Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,386
- 10,958
Sasa kama hawajaweka bid, kushindwa kwenye ushawishi kunaingiaje hapo?Inawezekana hawakumuhitaji haswa , au Liverpool wamefanya ushawishi
Kwa man u Sasa inahitaji ku establish style ya kucheza ,ili mchezaji anapokuja anajua naenda kufanya Nini
Huenda Liverpool kupitia Klopp wamewazidi man u kwenye ushawishi