Nyoka mwenye makengeza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 870
- 779
Ni kweli mkuu....kati tumpatie Jonjo Shelvey apambane na fredi, mbele pale tungepata ata mtu kama Calvert Lewin.Mpaka sasa sajili za Ten Hag zimeonesha mafanikio.
Dirisha lijalo tuongeze watu muhimu hasa attacking na ku reinforce midfield.
Tukipata wachezaji wanne kwenye hizo sehemu tunaweza ongea habari za ubingwa.


