Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,178
- 37,475
We Mbwa umeamka salama,tunakuandalia mifupa ya Nguruwe na utumbo wa Kuku.Leo mkitoboa mbele ya Spurs mniite mbwa nimekaa hapa.
We Mbwa umeamka salama,tunakuandalia mifupa ya Nguruwe na utumbo wa Kuku.Leo mkitoboa mbele ya Spurs mniite mbwa nimekaa hapa.
Umeamkaje leo we jamaaTottenham Leo tutawapiga nyumbu mpka mkimbilie championship
Kane hat trick![]()
Niache nimevurugwa kijana😂😂😂Umeamkaje leo we jamaa
Ligi bado mbichi sana, haya mambo njoo uyazungumze tukiwa mzungo wa pili wa ligi.Ile Trap aliyotega conte ya kumsifia cr7 ili aanzishwe iwe rahisi kumkaba, jana Ten kairuka vizuri tu
Matokeo mliyopata jana
Ni ushindi kwa ARSENAL, technically wazee wetu mnazidi kubariki hiki kikombe cha ligi msimu huu tukibebe
Pongezi za dhati kwa Fred, Nilishawai kumuelezea humu.
Kwamba leo mzima, kesho kichaa anapiga watu mawe
Haaland kiatu
Arsenal ndoo
Niache nimevurugwa kijana![]()




we jamaa hua unajua kuzitaabisha mbavu zangu aiseeee.Ronaldo hajawahi kumsumbua 10 Hag hata kidogo ila 10 Hag anajua kuwakomesha wachezaji wenye kaliba ya Ronaldo.Hongeren man u , wale wajinga wanachojua kukaa nyuma kusubiria kaunta
Halafu media zinakuja kusema Conte masterclass
I'll Yule Ronaldo anamsumbua Sana Ten hag
mKuu ndio unajua leo mimi Ronaldo nilikuwa namkubali kama Kaka angu vile yani hata kama mtu akiwa anamponda natetea kama ananijua vile ila alipokuwa anaradhimisha kuondoka tena analeta ubinafsi na anagomea kuja mazoezini na mechi za Pre season jamaa nishamchukia mpaka sielewi mwanzo nilikuwa namPendea niniMara nyingi nilikuwa namsapoti Ronaldo ila kwa kitendo alichofanya jana uzalendo umenishinda naona wachezaji wana morali ya juu ya kupambana kitimu yeye analeta mentality za ufather na kumpangia kocha hata kipindi yuko Real Madrid jamaa wakishinda wenzake hata timu ukishinda bila yeye kufunga hana hata raha hata kwenye kushangilia anashangilia kinyonge kiufupi mbinafsi sana na anapenda mafanikio binafsi ..
.Hivi hakuna mazoezi ya kumrefusha mtu mKuu?..?Mechi ya jana ndio mechi ya kwanza ya Man U kuiona kw dk zote 90, Martinez ni mtu sana jamaa anaakili zote ambazo beki mzuri anapaswa kuwa nazo.
hata kama ni surgery tumpereke huyu jamaa tumuongeze viji INCH maana kazi anayopiga inauzidi mwili.
#LUFC #SaintsFC

Niliona, ingekuwa bongo hasa kariakoo derby, hahaha ugomvi mkubwa.jana tumewapelekea moto tot mpaka kibendera katupa ‘advantage’ ya offside!!
Ilipigwa ndefu kwa Kane, Alikuwa offside na kibendera kanyoosha kabisa kibendera but baada ya mpira kumkuta shaw nae kutoa pasi… kibendera kumuona ref kamute nae akashusha chini kibendera mbugi likaendelea mpk mpira ukamkuta Fernandez na akatumbukia kimiani bila ajizi kuandika la pili.
Sijui wangapi walilinasa lile tukio.. jana nimelala kwa raha sana