Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yule Anthony ,man u fans watakuja kukubali baadae Sana kuwa Ni wakawaida

Bei ya Gapko Ni nzuri ukilinganisha na ya Anthony au Sancho ,maana Ni Aina hiyo hiyo ya wachezaji.
Gapko is better than Antony (G/A zinambeba) i wonder why United sign Antony instead of Gapko na bei aliyonunuliwa ni mara mbili ya Gapko .United walikuwa wana advantage kumshawishi .PSV Manager (Ruud Van Nistelrooy) , ETH ni mdachi mwenzie na United wanahitaji foward baada ya CR7 kuondoka
 
Gapko is better than Antony (G/A zinambeba) i wonder why United sign Antony instead of Gapko na bei aliyonunuliwa ni mara mbili ya Gapko .United walikuwa wana advantage kumshawishi .PSV Manager (Ruud Van Nistelrooy) , ETH ni mdachi mwenzie na United wanahitaji foward baada ya CR7 kuondoka
Position, Antony ni Right winger na Gakpo ni left winger.

Elanga, Rashford, Sancho, Martial, Garnacho wote hawa ni Natural kushoto, Kulia tulikua na Sancho tu, Inamake sense ku prioritize kulia na Antony.
 
Gapko is better than Antony (G/A zinambeba) i wonder why United sign Antony instead of Gapko na bei aliyonunuliwa ni mara mbili ya Gapko .United walikuwa wana advantage kumshawishi .PSV Manager (Ruud Van Nistelrooy) , ETH ni mdachi mwenzie na United wanahitaji foward baada ya CR7 kuondoka
Kuna viashiria , Anthony alikuwa target ya Kwanza ya Kocha ,hivo waliamua kumskiliza Kocha anataka Nini

Japo kwenye ligi hiyo hiyo ,Gapko alikuwa na namba nzuri kuliko Anthony na Bei yake ilikuwa ndogo tu
 
Huna uwezo wa kusajili world class players kwa sasa
Unasemaje!!!?

Kwahiyo tulivyomsajili Ronaldo alikuwa siyo world class player?

Utafikiri Arsenal mna uwezo wa kushawishi world class players kuja kwenu. Timu yenu ina miaka mnanunua wachezaji wa mafungu.

Gakpo na Felix siyo world class players. Siyo wachezaji wa kusumbua vichwa kwenye kusajili.
 
Unasemaje!!!?

Kwahiyo tulivyomsajili Ronaldo alikuwa siyo world class player?

Utafikiri Arsenal mna uwezo wa kushawishi world class players kuja kwenu. Timu yenu ina miaka mnanunua wachezaji wa mafungu.

Gakpo na Felix siyo world class players. Siyo wachezaji wa kusumbua vichwa kwenye kusajili.
Hili neno world class player mnalitumia vibaya na halijawahi kuwa na maana rasmi
 
Liverpool wako faster ku-make decision kusajili wachezaji tofauti na United.Luiz,Thiago walisajiliwa the same style
Ama hawaleak habari zao? Woodward alikuwa analeak kimakusudi transfers kugenerate clicks na interest.

Kusajili mchezaji si kitu kirahisi hivyo kina process ndefu, hapo washakutana na Agent wa mchezaji wiki kadhaa zilizopita, VVD tayari alikua anajua kwa Gakpo anakuja unafkiri alijuaje?
 


Nurse tena. So UTD hawakubid.

Ngoja tuone wana Mpango gani


Thats why most first target wanazikosa na many players wanakuwa overpriced .It was obvious world cup ni sehemu ya kutengeneza soko to some players na watakaofanya vizuri watagombaniwa na value zao zitapanda
You must ask faster kama unamtaka mchezaji
 
Thats why most first target wanazikosa na many players wanakuwa overpriced .It was obvious world cup ni sehemu ya kutengeneza soko to some players na watakaofanya vizuri watagombaniwa na value zao zitapanda
You must ask faster kama unamtaka mchezaji
Kuna Possibility kubwa Mkuu tulisha opt kutomsajili kama Huyo Nurse yupo sahihi.
 
Mi mwenyewe sijui nini kitaendelea kama Ni ETH kachomoa ama Liver wametupokonya. Tutajua baadae.
ETH kasema anataka striker kama striker, swali langu wakati wanamfukuzia tangu last summer alikuwa anakuja kwa nafasi ipi??? Manake LW kuna watu wa kutosha.
Haya tusubiri huyo striker mwenye high qualities!!!
 
Back
Top Bottom