Huyu ten hag hatofika mbali ni lazima tukubali kwanza Ronaldo ana mafanikio makubwa kuliko yeye kwenye mpira wa miguu anastahili heshima kilichopo pale wala sio kiwango cha Ronaldo but ni chuki binafsi .Tujifunze kuthamini kazi kubwa walizofanya watu mpk wakafika walipo bila kuwachukiaHuyu ana kiburi sana.
EtH ni kocha safi sana, akiendelea hivi atafanikiwa. Nidhamu ni kitu muhimu sana.

kuuliza kunani leo wanasema.

1:30 jioni
Stamford bridge



EricksenErisken or Fred kesho??
We unaenda na nani?
Mimi ni hivi;
Fernandes Casemiro Fred
Mtoto wako akikuzidi uwezo wa kifedha utamruhusu akufanye anachotaka yeye, yani akuagize maji ya kunywa na wewe unamletea?Huyu ten hag hatofika mbali ni lazima tukubali kwanza Ronaldo ana mafanikio makubwa kuliko yeye kwenye mpira wa miguu anastahili heshima kilichopo pale wala sio kiwango cha Ronaldo but ni chuki binafsi .Tujifunze kuthamini kazi kubwa walizofanya watu mpk wakafika walipo bila kuwachukia
Vipi ulilidhika na kiwango chake ?Ngoja leo ni tulie ni mcheki kijana Cody Gakpo kama ni kipaji au kelele tu
Kama hataweza kuonesha makali yake mbele ya timu kama arsenal basi hatakuwa yupo vyema maana tetesi kibao zina mzungumzia kuja Manchesterunited.
Bado ni mchezaji mzuri bwana psv uwezi linganisha na arsenal.Vipi ulilidhika na kiwango chake ?
Alikutana na Samurai akawekwa kapuni, kazi ya Samurai Ni kushusha Bei za watu Kama hao
Ukiambiwa Gapko alikuwa uwanjani unaweza kupigana View attachment 2394296
samurai anashusha bei za wingaVipi ulilidhika na kiwango chake ?
Alikutana na Samurai akawekwa kapuni, kazi ya Samurai Ni kushusha Bei za watu Kama hao
Ukiambiwa Gapko alikuwa uwanjani unaweza kupigana View attachment 2394296
Ni kweli hatuwez kumpima kwa mech 1, but Hizi Ligi lain Kuna muda zinatudanganya SanaBado ni mchezaji mzuri bwana psv uwezi linganisha na arsenal.
Ngoja tumsajiri uone shughuli yake.
Asubuhi nimepita hospitali ya Ocean Road nikakutana na madoctors wamekaa chini ya mti wanacheza game.Kila napo pita watu wanafuraha kweri kwerikuuliza kunani leo wanasema.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima wana furaha
Prediction
Chelsea 1 vs Manchester united 2
Muda
1:30 jioni
Stamford bridge
Last match
Chelsea 1 vs Manchester united 1View attachment 2394271




Comment yako inatokana na hasira zako kuhusu issue ya CR7. Najua kwako Ronaldo ni zaidi ya Man utd.Leo tunacheza na chelsea tunakufa 3
Aisee Ten Hag anamchukia vipi Ronaldo ?Huyu ten hag hatofika mbali ni lazima tukubali kwanza Ronaldo ana mafanikio makubwa kuliko yeye kwenye mpira wa miguu anastahili heshima kilichopo pale wala sio kiwango cha Ronaldo but ni chuki binafsi .Tujifunze kuthamini kazi kubwa walizofanya watu mpk wakafika walipo bila kuwachukia
Huyu ten hag hatofika mbali ni lazima tukubali kwanza Ronaldo ana mafanikio makubwa kuliko yeye kwenye mpira wa miguu anastahili heshima kilichopo pale wala sio kiwango cha Ronaldo but ni chuki binafsi .Tujifunze kuthamini kazi kubwa walizofanya watu mpk wakafika walipo bila kuwachukia