Sasa ndiyo mnaotewa magoli matatu! Basi mna timu mbovu.Timu ya kuvoziavia ,ujanja ujanja
Kesho jikazeni mpate hata DRAW tu


















Sisemi kuwa Man U anashinda leo.Ushindi unawezekana kama mtaibeba OT kwenda nayo Etihad, timu yoyote inaweza kucheza Counter km kuna support ya mashabiki nyuma.
Game saa ngapi
Search Global Max google App storeStreaming Link naona Hesgoal anamezingua
Anamuondolea pressure kwanza
Casemiro hajamfurahisha kocha bado au shida ni nini wataalamu wa soka?
Uyu dogo halland katutolea maneno ya shombo sana kwanza anakwambia united haikua timu ya hadhi yake kuichezea pili kanasema sis kalikua kanatutamani mda mrefu kweli katuoneshe ngoja tumuone hiyo LeoBruno na eriksen pigeni zile pasi mchomoko za fasta kwenye ile high line defense ya city zimkute rashfod awaweke hawa city... mana city pale kati yupo akanji na akeaisee hahahaaa