Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man United confirm deal for Wout Weghorst.

Loan from Burnley until the end of the season.

No option or obligation to buy. United paying £2.6m loan fee to Burnley.

Burnley paying €2.825m (£2.5m) to Besiktas. United paying full wages.
Wueh! Hofu yangu imepungua. Martial huwezi kumtegemea, kesho yenyewe EtH hana uhakika na fitness yake. He's susceptible to injuries.
 
Naangalia mchezo wa Napoli v Juve, huyu chalii Victor Osimhen anastahili kuwa main priority majira ya kiangazi.

Mechi 14 goli 12 ktk Serie A msimu huu sio mchezo, miaka 24 tu.

images.jpeg-4.jpg
 
Naangalia mchezo wa Napoli v Juve, huyu chalii Victor Osimhen anastahili kuwa main priority majira ya kiangazi.

Mechi 14 goli 12 ktk Serie A msimu huu sio mchezo, miaka 24 tu.
Napoli wa moto juve anapigwa nyingi huyu victor anatufaa
timu haina hela, kuna tetesi tusipofuzu UCL itabidi tuuze dirisha lijalo, hakutakua na usajili mkubwa
 
Yani kila kona watu wanatababasam leo ukiwauliza kwanini wote jibu lao ni moja tu.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Manchester united 3 vs man city 2

Time

9.30 mchana

Stadium

Old Trafford

Last match

Manchester city 6 vs Manchester united 3

DerbyDay
GGMU
1673662408583.jpg
 
Match day

Guys inabidi tuwe serious, recently form ya city sio ya kutisha Sana ! Hata game wanazoshinda unaona kabisa wanastrugle, derby Ni derby tu hawatokuja kinyonge!

Kama beki zao zinakatika Sana, wanajivunia midfield na fowards tu !

Why not ?? Hizi pointi tunazihitaji kuliko chochote kile !

Naamini ETh atakuja na mpango mkakati mzuri wa kuwathibiti hawa citizens

Huwa sizipendi Sana game za mapema jumamos !

We ready, let's go!

#GGMU
 
Haswaa lzm pale kati 2we na viungo punda wawili ili tubalance lkn tukisema tucheze nao km last game watatufunga
Ingawa sasa hivi Casemiro ameshazoea ligi ya Uingereza. Hivyo kuna unafuu kidogo hapo kati.
 
Naangalia mchezo wa Napoli v Juve, huyu chalii Victor Osimhen anastahili kuwa main priority majira ya kiangazi.

Mechi 14 goli 12 ktk Serie A msimu huu sio mchezo, miaka 24 tu.
Japo Serie A siyo ligi ngumu sana kama EPL ila Osimhen ni mchezaji mzuri pia.

Yupo vizuri kwenye maeneo mengi sana aerial quality ni kubwa, mikimbio yake perfect, hana uchoyo sana.
 
Japo Serie A siyo ligi ngumu sana kama EPL ila Osimhen ni mchezaji mzuri pia.

Yupo vizuri kwenye maeneo mengi sana aerial quality ni kubwa, mikimbio yake perfect, hana uchoyo sana.
Hiyo ligi ya serie A.
Marco anautovic na miaka yake 33 ana magoli 8 katika mechi 14, huyu jamaa tulishafikia hatua nzuri ya kumsajili lakini kashfa zake zikafelisha mpango huo.

Victor osimhen ana magoli 12 katika mechi 14.
 
Hiyo ligi ya serie A.
Marco anautovic na miaka yake 33 ana magoli 8 katika mechi 14, huyu jamaa tulishafikia hatua nzuri ya kumsajili lakini kashfa zake zikafelisha mpango huo.

Victor osimhen ana magoli 12 katika mechi 14.
Osimhen ana mengi mazuri uwanjani ile kiwango chake cha kujituma ni kizuri pia.

Pressing anayofanya na namna anavyofanya hold up play anafaa sana kuwa timu.

Japo kwa uelewano walionao Napoli Any striker would do wonders.

Napoli wamekusanya squad yenye wachezaji wenye uwezo wa kucheza mpira namna wanavyotembea uwanjani, utulivu wanapopata mpira, pasi za kueleweka kila kitu excellent.
 
Hiyo ligi ya serie A.
Marco anautovic na miaka yake 33 ana magoli 8 katika mechi 14, huyu jamaa tulishafikia hatua nzuri ya kumsajili lakini kashfa zake zikafelisha mpango huo.

Victor osimhen ana magoli 12 katika mechi 14.
Kama tulimtaka Mark Arnatovic ni heri tungemfikiria pia Alexander Mitrovic ni replica ya Arnautovic
 
Back
Top Bottom