Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Casemiro hajamfurahisha kocha bado au shida ni nini wataalamu wa soka?
 
Bruno na eriksen pigeni zile pasi mchomoko za fasta kwenye ile high line defense ya city zimkute rashfod awaweke hawa city... mana city pale kati yupo akanji na akeaisee hahahaaa
Uyu dogo halland katutolea maneno ya shombo sana kwanza anakwambia united haikua timu ya hadhi yake kuichezea pili kanasema sis kalikua kanatutamani mda mrefu kweli katuoneshe ngoja tumuone hiyo Leo
 
Mimekuja kusalimia2 nikimaliza naludi kwe2
JamiiForums830976202.jpg
 
Oya tusaidieni link chap ya kutazama mechi sisi wa chitoholi.
 
Back
Top Bottom