Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,005
- 7,384
Arsenal haijawahi kukosa mchezaji kwenye mechi ya fainali ya kombe la dunia kwa zaidi ya miaka 50.Raisi wa ufaransa bwana Emanuel Macron ametuma ujumbe wa kuishukuru sana United kwa mchezaji wao Rafael Varane kuwavusha mpaka kufikia kwenye fainali za World Cup.
Club ya Manchester United inazidi kushine tu duniani.
Unaambiwa bodi nzima ya Fifa wamepanga kufanya kikao baada ya kumalizika kwa fainali za Wc ili kujadili uwezekano wa kuiingiza timu ya Man United ishiriki michuano ya Wc inayofata kama taifa huru.
Viva United
Viva 10 hag hakika umetuheshimisha.