Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man city jinsi anavyotufukuza, anaweza akaharibu TITLE CONTENDER

Tatizo nyie wapuuzi mnakelele sana

Bora mfe tu, man city nitamshughulikia mwenyewe

City 7 vs nyumbu 0
Pumbavu thanaa 😁😁😁😁
 
Ushindi unawezekana kama mtaibeba OT kwenda nayo Etihad, timu yoyote inaweza kucheza Counter km kuna support ya mashabiki nyuma.
Will Jr: unateseka ukiwa wapi?
Hivi kati yako wewe na Partey nani mwenye low IQ?

Kama Arteta mwenyewe kathibitisha ubora na uimara wa kikosi cha Man United msimu huu wewe ni nani wa kuibeza timu kubwa zaidi hapa duniani?
 
80c602be443e4fa5abf1045086f48d58.jpeg
 
Ushindi unawezekana kama mtaibeba OT kwenda nayo Etihad, timu yoyote inaweza kucheza Counter km kuna support ya mashabiki nyuma.
Sisemi kuwa Man U anashinda leo.

Ila katika michezo minne ya hivi karibuni Man U aliyocheza Etihad.
Man City kashida mchezo mmoja tuu, iliyobaki yote Man U kashinda.

So iyo Point yako inakufa.
 
Sina shaka mechi ya leo, City anaenda kui dominate na kama kawaida yake atacheza high line. Kama wachezaji watakuwa na discipline, wakaweka workrate kubwa as a team(hii inawezekana Ronaldo asipoanza) , intensity kubwa, cover more distance uwezo wa kupambana na City upo. Sijui kama tutashinda ila lazima tumfunge magoli kadhaa kwa kuwa tupo vzr kwenye counter. Defence yetu ndo itaamua kama tunashinda mechi au la..
 
Back
Top Bottom