Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mpaka sasa sajili za Ten Hag zimeonesha mafanikio.

Dirisha lijalo tuongeze watu muhimu hasa attacking na ku reinforce midfield.

Tukipata wachezaji wanne kwenye hizo sehemu tunaweza ongea habari za ubingwa.
Ni kweli mkuu....kati tumpatie Jonjo Shelvey apambane na fredi, mbele pale tungepata ata mtu kama Calvert Lewin.
 
Kwaichi kikosi bora ni lale tu.
1668106915068.jpg
 
Duu sipotezi mda kwenye kibanda umiza aloo wacha nistream tu nipeni link wakuu.
Kama maumivu wacha nikae nayo geto yakinipata naingia bed nalala kimyaa.
 
Baily, Boundia & Mings in. Watu hatari hawa wameingia. Makocha wa Man United sijui kwa nini wanakuwaga wazito kufanya sub.
 
Rashford ni mnyama...Rashford ni muhuni. Wale haters wa Rashford waje tena na leo.
 
Back
Top Bottom