Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahahaa Jombaa are you serious? Rashford huyu huyu mchezaji asiye na consistency? Fred huyu sihitaji hata kumzungumzia.

Huwezi kushinda makombe kama huna wachezaji wenye performance consistency. Vitu ambavyo Rashford na Fred hawawezi kukupa msimu mzima.
Rashford ana Consistency angalia kwa jicho jengine. Mechi zote hizi kubwa kina Liver, Arsenal, Spurs ambazo tumeshinda ni key player. Kikosi kikiwa kikubwa kila mchezaji atakua na role yake.
 
View attachment 2392132

Conte ni mjanja mjanja sana.

Ukiichukulia kauli hii technically utaona Conte anawapa presha Ten Hag na benchi lake kumuanzisha Ronaldo siku ya leo, mtu ambae ni rahisi kumkaba, sio mzuri kwenye possession na kibaya zaidi ha press effectively.

Ten Hag akiingia huu mkenge leo ameyakanyaga. NDOIGE lazima iwahusu!
Nimekuvulia kofia
 
Ronaldo underestimated Ten Hag.

January kwaheri.
20221020_222853.jpg
 
huyu anafuta headline tu, ila sio tatizo tena kwa timu yetu.
Aliona timu imecheza vizuri sana bila yeye akajiuliza atatrend vipi?

Huyu ndio maana timu nyingi kubwa zilimkataa alipokuwa akihaha kuondoka, makocha walijua ataharibu hali ya hewa na muunganiko wa timu zao.

EtH amenifurahisha sana, angekuwa Ole angeanza kumtetea kwamba alikuwa anaumwa tumbo na hakukataa kuingia uwanjani.
 
Kocha mwenye ujasiri wa kumuweka Ronaldo benchi anaweza kufika mbali.

Huo ni ujumbe kwa wote, kama Ronaldo anawekwa benchi na wewe usishangae kukaa benchi.

Yupo wapi Maguire?

Ole hakuna na huo ujasiri.
Ole asingeweza kumuweka bench Ronaldo, yaani Ronnie ndo angekuwa anapanga kikosi kabisa

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu tuwe tunasoma alama za nyakati, pale Utd hata angekuja nani bado tungesema kuna eneo linapwaya, co kwamba hatuna wachezaji bali tumepoteza ari na bahati, acha aje CR7 arudishe kujituma kwenye timu cz wachezaji wazembe na wavivu wataanza kujituma hata mazoezini mana hawatojisikia vzr mzee kuwazidi ktk kufanya mazoezi.
Vipi Mkuu usajili wa Ronaldo bado ni asset kwetu au ni liability ?
 
Ila jana tumecheza mpira nadhani msimu huu ndo mechi ya kwanza kucheza dakika 90 mpera mpera tumekaba sana tackling za maana yani kazi kazi. Casemiro anajitahidi kutulia fred kuna dakika unampenda then fasta anakukera.

Ronaldo dah jana kanishangaza ila tunahitaji mfungaji jana wale 6 zilikua zinawahusu.
Jana ndiyo niliona Manchester United wanacheza probably tangu 2021 mechi yetu na Leeds United ndiyo jana tena nimeona Manchester United ikicheza.
 
Sijafurahishwa na usajili wa Christiano Ronaldo.
Why?

Ronaldo ana miaka 36 as of today amepewa Contract mpaka 2023.

Kununuliwa kwa Ronaldo kutatuathiri hapa.
1. Hatutaweza tena kununua DM kwajili ya kuifanya timu yetu icheze kwa uhuru zaidi.

2. Usajili wa Ronaldo unaenda kupunguza gametime kwa Mason Greenwood, Rashford even Sancho kwa sababu either Ronaldo atatakiwa kucheza kama striker au Left wing.

3. Usajili wa Ronaldo unaenda kufifisha zaidi ndoto ya kumsajili Haalland au Striker mwingine yoyote katika kikosi chetu kilichopo kwenye rebuild.

4. Usajili wa Ronaldo unaenda kuongeza idadi ya wazee pale United kutoka watano mpaka kufikia 6. Mata, Matic, Heaton, Grant, Cavani, na Ronaldo.

5. Uwepo wa Ronaldo mwenye miaka 36 uwanjani unaenda kutufanya tucheze na mchezaji mmoja pungufu kwa sababu Ronaldo wa sasa hakabi, anakabika kirahisi sana na tukumbuke timu yetu inacheza kwa tabu sana kwenye final third.

6. Tunalazimika kutafuta mfumo mpya wa uchezaji kuaccomodate CR7 katka kikosi chetu.hii itahitaji muda pia.


Swali la kizushi je tumemsajili CR7 kwa sababu tunamhitaji au tumemsajili ili asiende Man City???


Welcome the GOAT.


Vipi muda bado haujatupatia majibu juu ya usajili wa Ronaldo ??

Daemusin Fuentte Darmian The best Bavaria
Muda bado haujatupa majibu ??
 
Peter Schmeichel on Cristiano Ronaldo: “It's the first time I can say that I am disappointed with him. Normally I back him, I understand his situation — we don't need distractions like that, and that's a disappointment, I would say.”

#RonaLdoOUT
#GlazerOUT
#GGMU

manutd
 
A growing number of Manchester United players prefer playing without Cristiano Ronaldo and had hoped he would be sold in the summer.

[samuel luckhurst]
#RonaLdoOUT
#GlazerOUT
#GGMU

manutd
 
Back
Top Bottom