Umepanik Sana ,ila hi Ni football tu, haina haja ya kutoa matusi
Ten hagg amepewa £250m dirisha moja ,lakin timu inarukaruka tu,
Ili muanze hata kucheza angalau hata kiwango alichofikia Ole Gunnar inambidi Ten hagg apate madirisha manne na kila dirisha apewe £250m , kifupi atumie £1Billions .
Naona mnatamba kipind Cha pili mlimkamata Pep


Mnashindwa kung'amua Pep tayari alishapata matokeo ambayo kwavyovyote alijua hamuwez kuyarudisha, ana mech ya UCL ,ana majeruhi ,
Mimi Kama mdau wa Epl nataka nione kwa mpira huu wa Ten hagg wa ujanja ujanja akiokota point ngapi hapa
Manchester United's next six fixtures:
Everton (A) - October 9
Newcastle (H) - October 16
Tottenham (H) - October 19
Chelsea (A) - October 22
West Ham (H) - October 30
Aston Villa (A) - November 6