Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sema mda mwngne tunaujuaji sana mashabiki kila chimbo la Man U lilikua linabeza kikosi cha ETH leo ila kimecheza vzur kuanzia dakika ya 0 mpaka 90 kimecheza kuliko kile cha villa park na Unai hajafanya mabadiriko makuubwa kina Ramsey,Watkins waliotukaanga ndo walewale wa Leo sasa najiuliza tulikwama wapi Villa park Bruno nae sijui anamapepo game nyngne mpaka unataman kumchapa ila game nyngne anakiwasha kama hii ya leo
Gernacho future is Bright...Rash hatukudai leo..Martial unakaa sana offside...Malacia,Maguire Kakichafua MNOO NA KADI JUU ,,UYU KIPA APEWE game nzito tuone uwezo wake villa hawajapiga shot on target nyingii tuone uwezo wake wa saves

FT 4-2
@KENGE 01
Kukusaidia tu tukujibu hivi;
1. Tunabeza kikosi cha ETH pale anapotuwekea mid field dhaifu (erickson,vande beek) na kuwaacha wagumu Fred na Tominay nje.
2. Timu haijacheza vizuri toka dakika 1-90 kama unavyosema. Baada ya sub (Van de Beek, Martial) mdio tumekimbiza sana mpaka wakatamani mpira uishe.
3. Kikosi cha Villa sio kile kile cha last game. Hao miamba wao uliowataja (Mings,Bailey,Cash,Digne...) wameingia kuanzia dakika ya 60. Walianza na watoto.
4. Umewapa bigup wachezaji wa Man U waliofanya vyema nimekubali lakini umefanya kosa moja HUKUMTAJA TOMINAY, amekiwasha kweli kweli.
 
Hahaha, Sancho amepoteza kujiamini nadhani, akipatiwa muda atakaa vizuri. Tulitarajia mambo anayofanya Garnacho ndio angeķuwa anayafanya Sancho,ila hali imekuwa tofauti.

Garnacho akitunzwa vizuri hapa tuna mchezaji hatari sana.
Last game commentator alisema kwa namna anavyocheza lazima atakuja kuvaa jezi no. 7 ya United.
 
Sema mda mwngne tunaujuaji sana mashabiki kila chimbo la Man U lilikua linabeza kikosi cha ETH leo ila kimecheza vzur kuanzia dakika ya 0 mpaka 90 kimecheza kuliko kile cha villa park na Unai hajafanya mabadiriko makuubwa kina Ramsey,Watkins waliotukaanga ndo walewale wa Leo sasa najiuliza tulikwama wapi Villa park Bruno nae sijui anamapepo game nyngne mpaka unataman kumchapa ila game nyngne anakiwasha kama hii ya leo
Gernacho future is Bright...Rash hatukudai leo..Martial unakaa sana offside...Malacia,Maguire Kakichafua MNOO NA KADI JUU ,,UYU KIPA APEWE game nzito tuone uwezo wake villa hawajapiga shot on target nyingii tuone uwezo wake wa saves

FT 4-2
Maguire amecheza vizuri sio..Okay.
 
Tumepewa Burnley.
 

Attachments

  • FhPKBCmXoBYkFQ-.jpg
    FhPKBCmXoBYkFQ-.jpg
    44.9 KB · Views: 16
Back
Top Bottom