umepotea ghafla.. dogo alikujibu vzr snaRashford ni trash wanaomtaka wafanye haraka
Top four baada ya game 14? upo serious? Unajua zimebakia game 24.Is your team even in the top four???View attachment 2457923
Haaaaa hawa ndio wale walioanza kutazama mpira between 2018 to 2022Top four baada ya game 14? upo serious? Unajua zimebakia game 24.
imekuaje mpaka mmemkosa
tushamkosa
Hivi ni uzembe au kuna plan nyingine??
tushamkosa
tushamkosa
Umemwambia Ukweli ,sijui Kama atakuelewaHuna uwezo wa kusajili world class players kwa sasa
Hata fabrizio huwa anachemka kwa lfc... Huwa anashangaa tu tayaliI like how Liverpool wanavyo-act faster kwenye usajili,
