Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wout f*cking Weghorst ✈ PARI$.

Screenshot_20230112-182801_Samsung Internet.jpg
 
Wout Weghorst club stats:

Wolfsburg: 70G, 22 A in 144 apps
Burnley: 2G, 3 A in 20 apps
AZ Alkmaar: 45G, 13 A in 86 apps
Heracles: 24G, 8 A in 73 apps
FC Emmen: 21G in 66 apps
Beşiktaş: 9G, 4 A in 18 apps

G = Goals
A= Assist
apps = Appearance
 
Najisikia vibaya kila mawazo ya kwamba Martial ni flop yanapotaka kudominate fikra zangu. I just like this guy, sijui kwa vile anafanana na mtoto wangu au nini.
Huyu Ni maji kupwa na kujaa sawa na rashyyy! Watakufurahisha mechi tano consecutively, watakuudhi nyingine tano mtawalia

Ila msimu huu bwana rashidi yuko serious Sana, tuombe asipate majeruhi tu !
 
Wout Weghorst club stats:

Wolfsburg: 70G, 22 A in 144 apps
Burnley: 2G, 3 A in 20 apps
AZ Alkmaar: 45G, 13 A in 86 apps
Heracles: 24G, 8 A in 73 apps
FC Emmen: 21G in 66 apps
Beşiktaş: 9G, 4 A in 18 apps

G = Goals
A= Assist
apps = Appearance
Stats sio mbaya Sana na tumempata kwa Bei nzuri sio wale makenge wa darajani wamepigwa 11m na kucover full salary 280k weekly!

Alafu advantage nyingine huyu jamaa Ni pure no 9,,,,! Akipata huduma nzuri kutoka kwa Bruno na Ericksen anaweza kutufungia magoli kadhaa !
 
Wout Weghorst ukimuangalia kwa mbali aina yake ya uchezaji inafanana na Luis Suarez ila kiuhalisia yeye ni Benzema mtupu, kuna vitu Cavani alijifunza kwa mtu huyu na anaposhuka kiwango anacheza kama Lewandowsky.

Nyie Kenge wa pale darajani mna matatizo mengi, mnahitaji kufanyiwa maombi ya kitaifa.
kwa beki ile ya Coulibally na genge lake huruma naona mimi, Unaambiwa huyu mwamba anakimbia yule Kylian Mbappe arudi tena twisheni.
Eeeeeh
JamiiForums-2000315405.jpg
 
Who's the best defensive midfielder in the Premier League? [emoji848]

#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |View attachment 2475340
Maybe if this is personal interest, lakini by far Thomas Partey has been the best holding midfielder itl this season, nikufundishe kitu, kama unahitaji kiungo mzuri kwenye 1st phase & progression lazima umchukue Thomas Partey, km unahitaji kiungo mzuri kuzuia lkn si mzuri technically mchukue Casemiro, Casemiro namuona ni Ngolo Kante, wakati Thomas partey ni Rodrigo cuz wote wana technical consistency japo partey is more physical prowess. Fabinho simuongelei cuz kapotea msimu huu, sasa mpira mnauangaliaje wenzetu? binafsi ningemuweka Caicedo, Rodrigo & Partey kwenye list mbele ya wabrazil wawili.
 
Najua mashabiki wengi wanaona mbio za UBINGWA zipo Kati ya timu MBILI ARSENAL na MAN City hata baadhi ya mashabiki wenzetu humu wanafikiria hvyo,
Ila kwa upande wangu naona hata sisi TUNA NAFASI YA KUCHUKUA UBINGWA MSIMU HUU....

Na mwanga utaanza kuonekana juma linaloanza ambapo tutacheza na MAN City pamoja na PALACE hapo j5...

Endapo tutashinda hzo mechi mbili tutakuwa tunamkaribia kwa ukaribu zaidi na anaeongoza ligi ambaye ni ARSENAL ambaye nae anakibarua kigumu dhidi ya mpinzani wake TOTTENHAM,

Na akitoka na Tottenham anakutana na sisi...
Patamu hapo!!!

