Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

I like how Liverpool wanavyo-act faster kwenye usajili,
Wamekurupuka pale gakpo hana uwezo wa kuanza pale Liverpool labda tu waseme wameongeza squad depth ila siyo mchezaji wa kugombania namba na kina diaz jota firmino
 
Wamekurupuka pale gakpo hana uwezo wa kuanza pale Liverpool labda tu waseme wameongeza squad depth ila siyo mchezaji wa kugombania namba na kina diaz jota firmino
Imewalazimu wafanye hivyo ,maana Jota had February ,Diaz March

Wangeleta ujinga wangejikuta nafasi ya 15

Ila Gapko Ni wakawaida tu ,sidhani Kama angewafaa man u

Hata Liverpool hawez kuanza ,usitishwe na namba ,

Nunez niliwaambia Liverpool Ni mchezaji aliye shine msimu mmoja tu hivo wategemee 50/50 , tofaut na halland ana misimu karibu mitatu ana namba za HATARI

Gapko wamemsajili wasikose Sub had March .
 
Casemiro je? Varane? Wote world class hawa na wameamua kuja UTD ushawishi upo wa kutosha.

Ulisoma story ya Licha? Kampigia simu ETH anaomba kuja UTD ananmwambia akikataa ndio Ataenda Arsenal.
Hao uliowataja Casemiro na Varane wote ni NSSF wamekuja kula mafao ya uzeeni.. yani nyam nyam!😆
 
Back
Top Bottom