Mpira dakika 90 kumbuka Chelsea wabovu msimu huunyinyi kenge muoshe vizuri
cheltako kashapaka mkongo huko
nyinyi wote ni wabovu msimu huuMpira dakika 90 kumbuka Chelsea wabovu msimu huu
Ana miaka 37 lkn anataka apewe muda wa kijana mwenye 20s, hilo ni tatizo kubwa sana.Vipi Mkuu usajili wa Ronaldo bado ni asset kwetu au ni liability ?
Kumbe ulibadili jina mkuu, me nilidhani ni miongoni mwa wale watoto walioanza kufuatilia soka baada ya betting companies kuanzaVipi Mkuu usajili wa Ronaldo bado ni asset kwetu au ni liability ?








Pole pole point zetu zinaingia. Angekua ole angeacha hadi kikosi apangiwe.Ana miaka 37 lkn anataka apewe muda wa kijana mwenye 20s, hilo ni tatizo kubwa sana.
Dah hayari aje huku Africa tukipige CAF champion leagueHivi kesi ya Greenwood inaendeleaje?
Klabu imeachia mahakama iamue kwanza hatma yake ndipo mambo mengine yaendeleeHivi kesi ya Greenwood inaendeleaje?
Daah dogo kaua kipaji chake mapema sana maana akirudi dimbani tena mauwezo yatakuwa yamepungua anyway Mungu amsaidie uko.Klabu imeachia mahakama iamue kwanza hatma yake ndipo mambo mengine yaendelee
Na asije akafanya masikhara pia kumuongezea hata mmoja hawa wanaomaliza mikataba. Hata waonyeshe ubora kiasi gani msimu huu hii mifuko iende tu. (Rashford, Degea, Fred, Dalot, Jones, Tuanzebe, Ronaldo, Shaw, Heaton)
Hao wote hapo wanaweza kuwa kaburi lake siku za usoni akijikoroga kumpa hata mmoja mkataba mpya. Ukimuondoa Ronaldo ssb ya umri waliobakia wote hawana ubora wa kucheza United. (inconsistency performance)
Naunga mkono hoja. Hofu yangu kubwa sana huyu Bruno ni loyal follower wa Ronaldo. Ila kwa namna yoyote ile Ronaldo anapaswa kuondolewa kikosini mwezi wa kwanza kabla hali haijawa mbaya zaidi dressing room.Ten Haag kaza. Bado Bruno aonywe.
Ni kweli ila hao wachezaji wote wanaomaliza mikataba yao mshabiki yeyote wa United aliyemkweli na nafsi yake anafahamu fika ni wachezaji wa hovyo wasio na uhakika wa kucheza kwa kiwango kizuri kwa muda mrefu.Rashford, Dalot na Shaw hao ni uhakika 100% wataendelea kuwepo United beyond 2023. De Gea sababu ya falsafa ya kocha, huyo Nampa 50/50 itategemea na evaluation ya kocha mwisho wa msimu. Fred nae itategemea na upatikanaji wa De Jong, ila nae (Fred) uwezekano wa kuendelea kuwepo beyond 2023 ni mkubwa sana. Hao wengine Sina comment