#GGMU
 
Najua mashabiki wengi wanaona mbio za UBINGWA zipo Kati ya timu MBILI ARSENAL na MAN City hata baadhi ya mashabiki wenzetu humu wanafikiria hvyo,
Ila kwa upande wangu naona hata sisi TUNA NAFASI YA KUCHUKUA UBINGWA MSIMU HUU....

Na mwanga utaanza kuonekana juma linaloanza ambapo tutacheza na MAN City pamoja na PALACE hapo j5...

Endapo tutashinda hzo mechi mbili tutakuwa tunamkaribia kwa ukaribu zaidi na anaeongoza ligi ambaye ni ARSENAL ambaye nae anakibarua kigumu dhidi ya mpinzani wake TOTTENHAM,

Na akitoka na Tottenham anakutana na sisi...
Patamu hapo!!!

#GGMU
Ubingwa ? Mapema mno kuuwazia !!!! Hapa malengo Ni kusecure top 4, mwakan tushiriki UEFA !!!

Pia Europa,FA na carabao tukaze kaze walau tuambulie chochote kitu
 
Najua mashabiki wengi wanaona mbio za UBINGWA zipo Kati ya timu MBILI ARSENAL na MAN City hata baadhi ya mashabiki wenzetu humu wanafikiria hvyo,
Ila kwa upande wangu naona hata sisi TUNA NAFASI YA KUCHUKUA UBINGWA MSIMU HUU....

Na mwanga utaanza kuonekana juma linaloanza ambapo tutacheza na MAN City pamoja na PALACE hapo j5...

Endapo tutashinda hzo mechi mbili tutakuwa tunamkaribia kwa ukaribu zaidi na anaeongoza ligi ambaye ni ARSENAL ambaye nae anakibarua kigumu dhidi ya mpinzani wake TOTTENHAM,

Na akitoka na Tottenham anakutana na sisi...
Patamu hapo!!!

#GGMU
Ushauri wangu Fikira za Ubingwa ziweke mbali kabisa.
Wenye haki ya kuwaza ubingwa kwa sasa Ni Arsenal na Man City.
Sisi Man U tuko kwenye Form nzuri, tusubiri mwezi March tuone tutakuwa wapi.
Hapa kati kila wiki tuna mechi mbili, mashindano manne, kuna kupoteana hapo.


Kwa sasa tunatakiwa kuwazia Gemu inayofuata tuu.

Ushauri tuu kwa mashabiki wenzangu wa Manchester United.
 
Najua mashabiki wengi wanaona mbio za UBINGWA zipo Kati ya timu MBILI ARSENAL na MAN City hata baadhi ya mashabiki wenzetu humu wanafikiria hvyo,
Ila kwa upande wangu naona hata sisi TUNA NAFASI YA KUCHUKUA UBINGWA MSIMU HUU....

Na mwanga utaanza kuonekana juma linaloanza ambapo tutacheza na MAN City pamoja na PALACE hapo j5...

Endapo tutashinda hzo mechi mbili tutakuwa tunamkaribia kwa ukaribu zaidi na anaeongoza ligi ambaye ni ARSENAL ambaye nae anakibarua kigumu dhidi ya mpinzani wake TOTTENHAM,

Na akitoka na Tottenham anakutana na sisi...
Patamu hapo!!!

#GGMU
Kwamba unawaza ubingwa na upo nyuma point tisa kwa Arsenal, mind the gap bruv[emoji1787]
 
Kosa la kwanza EtH atakalolifanya kesho ni kuanza na kiungo cha Casemiro,Fernendes na Eriksen.

Tunahitaji mkimbiaji hapo katikati..ile game ya sita goli la kwanza lilianzia pale Eriksen alipoacha kucheza tactical foul..Fred atatusaidia kwa kazi hii.
 
Back
Top Bottom