Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 14,000
- 27,974
Hiyo game naikumbuka, Fernandes alipoga faulo ya akili sana sikuile, ile game Tominay alikichafua balaa.Huwa anacheza vizuri vs City ndo maana nimemweka.
Ukiacha hiyo..kuna faulo moja Fernandes alimdokolea jamaa akatia kambani..bonge ya goli,na game hiyo tulishinda pia.
Ila OLE alikuwa anammudu sana PEP, game nyingi sana tuliondoka na ushindi mbele ya City kipindi kile.





