Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Tungelia kama mtu aliyepigwa kipigo cha mbwa koko..Huyu Nunez afadhali tumekwepa Bomu.
Hivi january hii kuna dalili za kuingia sokoni kuongeza attacking options zetu?
Tungelia kama mtu aliyepigwa kipigo cha mbwa koko..Huyu Nunez afadhali tumekwepa Bomu.
Source zinasema Gakpo sema ni source za. Kawaida.Tungelia kama mtu aliyepigwa kipigo cha mbwa koko..
Hivi january hii kuna dalili za kuingia sokoni kuongeza attacking options zetu?
Alikuwa anataka 300kEuro 75,000 kwa wiki hazikukuwa zinaendana na kazi anayofanya uwanjani, angeongezewa hata Euro 25,000
Aisee nilikuwa sijui hiloAlikuwa anataka 300k
Psg walimpa hio offer akataka UTD waimatch, ndio maana aliondoka.Aisee nilikuwa sijui hilo
Duh hicho ni kisangaPsg walimpa hio offer akataka UTD waimatch, ndio maana aliondoka.
umepotea ghafla.. dogo alikujibu vzr snaRashford ni trash wanaomtaka wafanye haraka
Top four baada ya game 14? upo serious? Unajua zimebakia game 24.Is your team even in the top four???View attachment 2457923
Haaaaa hawa ndio wale walioanza kutazama mpira between 2018 to 2022Top four baada ya game 14? upo serious? Unajua zimebakia game 24.