Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Liverpool wako faster ku-make decision kusajili wachezaji tofauti na United.Luiz,Thiago walisajiliwa the same style
Ama hawaleak habari zao? Woodward alikuwa analeak kimakusudi transfers kugenerate clicks na interest.

Kusajili mchezaji si kitu kirahisi hivyo kina process ndefu, hapo washakutana na Agent wa mchezaji wiki kadhaa zilizopita, VVD tayari alikua anajua kwa Gakpo anakuja unafkiri alijuaje?
 


Nurse tena. So UTD hawakubid.

Ngoja tuone wana Mpango gani


Thats why most first target wanazikosa na many players wanakuwa overpriced .It was obvious world cup ni sehemu ya kutengeneza soko to some players na watakaofanya vizuri watagombaniwa na value zao zitapanda
You must ask faster kama unamtaka mchezaji
 
Thats why most first target wanazikosa na many players wanakuwa overpriced .It was obvious world cup ni sehemu ya kutengeneza soko to some players na watakaofanya vizuri watagombaniwa na value zao zitapanda
You must ask faster kama unamtaka mchezaji
Kuna Possibility kubwa Mkuu tulisha opt kutomsajili kama Huyo Nurse yupo sahihi.
 
Mi mwenyewe sijui nini kitaendelea kama Ni ETH kachomoa ama Liver wametupokonya. Tutajua baadae.
ETH kasema anataka striker kama striker, swali langu wakati wanamfukuzia tangu last summer alikuwa anakuja kwa nafasi ipi??? Manake LW kuna watu wa kutosha.
Haya tusubiri huyo striker mwenye high qualities!!!
 
ETH kasema anataka striker kama striker, swali langu wakati wanamfukuzia tangu last summer alikuwa anakuja kwa nafasi ipi??? Manake LW kuna watu wa kutosha.
Haya tusubiri huyo striker mwenye high qualities!!!
Joao Felix Ni striker au Forward?

Sokoni kwasasa hawa ma CF hawapo na waliopo Ni average ,inabidi uingie chimbo uchukue kinda au promising CF Kama walivyofanya Chelsea kwa Datro fofana,

Maana CF akiibuka tu akapiga hata goli 15 unauziwa €100m , mfano Nunez
 
Watu wahuni sana[ATTACH
 

Attachments

  • IMG_20221227_111010.jpeg
    IMG_20221227_111010.jpeg
    108.4 KB · Views: 16
  • IMG_20221227_111010.jpeg
    IMG_20221227_111010.jpeg
    108.4 KB · Views: 17
Unasemaje!!!?

Kwahiyo tulivyomsajili Ronaldo alikuwa siyo world class player?

Utafikiri Arsenal mna uwezo wa kushawishi world class players kuja kwenu. Timu yenu ina miaka mnanunua wachezaji wa mafungu.

Gakpo na Felix siyo world class players. Siyo wachezaji wa kusumbua vichwa kwenye kusajili.
Arsenal tunanunua wachezajinkuja kuleta impact kuelekea malengo yetu sio kuongeza namba ya wachezaji...
Manchesta bado mnajitafuta...
 
Back
Top Bottom