Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nikifikiria kikosi cha United cha msimu huu nakosa raha kabisa. Huenda tunaelekea kwenye wakati mgumu kuliko kipindi chote tangu nianze kuwashabikia Manchester United.

Nani atakuwa mwokozi wetu msimu huu, Zidan Iqbal ? Fecundo Pellistri ? Hannibal Mejbir ? Amad Diallo ?

Dah
 
Timu kubwa kama Manchester United kuwania saini ya mchezaji mmoja kwa wiki 12 bila mafanikio ni aibu kubwa sana.
Tupo kwenye phase ya mabadiliko, tumetaka Changes lakini bado mashabiki ni ngumu kukubali changes.

De jong fee yetu imekubaliwa na Barca kama mwezi sasa, kinachoendelea ni Barca hawataki kumlipa mshahara wake wanataka sisi ndio tumlipe,

Kama club yetu imechange kweli inatakiwa tusikubali, hii itasaidia hata kwa baadae timu nyengine zisitake advantage ya "UTD TAX", waache Chelsea walipe, ili tueke statement ya mabadiliko.
 
Ike mijamaa miwili pale mwanzo wa thread hii inanikera Sana. Yaani mi tramp hainamapenz na soka inataka pesa tu. Yaani Bora mods muwaondoe tuwekeeni. Wakina Ferguson, na hata makocha waliochemka kina Moriinho, Vaan gal nk au tuwekeeni tramp mwenyewe sio hawo ma glzers. Nachukia Sana.
 
Tupo kwenye phase ya mabadiliko, tumetaka Changes lakini bado mashabiki ni ngumu kukubali changes.

De jong fee yetu imekubaliwa na Barca kama mwezi sasa, kinachoendelea ni Barca hawataki kumlipa mshahara wake wanataka sisi ndio tumlipe,

Kama club yetu imechange kweli inatakiwa tusikubali, hii itasaidia hata kwa baadae timu nyengine zisitake advantage ya "UTD TAX", waache Chelsea walipe, ili tueke statement ya mabadiliko.
Barca MAKU kweli yaani wanataka tulipewalichopaswa kumlipa de jong.. hata de jong mwenyewe atatuona mafala
 
Wameshakataliwa kuregister wachezaji wao wote, wanatafuta vitu vya kuuza.

Haiwezekani wachezaji wako wanakudai hela halafu wewe unasajili tu wachezaji kibao kwa pesa nyingi, then waliopo huwalipi.
Nikuulize mkuu, de jong kwa nini anang'ang'ania Kubaki Barca. Kwamba anajisikia vzr kuwa Barca. Kweli??

Haoni kafanywa mbuzi, na Kwa kweli kocha wake anamuhitaji bado hawi muwazi??

Mwanzo nikijua anatumia mbinu alipwe asepe. Simuelewi
 
Nikuulize mkuu, de jong kwa nini anang'ang'ania Kubaki Barca. Kwamba anajisikia vzr kuwa Barca. Kweli??

Haoni kafanywa mbuzi, na Kwa kweli kocha wake anamuhitaji bado hawi muwazi??

Mwanzo nikijua anatumia mbinu alipwe asepe. Simuelewi
Hakuna anaejua mkuu, ila kwa common sense ni kwamba anataka kulipwa hela zake.

Kipindi cha Covid Barca waliwaomba wachezaji wengi wasiwalipe hela zao then watakuja kuwapa hela nyingi baadae.

Kwa FDJ yeye analipwa Euro milioni 14 kwa mwaka, mwaka wa Covid akalipwa Euro million 3 tu (11 hakulipwa) na mwaka unaofuatia akalipwa 9 (5 hakupewa) approximately around 17m anawadai Barca.

Hivyo hapo Barca walimuahidi watakuja kumlipa baadae, sasa Barca hapa wanataka kutumia upenyo wa kisheria kwamba FDJ akiondoka muda huu wa usajili inamaana atakua sio tena Mchezaji wa Barca hivyo Barca kisheria hawalazimishwi kumlipa pesa zake, na FDJ nae Hataki kuondoka sababu asipoondoka tarehe waliyokubaliana kulipwa ikifika na Yeye akiwa kama Mchezaji wa Barca itawalazimu Barca kumlipa.

