Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Raisi wa ufaransa bwana Emanuel Macron ametuma ujumbe wa kuishukuru sana United kwa mchezaji wao Rafael Varane kuwavusha mpaka kufikia kwenye fainali za World Cup.

Club ya Manchester United inazidi kushine tu duniani.

Unaambiwa bodi nzima ya Fifa wamepanga kufanya kikao baada ya kumalizika kwa fainali za Wc ili kujadili uwezekano wa kuiingiza timu ya Man United ishiriki michuano ya Wc inayofata kama taifa huru.

Viva United
Viva 10 hag hakika umetuheshimisha.
Arsenal haijawahi kukosa mchezaji kwenye mechi ya fainali ya kombe la dunia kwa zaidi ya miaka 50.
 
[emoji849][emoji849]
Screenshot_20221216-132345.jpg
 
Ander Herrera: “Leaving was difficult because six months before I expected an offer to stay. It's not the time to speak ill of someone and I'm not going to do it, but after my third season, I expected a little more from the club at that time.”


#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |
IMG_20221217_200004_149.jpg
 
Manchester United are reportedly planning a €50m (£43.1m) bid for Cody Gakpo [emoji383]

#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |
IMG_20221217_195955_613.jpg
 
Antonio Valencia: "It was too bad Cristiano Ronaldo left Manchester United in the way he did. A player like him should leave a club by walking off the pitch to applause at a sold-out stadium. The people there loved him."

#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |
 
Ndugu wazee, wakati tukirejea kwenye msimu wa mpira baada ya World Cup naomba mnisaidie link ya kutazama mpira online. Ile link ya Domain Seized by Law Enforcement tuliyokuwa tunatazamia mpira imefungiwa rasmi na magaidi. Natanguliza shukrani.
1671425411289.png
 
Back
Top Bottom