghorst.
Loan from Burnley until the end of the season.
No option or obligation to buy. United paying £2.6m loan fee to Burnley.
Burnley paying €2.825m (£2.5m) to Besiktas. United paying full wages.
Naangalia mchezo wa Napoli v Juve, huyu chalii Victor Osimhen anastahili kuwa main priority majira ya kiangazi.
Mechi 14 goli 12 ktk Serie A msimu huu sio mchezo, miaka 24 tu.
Naangalia mchezo wa Napoli v Juve, huyu chalii Victor Osimhen anastahili kuwa main priority majira ya kiangazi.
Mechi 14 goli 12 ktk Serie A msimu huu sio mchezo, miaka 24 tu.
timu haina hela, kuna tetesi tusipofuzu UCL itabidi tuuze dirisha lijalo, hakutakua na usajili mkubwaNapoli wa moto juve anapigwa nyingi huyu victor anatufaa
I like VdB; never complains. He is just ready when called. Wishing him quick recovery and success afterwards.Kabisa mkuu,,,, EPL pamemshinda! Very loyal guy sema ndo hivyo Tena !








Leo milango itafungwa ,hakimbii mtuCity leo akinitahidi sana amedraw ilaa anakaaa mapemaa tuu![]()
Mna ndoto za arinacha aiseeWakati tunabeba Epl msimu huu kwanini tusitafute sehem ya kukutana tuchome ng'ombe mzima kama ishara ya kumla chelsea?