Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Issue ni kwamba hakuna profile tunayoitaka sokoni, kwa Bei jamaa angetusaidia sana Depth.
Mpo na sisi Arsenal kwenye Dili la Joao Felix , japo na Chelsea kaingia

Nilitegemea na man u fans wengi walikuwa wanajua watawekeza nguvu kubwa kwa Gapko maana mmeanza kutajwa kitambo

Arsenal tuliachana na Gapko toka summer
 
Mpo na sisi Arsenal kwenye Dili la Joao Felix , japo na Chelsea kaingia

Nilitegemea na man u fans wengi walikuwa wanajua watawekeza nguvu kubwa kwa Gapko maana mmeanza kutajwa kitambo

Arsenal tuliachana na Gapko toka summer
United hawakuwahi kuweka bid!
 
Casemiro je? Varane? Wote world class hawa na wameamua kuja UTD ushawishi upo wa kutosha.

Ulisoma story ya Licha? Kampigia simu ETH anaomba kuja UTD ananmwambia akikataa ndio Ataenda Arsenal.
Ila lisandro mtu Sana, namkubali kwenye pass tu

Huyu angekuwa pale Emirates ,pangewaka Moto

Bila ETH kuwepo man u ,ilikuwa Mali yetu kabisa
 
Hao uliowataja Casemiro na Varane wote ni NSSF wamekuja kula mafao ya uzeeni.. yani nyam nyam!😆
Ukitoa Mbappe na Haaland hakuna World class mtoto, Mpaka Uwe world class unahitaji kuprove at top level, so World class wengi ni Hao NSSF, kwa form Zao Varane na Casemiro msimu hii i dont mind NSSF mwengine.
 
United hawakuwahi kuweka bid!
Inawezekana hawakumuhitaji haswa , au Liverpool wamefanya ushawishi

Kwa man u Sasa inahitaji ku establish style ya kucheza ,ili mchezaji anapokuja anajua naenda kufanya Nini

Huenda Liverpool kupitia Klopp wamewazidi man u kwenye ushawishi
 
Inawezekana hawakumuhitaji haswa , au Liverpool wamefanya ushawishi

Kwa man u Sasa inahitaji ku establish style ya kucheza ,ili mchezaji anapokuja anajua naenda kufanya Nini

Huenda Liverpool kupitia Klopp wamewazidi man u kwenye ushawishi
Sasa kama hawajaweka bid, kushindwa kwenye ushawishi kunaingiaje hapo?
 
Mpo na sisi Arsenal kwenye Dili la Joao Felix , japo na Chelsea kaingia

Nilitegemea na man u fans wengi walikuwa wanajua watawekeza nguvu kubwa kwa Gapko maana mmeanza kutajwa kitambo

Arsenal tuliachana na Gapko toka summer
Tatizo la Joao ataweza kublend na Bruno? Labda kwa vile anapatikana kwa mkopo pengine risk ndogo,

Na Chelsea wameshakua kama sisi Zamani, Felix si kama tu kina Havertz na Mount? Anakwenda tu kuongeza idadi.
 
Tatizo la Joao ataweza kublend na Bruno? Labda kwa vile anapatikana kwa mkopo pengine risk ndogo,

Na Chelsea wameshakua kama sisi Zamani, Felix si kama tu kina Havertz na Mount? Anakwenda tu kuongeza idadi.
Felix kwa Chelsea namuona Kama atakuwa Havertz wa 2 au mount ,Sababu Chelsea had Sasa haijulikani inacheza aina gan ya football ,haijulikani Mount ,Havertz wanacheza position zipi
 
Yule Anthony ,man u fans watakuja kukubali baadae Sana kuwa Ni wakawaida

Bei ya Gapko Ni nzuri ukilinganisha na ya Anthony au Sancho ,maana Ni Aina hiyo hiyo ya wachezaji.
Gapko is better than Antony (G/A zinambeba) i wonder why United sign Antony instead of Gapko na bei aliyonunuliwa ni mara mbili ya Gapko .United walikuwa wana advantage kumshawishi .PSV Manager (Ruud Van Nistelrooy) , ETH ni mdachi mwenzie na United wanahitaji foward baada ya CR7 kuondoka
 
Gapko is better than Antony (G/A zinambeba) i wonder why United sign Antony instead of Gapko na bei aliyonunuliwa ni mara mbili ya Gapko .United walikuwa wana advantage kumshawishi .PSV Manager (Ruud Van Nistelrooy) , ETH ni mdachi mwenzie na United wanahitaji foward baada ya CR7 kuondoka
Position, Antony ni Right winger na Gakpo ni left winger.

Elanga, Rashford, Sancho, Martial, Garnacho wote hawa ni Natural kushoto, Kulia tulikua na Sancho tu, Inamake sense ku prioritize kulia na Antony.
 
Gapko is better than Antony (G/A zinambeba) i wonder why United sign Antony instead of Gapko na bei aliyonunuliwa ni mara mbili ya Gapko .United walikuwa wana advantage kumshawishi .PSV Manager (Ruud Van Nistelrooy) , ETH ni mdachi mwenzie na United wanahitaji foward baada ya CR7 kuondoka
Kuna viashiria , Anthony alikuwa target ya Kwanza ya Kocha ,hivo waliamua kumskiliza Kocha anataka Nini

Japo kwenye ligi hiyo hiyo ,Gapko alikuwa na namba nzuri kuliko Anthony na Bei yake ilikuwa ndogo tu
 
Huna uwezo wa kusajili world class players kwa sasa
Unasemaje!!!?

Kwahiyo tulivyomsajili Ronaldo alikuwa siyo world class player?

Utafikiri Arsenal mna uwezo wa kushawishi world class players kuja kwenu. Timu yenu ina miaka mnanunua wachezaji wa mafungu.

Gakpo na Felix siyo world class players. Siyo wachezaji wa kusumbua vichwa kwenye kusajili.
 
Unasemaje!!!?

Kwahiyo tulivyomsajili Ronaldo alikuwa siyo world class player?

Utafikiri Arsenal mna uwezo wa kushawishi world class players kuja kwenu. Timu yenu ina miaka mnanunua wachezaji wa mafungu.

Gakpo na Felix siyo world class players. Siyo wachezaji wa kusumbua vichwa kwenye kusajili.
Hili neno world class player mnalitumia vibaya na halijawahi kuwa na maana rasmi
 
Back
Top Bottom