Kocha anawabania sana....VDB akae nje vijana wapige goziPellistri na Iqbal nao wapewe muda
Sijui nini kimempata VDB! Yaani hata kumtetea sasa inakuwa ngumu, maana anapewa nafasi lakini haonyeshi kama anastahili.
VDB auzwe haraka sana. Hamna mchezaji pale.
Nikiangalia uchezaji wa Eriksen natamani awe ndio anatimiza miaka 24.
@KENGE 01Sema mda mwngne tunaujuaji sana mashabiki kila chimbo la Man U lilikua linabeza kikosi cha ETH leo ila kimecheza vzur kuanzia dakika ya 0 mpaka 90 kimecheza kuliko kile cha villa park na Unai hajafanya mabadiriko makuubwa kina Ramsey,Watkins waliotukaanga ndo walewale wa Leo sasa najiuliza tulikwama wapi Villa park Bruno nae sijui anamapepo game nyngne mpaka unataman kumchapa ila game nyngne anakiwasha kama hii ya leo
Gernacho future is Bright...Rash hatukudai leo..Martial unakaa sana offside...Malacia,Maguire Kakichafua MNOO NA KADI JUU ,,UYU KIPA APEWE game nzito tuone uwezo wake villa hawajapiga shot on target nyingii tuone uwezo wake wa saves
FT 4-2
Last game commentator alisema kwa namna anavyocheza lazima atakuja kuvaa jezi no. 7 ya United.Hahaha, Sancho amepoteza kujiamini nadhani, akipatiwa muda atakaa vizuri. Tulitarajia mambo anayofanya Garnacho ndio angeķuwa anayafanya Sancho,ila hali imekuwa tofauti.
Garnacho akitunzwa vizuri hapa tuna mchezaji hatari sana.
Maguire amecheza vizuri sio..Okay.Sema mda mwngne tunaujuaji sana mashabiki kila chimbo la Man U lilikua linabeza kikosi cha ETH leo ila kimecheza vzur kuanzia dakika ya 0 mpaka 90 kimecheza kuliko kile cha villa park na Unai hajafanya mabadiriko makuubwa kina Ramsey,Watkins waliotukaanga ndo walewale wa Leo sasa najiuliza tulikwama wapi Villa park Bruno nae sijui anamapepo game nyngne mpaka unataman kumchapa ila game nyngne anakiwasha kama hii ya leo
Gernacho future is Bright...Rash hatukudai leo..Martial unakaa sana offside...Malacia,Maguire Kakichafua MNOO NA KADI JUU ,,UYU KIPA APEWE game nzito tuone uwezo wake villa hawajapiga shot on target nyingii tuone uwezo wake wa saves
FT 4-2
VdB hivi amefanya chochote kweli?..Tufanye kucashout mapema.
VDB auzwe haraka sana. Hamna mchezaji pale.
Nikiangalia uchezaji wa Eriksen natamani awe ndio anatimiza miaka 24.
wacha wauane, hapo Liver atutolee City, liver anaweza pigwa na watoto ila City ngumuTumepewa Burnley.
Hii ratiba mbona sijaielewa? Tutacheza na Burnley tar 20 mwezi ujao. United tuna wachezaji zaidi ya 12 WC.wacha wauane, hapo Liver atutolee City, liver anaweza pigwa na watoto ila City ngumu
Yaani Ronaldo ndo kirusi pale OTAlafu Ronaldo sometimes anafanya mambo magumu kwa kulazimisha ashoot, ona kufunga hawa wanapeana pasi pasi with spirit.
Kukaa nje ya uwanja muda mrefu kunashusha kiwango.Sijui nini kimempata VDB! Yaani hata kumtetea sasa inakuwa ngumu, maana anapewa nafasi lakini haonyeshi kama anastahili.
Liverpool akimtoa City tushindwe sisi tu.Tumepewa Burnley.
ile mechi ni kwa sababu ronaldo alicheza.Ile mechi ya Villa park wachezaji walikuwa na fatigue ya uchovu wa safari ya Spain
ile mechi ni kwa sababu ronaldo alicheza.






harafu kocha alivyo wa ajabu alimwacha dk zote 90Acha mambo yako hamna kitu kama hicho.Ndugu zangau Manchester japokuwa humu ni sehemu ya michezo basi sitokaa nyuma kupeana fursa kwjil ya kujikimu na maisha me nafanya financial market ambayo inahusisha forex,custom,index,stock na crypto lakin katka hpo me nafanya pair mbili index na crypto sio kuw nmesomea hapana mabrokers ambao wanatulink Ili tuingio sokon kupitia wao wamekuja na njia mpya ya kutoa signal kw kukata serviy harge ndo faida yke yeye anapoipata Yan unapewa muda wa kuingia na kutoka unaambiwa ubuy au usell ni biashara ambayo inafaida San na kw haraka saan unabadilisha maisha yko kulingana na mzunguko wake kw mawasiliano zaid contact 0782912118 usipuuze nitafute utaelewa zaida na Kila kitu kipo wasi kuhusu uhalali mikataba broker kusajilia underlinces usalama wa pesa Yako na biashara yko utaona hakuna maana ya kuifadh pesa bank