Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,144
- 43,875
Kuna Possibility kubwa Mkuu tulisha opt kutomsajili kama Huyo Nurse yupo sahihi.Thats why most first target wanazikosa na many players wanakuwa overpriced .It was obvious world cup ni sehemu ya kutengeneza soko to some players na watakaofanya vizuri watagombaniwa na value zao zitapanda
You must ask faster kama unamtaka mchezaji

