Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,630
- 11,096
Liverpool akimtoa City tushindwe sisi tu.Tumepewa Burnley.
Liverpool akimtoa City tushindwe sisi tu.Tumepewa Burnley.
ile mechi ni kwa sababu ronaldo alicheza.Ile mechi ya Villa park wachezaji walikuwa na fatigue ya uchovu wa safari ya Spain
ile mechi ni kwa sababu ronaldo alicheza.






harafu kocha alivyo wa ajabu alimwacha dk zote 90Acha mambo yako hamna kitu kama hicho.Ndugu zangau Manchester japokuwa humu ni sehemu ya michezo basi sitokaa nyuma kupeana fursa kwjil ya kujikimu na maisha me nafanya financial market ambayo inahusisha forex,custom,index,stock na crypto lakin katka hpo me nafanya pair mbili index na crypto sio kuw nmesomea hapana mabrokers ambao wanatulink Ili tuingio sokon kupitia wao wamekuja na njia mpya ya kutoa signal kw kukata serviy harge ndo faida yke yeye anapoipata Yan unapewa muda wa kuingia na kutoka unaambiwa ubuy au usell ni biashara ambayo inafaida San na kw haraka saan unabadilisha maisha yko kulingana na mzunguko wake kw mawasiliano zaid contact 0782912118 usipuuze nitafute utaelewa zaida na Kila kitu kipo wasi kuhusu uhalali mikataba broker kusajilia underlinces usalama wa pesa Yako na biashara yko utaona hakuna maana ya kuifadh pesa bank
Maisha sio rahisi hivi.Ndugu zangau Manchester japokuwa humu ni sehemu ya michezo basi sitokaa nyuma kupeana fursa kwjil ya kujikimu na maisha me nafanya financial market ambayo inahusisha forex,custom,index,stock na crypto lakin katka hpo me nafanya pair mbili index na crypto sio kuw nmesomea hapana mabrokers ambao wanatulink Ili tuingio sokon kupitia wao wamekuja na njia mpya ya kutoa signal kw kukata serviy harge ndo faida yke yeye anapoipata Yan unapewa muda wa kuingia na kutoka unaambiwa ubuy au usell ni biashara ambayo inafaida San na kw haraka saan unabadilisha maisha yko kulingana na mzunguko wake kw mawasiliano zaid contact 0782912118 usipuuze nitafute utaelewa zaida na Kila kitu kipo wasi kuhusu uhalali mikataba broker kusajilia underlinces usalama wa pesa Yako na biashara yko utaona hakuna maana ya kuifadh pesa bank
mbona huamini mkuu?

sipendi uongo niko nafanya hizi mambo mwaka wa 3 huu. Hakuna mtu anaweza kufanya hivo ni waongo wanataka kuibia watu tu.Hizi ndyo kazi za manyumbu waja laanaNdugu zangau Manchester japokuwa humu ni sehemu ya michezo basi sitokaa nyuma kupeana fursa kwjil ya kujikimu na maisha me nafanya financial market ambayo inahusisha forex,custom,index,stock na crypto lakin katka hpo me nafanya pair mbili index na crypto sio kuw nmesomea hapana mabrokers ambao wanatulink Ili tuingio sokon kupitia wao wamekuja na njia mpya ya kutoa signal kw kukata serviy harge ndo faida yke yeye anapoipata Yan unapewa muda wa kuingia na kutoka unaambiwa ubuy au usell ni biashara ambayo inafaida San na kw haraka saan unabadilisha maisha yko kulingana na mzunguko wake kw mawasiliano zaid contact 0782912118 usipuuze nitafute utaelewa zaida na Kila kitu kipo wasi kuhusu uhalali mikataba broker kusajilia underlinces usalama wa pesa Yako na biashara yko utaona hakuna maana ya kuifadh pesa bank
Umemvuruga sana jamaa ujuesipendi uongo niko nafanya hizi mambo mwaka wa 3 huu. Hakuna mtu anaweza kufanya hivo ni waongo wanataka kuibia watu tu.











Ndy maisha sio rahis huku ufany biashara bure na hasara zipo lkn sio risk San tofaut na biashara nyingine miaka kumi10 ijayo nd utapata elimu hii alafu utasema ulikuwa wap hpo ndipo utanikumbuka mm lkn sijaandika mahali ambaopo namlazimisha mtu ila kama mtu ataona tija atanitafutaMaisha sio rahisi hivi.
Weng wao Kam nyny mmerukupukia forex bila kuw na proper education mmechoma account zenu mnaona uwongo Sasa kitu ambacho ujui FX Yako ya kizamani unafanya na una knowledge wewe wa kuanalaysis soko mwenyewe ila utakuja kuamin ukinitafuta na ukiona account yngu na miamala ambayo nafanyUmemvuruga sana jamaa ujue![]()
Mkuu inatosha,mwenye interest atakutafuta.Angalia my capital hapo sio tu tunaongea watu tunaweka pesa sio maneno meng alafu ingia unapopajua wewe umuangalie hyo broker ni regulated au sio kama hujia nakusaidia ingia wikifx hao wanatoa information zote za mabrokersView attachment 2412937
Wewe Kizazi Gani...danganya mapupu...sio sisiTatizo wabongo Kila kitu tunajifanya alafu tunajua ambaye Yuko teyar kujifany ajui na kupokea maarifa ndiye atakuw mjanja ujanja sio kujifany unajua kile ambacho ujui









Arsenal hatuna shabiki wa hivo, Huyo ni tapeli anatafuta wafuasi humu,kuweni makinYaani huyu shabiki wa AsaniWali Side buggati ametubadilishia gia angani tumeacha kujadili mpira tunajadili mambo ya forex
Phala yoyote atakaejadili mambo ya forex humu ndani nampiga Ban ya wiki![]()
Tume concede goli ngp chifuu???Sema mda mwngne tunaujuaji sana mashabiki kila chimbo la Man U lilikua linabeza kikosi cha ETH leo ila kimecheza vzur kuanzia dakika ya 0 mpaka 90 kimecheza kuliko kile cha villa park na Unai hajafanya mabadiriko makuubwa kina Ramsey,Watkins waliotukaanga ndo walewale wa Leo sasa najiuliza tulikwama wapi Villa park Bruno nae sijui anamapepo game nyngne mpaka unataman kumchapa ila game nyngne anakiwasha kama hii ya leo
Gernacho future is Bright...Rash hatukudai leo..Martial unakaa sana offside...Malacia,Maguire Kakichafua MNOO NA KADI JUU ,,UYU KIPA APEWE game nzito tuone uwezo wake villa hawajapiga shot on target nyingii tuone uwezo wake wa saves
FT 4-2