Ila Martial ni mtumishi hewa aisee, jamaa kalegea balaa
Da bruine kawekewa Fred hajagusa mpira
Mahrez kawekewa Malacia hajagusa mpira![]()
Tunatakiwa tuchezaje ili tishinde,tena dhidi ya CityKwa namna tunavyocheza hii mechi tunaweza kupoteza.
Anacheza mpira kwa machoHuyu martial fala sana, cjui kocha anasubiria niny kumtoa
Tunacheza sloppy sana, tulitakiwa kuwafunga Man City kwenye chances zile za mapema kabla haijaanza kurudi mchezoni.Tunatakiwa tuchezaje ili tishinde,tena dhidi ya City
Martial mvivu yupoKama akimuanzisha tena na leo Martial na wale watoto machachari akiwaacha benchi itabidi niangalie hii mechi nikiwa nimelewa.
Ndio pona yao leoNaona Anawakanda city Kwa vijembe na maneno ya shombo akiwa jukwaan
Rashford dah
Mvivu mnoAnacheza mpira kwa macho