jamaa hata akifa ntashangilia halafu mganga wake wa moto sanaKama Bado Mctominay Ataendelea Kuwa Midfielder Wa Hii Timu Sioni Kitu Itafanya Msimu Huu![]()
Nimecheka Sana😂😂😂BREAKING
Klabu ya Manchester United imejiondoa kwenye michuano ya ligi kuu ya England (EPL).
BREAKING
Klabu ya Manchester United imejiondoa kwenye michuano ya ligi kuu ya England (EPL).






Anasema ana kikosi kizuri tu.mna timu ya kuzuia msako alopigwa arsenal kabla saka hajatupia ? ligi sio rahisi kama ten hag anavyofikiria
Tupo kwenye phase ya mabadiliko, tumetaka Changes lakini bado mashabiki ni ngumu kukubali changes.Timu kubwa kama Manchester United kuwania saini ya mchezaji mmoja kwa wiki 12 bila mafanikio ni aibu kubwa sana.
ETH amesema kwamba Only Right players watasajiliwa, Akikosa Target zake atadevelop huyo Player, FDJ asipokuja atadevelop FDJ mwengine kwenye Wachezaji wetu. Mpeni muda muone atakachofanya.Anasema ana kikosi kizuri tu.
Ngoja aone balaa lake..
Tuna kikosi chepesi sana aisee.
Barca MAKU kweli yaani wanataka tulipewalichopaswa kumlipa de jong.. hata de jong mwenyewe atatuona mafalaTupo kwenye phase ya mabadiliko, tumetaka Changes lakini bado mashabiki ni ngumu kukubali changes.
De jong fee yetu imekubaliwa na Barca kama mwezi sasa, kinachoendelea ni Barca hawataki kumlipa mshahara wake wanataka sisi ndio tumlipe,
Kama club yetu imechange kweli inatakiwa tusikubali, hii itasaidia hata kwa baadae timu nyengine zisitake advantage ya "UTD TAX", waache Chelsea walipe, ili tueke statement ya mabadiliko.
Wameshakataliwa kuregister wachezaji wao wote, wanatafuta vitu vya kuuza.Barca MAKU kweli yaani wanataka tulipewalichopaswa kumlipa de jong.. hata de jong mwenyewe atatuona mafala
Nikuulize mkuu, de jong kwa nini anang'ang'ania Kubaki Barca. Kwamba anajisikia vzr kuwa Barca. Kweli??Wameshakataliwa kuregister wachezaji wao wote, wanatafuta vitu vya kuuza.
Haiwezekani wachezaji wako wanakudai hela halafu wewe unasajili tu wachezaji kibao kwa pesa nyingi, then waliopo huwalipi.
Hakuna anaejua mkuu, ila kwa common sense ni kwamba anataka kulipwa hela zake.Nikuulize mkuu, de jong kwa nini anang'ang'ania Kubaki Barca. Kwamba anajisikia vzr kuwa Barca. Kweli??
Haoni kafanywa mbuzi, na Kwa kweli kocha wake anamuhitaji bado hawi muwazi??
Mwanzo nikijua anatumia mbinu alipwe asepe. Simuelewi
Umeeleweka vemaHakuna anaejua mkuu, ila kwa common sense ni kwamba anataka kulipwa hela zake.
Kipindi cha Covid Barca waliwaomba wachezaji wengi wasiwalipe hela zao then watakuja kuwapa hela nyingi baadae.
Kwa FDJ yeye analipwa Euro milioni 14 kwa mwaka, mwaka wa Covid akalipwa Euro million 3 tu (11 hakulipwa) na mwaka unaofuatia akalipwa 9 (5 hakupewa) approximately around 17m anawadai Barca.
Hivyo hapo Barca walimuahidi watakuja kumlipa baadae, sasa Barca hapa wanataka kutumia upenyo wa kisheria kwamba FDJ akiondoka muda huu wa usajili inamaana atakua sio tena Mchezaji wa Barca hivyo Barca kisheria hawalazimishwi kumlipa pesa zake, na FDJ nae Hataki kuondoka sababu asipoondoka tarehe waliyokubaliana kulipwa ikifika na Yeye akiwa kama Mchezaji wa Barca itawalazimu Barca kumlipa.
Tusubirie tu tuone movie inaishaje
Sawa Hata sisi tulianza Hivyo hivyo Usajili wa Mwanzo wa LVG tuna Rooney Na RVP akaongezwa na Falcao, Akaja Di maria, Shaw, Herrera, Rojo, Blind, na wengine wengi. Woodward alijisifu ana Hela na UTD tax ikaanza kila mchezaji tunayegusa inatajwa bonge la Fee, mwanzo wa Woodward ndio ulipelekea hadi tukamnunua Maguire kwa 80M.Tajiri TODDY BOEHLY analipa 80M ya usajili + 17M ya De Jong anayodai. Hakuna shida chief mpira ni pesa.
Chukua ukapike supu mkuuUmeandika utumbo
Sawa Hata sisi tulianza Hivyo hivyo Usajili wa Mwanzo wa LVG tuna Rooney Na RVP akaongezwa na Falcao, Akaja Di maria, Shaw, Herrera, Rojo, Blind, na wengine wengi. Woodward alijisifu ana Hela na UTD tax ikaanza kila mchezaji tunayegusa inatajwa bonge la Fee, mwanzo wa Woodward ndio ulipelekea hadi tukamnunua Maguire kwa 80M.
So waache Chelsea nao wafuate Nyayo zetu, Wameshavunja Record ya Dunia ya Full back Cucurela kwa 62M, bado kina Fofana kuna dalili ya Bonge la Fee, baada ya miaka 2 mitatu inakuja Chelsea
Hiki ndicho kitu watu wengi humu hawakielewi. Wana matarajio ya ajabu kweli kweli, lazima tukubali kupitia misimu miwili ya tanuli la moto.Tupo kwenye phase ya mabadiliko, tumetaka Changes lakini bado mashabiki ni ngumu kukubali changes.
De jong fee yetu imekubaliwa na Barca kama mwezi sasa, kinachoendelea ni Barca hawataki kumlipa mshahara wake wanataka sisi ndio tumlipe,
Kama club yetu imechange kweli inatakiwa tusikubali, hii itasaidia hata kwa baadae timu nyengine zisitake advantage ya "UTD TAX", waache Chelsea walipe, ili tueke statement ya mabadiliko.



