Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

F..uck you Ferdinand..

Huyu baada ya World cup inabidi aondoke..

Ni aibu kuendelea kuwa na Matumaini na mtu kama Ronaldo huyu wa miaka 38.

Tuingie strongly sokoni kuboresha our attacking options(Namba tisa).
Mpaka sasa sajili za Ten Hag zimeonesha mafanikio.

Dirisha lijalo tuongeze watu muhimu hasa attacking na ku reinforce midfield.

Tukipata wachezaji wanne kwenye hizo sehemu tunaweza ongea habari za ubingwa.
 
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Manchester united 3 aston villa 0
1667911658708.jpg
 
Mpaka sasa sajili za Ten Hag zimeonesha mafanikio.

Dirisha lijalo tuongeze watu muhimu hasa attacking na ku reinforce midfield.

Tukipata wachezaji wanne kwenye hizo sehemu tunaweza ongea habari za ubingwa.
Ni kweli mkuu....kati tumpatie Jonjo Shelvey apambane na fredi, mbele pale tungepata ata mtu kama Calvert Lewin.
 
Duu sipotezi mda kwenye kibanda umiza aloo wacha nistream tu nipeni link wakuu.
Kama maumivu wacha nikae nayo geto yakinipata naingia bed nalala kimyaa.
 
Back
Top Bottom