Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,060
- 43,477
tushamkosa
imekuaje mpaka mmemkosa
tushamkosa
Hivi ni uzembe au kuna plan nyingine??
tushamkosa
tushamkosa
Umemwambia Ukweli ,sijui Kama atakuelewaHuna uwezo wa kusajili world class players kwa sasa
Hata fabrizio huwa anachemka kwa lfc... Huwa anashangaa tu tayaliI like how Liverpool wanavyo-act faster kwenye usajili,

Wamekurupuka pale gakpo hana uwezo wa kuanza pale Liverpool labda tu waseme wameongeza squad depth ila siyo mchezaji wa kugombania namba na kina diaz jota firminoI like how Liverpool wanavyo-act faster kwenye usajili,


Unajua Diaz atarudi lini? Jota? Pia unajua maana ya kikosi kipana?Wamekurupuka pale gakpo hana uwezo wa kuanza pale Liverpool labda tu waseme wameongeza squad depth ila siyo mchezaji wa kugombania namba na kina diaz jota firmino![]()

Achana nae huyo alikuwa anajua Dogo anaenda United haamini anachokina.Unajua Diaz atarudi lini? Jota? Pia unajua maana ya kikosi kipana?
Mbona kwa city hushangai,
Najua umeumia
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi Kama ni hivyo ataumia Sana, maana man u hawezi shindana na lfc kwenye transfer nyakati hizi maybe tusiwe tunamtaka mchezaji.Achana nae huyo alikuwa anajua Dogo anaenda United haamini anachokina.
Mi mwenyewe sijui nini kitaendelea kama Ni ETH kachomoa ama Liver wametupokonya. Tutajua baadae.Hivi ni uzembe au kuna plan nyingine??
Yale yale ya FDJ.
He is promising player na wamempata kwa bei chee tofauti na kina Antony au SanchoWamekurupuka pale gakpo hana uwezo wa kuanza pale Liverpool labda tu waseme wameongeza squad depth ila siyo mchezaji wa kugombania namba na kina diaz jota firmino![]()
Demu umemuandaa wewe kaenda kuliwa na wengine!😂😂Manchester United are reportedly planning a €50m (£43.1m) bid for Cody Gakpo
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2450128
Casemiro je? Varane? Wote world class hawa na wameamua kuja UTD ushawishi upo wa kutosha.Huna uwezo wa kusajili world class players kwa sasa
Zimebaki 23 asaivi😆😆😆Top four baada ya game 14? upo serious? Unajua zimebakia game 24.
Imewalazimu wafanye hivyo ,maana Jota had February ,Diaz MarchWamekurupuka pale gakpo hana uwezo wa kuanza pale Liverpool labda tu waseme wameongeza squad depth ila siyo mchezaji wa kugombania namba na kina diaz jota firmino![]()
Man u sidhan Kama walituma ofa ,ila walikuwa na mazungumzo na mchezaji ,Mi mwenyewe sijui nini kitaendelea kama Ni ETH kachomoa ama Liver wametupokonya. Tutajua baadae.
Issue ni kwamba hakuna profile tunayoitaka sokoni, kwa Bei jamaa angetusaidia sana Depth.Man u sidhan Kama walituma ofa ,ila walikuwa na mazungumzo na mchezaji ,
Yule Anthony ,man u fans watakuja kukubali baadae Sana kuwa Ni wakawaidaHe is promising player na wamempata kwa bei chee tofauti na kina Antony au Sancho
Hao uliowataja Casemiro na Varane wote ni NSSF wamekuja kula mafao ya uzeeni.. yani nyam nyam!😆Casemiro je? Varane? Wote world class hawa na wameamua kuja UTD ushawishi upo wa kutosha.
Ulisoma story ya Licha? Kampigia simu ETH anaomba kuja UTD ananmwambia akikataa ndio Ataenda Arsenal.