Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tunatoa draw ya 5 mfululizo na hawa cheltako aise.View attachment 2394992
Ile nguvu iliyotumika kusawazisha goli ndani ya dakika 5 laiti ingetumika kipindi cha kwanza tusingeongelea habari ya draw na hawa kenge.
Wachezaji waliingia uwanjani na mentality ya kutoa sare ndio maana hata walipokua wanaingia ndani ya box walikua wanacheza mdako halafu wanarudisha mpira nyuma, hata wakipata kona wanafanya upuuzi uleule tu.
 
HIi manjestaa bila cr7 kwa kweli sion kama kuna sehemu mutatoboa popote pale. Maana kama jana mumeupiga mwingi na mumeshindwa maliza game mapema nyie bado ni takataka tu na cr7 angekuwepo basi mungeongea mengine leo. Huyu kipara wenu anajikuta sijui mambo ya nidhamu wakati anajua kabisa uwezo wa cr7 siyo wa kawaida. Huyu siyo muchezaji wa kuingizwa dkk ya 80 huyu anapaswa kukipiga mwanzo mwisho. Hii manjestaa itagawanyika na kupoteana kama cr7 hatocheza timu kubwa.
 
Sema nyie matakataka bado ni matakataka tu muna timu dhaifu sana. Maana jana tumeweka kikosi B lakini mumeshindwa kufua dafu🤥🤥🤥
 
Uwezo ndio umeishia pale wewe nyumbu ..hakuna nguvu yeyote ilitumika pale, ni butua butua zenu tu mukabahatisha kusawazisha
 
Sababu ya kuanza kwenye national team sio sababu bro hata Pogba alikuwa anaanza national team ya ufaransa na Hadi kubeba world cup Ila alikuwa hapendwi United.


Jengeni hoja nje ya kuanza kwenye national team
 
Under ETH kuna development kubwa Sana ndani ya team, kuanzia uchezaji,organization, , pressing, mentality n.k !!!!

Wako wapi wale washenzi waliosema Casemiro haendani na kasi ya EPL ? Nadhan mmemuona kwenye hizi game mbili,,,

Vs Spurs
Vs Chelsea ,,,,

Trust the process,,,,

#GGMU
 
Nyie manyumbu mnaona raha kuchomoa mkisha chomekwa
naona kuna mtu alikuwa anashangia kuchomoa au alikuwa anasikiliziq utamu
 
Mkuu chagua moja huwezi kusupport pande zote ni aidha Ronaldo kakosea au Ten hag kakosea kumuadhibu ronaldo.

Mambo ya kusema unaunga mkono japo hau support upuuz huo ni undumila7 kuwili.
Pale OT sio kesi ya Ronald tu, hata Rashford ikitokea amekuja stricker matata atakaa bench tu.

Ten Hag yupo sahihi....na nadhani itatakiwa cr7 akae bench mechi za kutosha...aende akafanye mazoez pekeake huko anapopajua yeye.

Si mnaona hata mazoez, au warm-up anafanya pekeake?

Ten Hag alisoma sababu za makocha wazoef vya kutosha (vanguard, morinyo, RR) kuishindwa hii club.

Aligundua Nina hakika aliona Pogba, martial na wengine walikuwa na viburi vya hovyo. Atakuwa ameona ni upuuzi mkubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…