F..uck you Ferdinand..Could the World Cup be beneficial for Cristiano Ronaldo?
#GlazerOUT
#GGMU
manutd View attachment 2411270
Mpaka sasa sajili za Ten Hag zimeonesha mafanikio.F..uck you Ferdinand..
Huyu baada ya World cup inabidi aondoke..
Ni aibu kuendelea kuwa na Matumaini na mtu kama Ronaldo huyu wa miaka 38.
Tuingie strongly sokoni kuboresha our attacking options(Namba tisa).
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Manchester united 3 aston villa 0View attachment 2412020
Ni kweli mkuu....kati tumpatie Jonjo Shelvey apambane na fredi, mbele pale tungepata ata mtu kama Calvert Lewin.Mpaka sasa sajili za Ten Hag zimeonesha mafanikio.
Dirisha lijalo tuongeze watu muhimu hasa attacking na ku reinforce midfield.
Tukipata wachezaji wanne kwenye hizo sehemu tunaweza ongea habari za ubingwa.







Ata ETH ataweka Full ni wachache tu kina gernacho,VDB,Zidane ndo wataongezekaUnai alivyo na sifa anaweza weka full mkoko.
Good Ebening!
Acha ni lale tu hapa.Van De Beek again..
Jesus Christ.
Leo kipigo kinatuhusu amna amna sare..Acha ni lale tu hapa.
Hii mechi tushaingia choo Cha kikeLeo kipigo kinatuhusu amna amna sare..
Binafsi naenda kumuangalia tuu martial lkn ushindi apo hakuna
Ten Hag keshaanza kuchanganyikiwa sio siri kaipanga tena takataka ya Mungu inaitwa van de BeekDuu sipotezi mda kwenye kibanda umiza aloo wacha nistream tu nipeni link wakuu.
Kama maumivu wacha nikae nayo geto yakinipata naingia bed nalala kimyaa.