Tusubirie tu tuone movie inaishaje
 
Hakuna anaejua mkuu, ila kwa common sense ni kwamba anataka kulipwa hela zake.

Kipindi cha Covid Barca waliwaomba wachezaji wengi wasiwalipe hela zao then watakuja kuwapa hela nyingi baadae.

Kwa FDJ yeye analipwa Euro milioni 14 kwa mwaka, mwaka wa Covid akalipwa Euro million 3 tu (11 hakulipwa) na mwaka unaofuatia akalipwa 9 (5 hakupewa) approximately around 17m anawadai Barca.

Hivyo hapo Barca walimuahidi watakuja kumlipa baadae, sasa Barca hapa wanataka kutumia upenyo wa kisheria kwamba FDJ akiondoka muda huu wa usajili inamaana atakua sio tena Mchezaji wa Barca hivyo Barca kisheria hawalazimishwi kumlipa pesa zake, na FDJ nae Hataki kuondoka sababu asipoondoka tarehe waliyokubaliana kulipwa ikifika na Yeye akiwa kama Mchezaji wa Barca itawalazimu Barca kumlipa.

Tusubirie tu tuone movie inaishaje
Umeeleweka vema
 
Tajiri TODDY BOEHLY analipa 80M ya usajili + 17M ya De Jong anayodai. Hakuna shida chief mpira ni pesa.
Sawa Hata sisi tulianza Hivyo hivyo Usajili wa Mwanzo wa LVG tuna Rooney Na RVP akaongezwa na Falcao, Akaja Di maria, Shaw, Herrera, Rojo, Blind, na wengine wengi. Woodward alijisifu ana Hela na UTD tax ikaanza kila mchezaji tunayegusa inatajwa bonge la Fee, mwanzo wa Woodward ndio ulipelekea hadi tukamnunua Maguire kwa 80M.

So waache Chelsea nao wafuate Nyayo zetu, Wameshavunja Record ya Dunia ya Full back Cucurela kwa 62M, bado kina Fofana kuna dalili ya Bonge la Fee, baada ya miaka 2 mitatu inakuja Chelsea Tax.
 
Sawa Hata sisi tulianza Hivyo hivyo Usajili wa Mwanzo wa LVG tuna Rooney Na RVP akaongezwa na Falcao, Akaja Di maria, Shaw, Herrera, Rojo, Blind, na wengine wengi. Woodward alijisifu ana Hela na UTD tax ikaanza kila mchezaji tunayegusa inatajwa bonge la Fee, mwanzo wa Woodward ndio ulipelekea hadi tukamnunua Maguire kwa 80M.

So waache Chelsea nao wafuate Nyayo zetu, Wameshavunja Record ya Dunia ya Full back Cucurela kwa 62M, bado kina Fofana kuna dalili ya Bonge la Fee, baada ya miaka 2 mitatu inakuja Chelsea


Mkuu Hakuna usajili wa kindezi nakumbuka kama ule wa Alex suchez.

Mshahara wa 500,000 maanina kabisa.

Kwa Hali hii iliyojitokeza, hata huyo de jong naaende tu
 
Tupo kwenye phase ya mabadiliko, tumetaka Changes lakini bado mashabiki ni ngumu kukubali changes.

De jong fee yetu imekubaliwa na Barca kama mwezi sasa, kinachoendelea ni Barca hawataki kumlipa mshahara wake wanataka sisi ndio tumlipe,

Kama club yetu imechange kweli inatakiwa tusikubali, hii itasaidia hata kwa baadae timu nyengine zisitake advantage ya "UTD TAX", waache Chelsea walipe, ili tueke statement ya mabadiliko.
Hiki ndicho kitu watu wengi humu hawakielewi. Wana matarajio ya ajabu kweli kweli, lazima tukubali kupitia misimu miwili ya tanuli la moto.

Sasa hivi naona juu kule ktk bodi wameanza kugundua ni zaidi ya pesa inayohitajika ili kujenga timu nzuri. Unahitaji watu sahihi kwanza kabla ya kuanza kutumia pesa.
 
Back
Top Bottom