Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,722
Joao Felix Ni striker au Forward?ETH kasema anataka striker kama striker, swali langu wakati wanamfukuzia tangu last summer alikuwa anakuja kwa nafasi ipi??? Manake LW kuna watu wa kutosha.
Haya tusubiri huyo striker mwenye high qualities!!!
Sokoni kwasasa hawa ma CF hawapo na waliopo Ni average ,inabidi uingie chimbo uchukue kinda au promising CF Kama walivyofanya Chelsea kwa Datro fofana,
Maana CF akiibuka tu akapiga hata goli 15 unauziwa €100m , mfano Nunez


