Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kumbe unawajua man utd zaid kuliko timu unayoitetea man city. Kweli nyie unaakili za kuku. Huohuo uginyi na injury ndiyo udhaifu wao. Vitu kibao hamuvifanyii consideration unaongea upumbupumbu, hujaangalia weakness za pande zote. Hujui kocha wa utd anahaha kupata wachezaji anaowataka, anatumia remains za wenzie.

Mnapenda kuongelea matarcore yenu ya nyuma. Ishu kikao you cc an talk about, mnaongelea nyegere zenu maaanina kabisa.
Acha kuteseka,TIMU ITAWAUA HIYO

georgejob_gj-20221002-0001.jpg
 
Kumbe unawajua man utd zaid kuliko timu unayoitetea man city. Kweli nyie unaakili za kuku. Huohuo uginyi na injury ndiyo udhaifu wao. Vitu kibao hamuvifanyii consideration unaongea upumbupumbu, hujaangalia weakness za pande zote. Hujui kocha wa utd anahaha kupata wachezaji anaowataka, anatumia remains za wenzie.

Mnapenda kuongelea matarcore yenu ya nyuma. Ishu kikao you cc an talk about, mnaongelea nyegere zenu maaanina kabisa.
Tatizo mnabetia timu mnazozipenda ndio mnaumia double double
 
Kumbe unawajua man utd zaid kuliko timu unayoitetea man city. Kweli nyie unaakili za kuku. Huohuo uginyi na injury ndiyo udhaifu wao. Vitu kibao hamuvifanyii consideration unaongea upumbupumbu, hujaangalia weakness za pande zote. Hujui kocha wa utd anahaha kupata wachezaji anaowataka, anatumia remains za wenzie.

Mnapenda kuongelea matarcore yenu ya nyuma. Ishu kikao you cc an talk about, mnaongelea nyegere zenu maaanina kabisa.
Hujaongea point ata moja
 
Kumbe unawajua man utd zaid kuliko timu unayoitetea man city. Kweli nyie unaakili za kuku. Huohuo uginyi na injury ndiyo udhaifu wao. Vitu kibao hamuvifanyii consideration unaongea upumbupumbu, hujaangalia weakness za pande zote. Hujui kocha wa utd anahaha kupata wachezaji anaowataka, anatumia remains za wenzie.

Mnapenda kuongelea matarcore yenu ya nyuma. Ishu kikao you cc an talk about, mnaongelea nyegere zenu maaanina kabisa.
Umepanik Sana ,ila hi Ni football tu, haina haja ya kutoa matusi

Ten hagg amepewa £250m dirisha moja ,lakin timu inarukaruka tu,

Ili muanze hata kucheza angalau hata kiwango alichofikia Ole Gunnar inambidi Ten hagg apate madirisha manne na kila dirisha apewe £250m , kifupi atumie £1Billions .

Naona mnatamba kipind Cha pili mlimkamata Pep 🤣🤣🤣

Mnashindwa kung'amua Pep tayari alishapata matokeo ambayo kwavyovyote alijua hamuwez kuyarudisha, ana mech ya UCL ,ana majeruhi ,

Mimi Kama mdau wa Epl nataka nione kwa mpira huu wa Ten hagg wa ujanja ujanja akiokota point ngapi hapa


Manchester United's next six fixtures:

Everton (A) - October 9

Newcastle (H) - October 16

Tottenham (H) - October 19

Chelsea (A) - October 22

West Ham (H) - October 30

Aston Villa (A) - November 6
 
Umepanik Sana ,ila hi Ni football tu, haina haja ya kutoa matusi

Ten hagg amepewa £250m dirisha moja ,lakin timu inarukaruka tu,

Ili muanze hata kucheza angalau hata kiwango alichofikia Ole Gunnar inambidi Ten hagg apate madirisha manne na kila dirisha apewe £250m , kifupi atumie £1Billions .

Naona mnatamba kipind Cha pili mlimkamata Pep

Mnashindwa kung'amua Pep tayari alishapata matokeo ambayo kwavyovyote alijua hamuwez kuyarudisha, ana mech ya UCL ,ana majeruhi ,

Mimi Kama mdau wa Epl nataka nione kwa mpira huu wa Ten hagg wa ujanja ujanja akiokota point ngapi hapa


Manchester United's next six fixtures:

Everton (A) - October 9

Newcastle (H) - October 16

Tottenham (H) - October 19

Chelsea (A) - October 22

West Ham (H) - October 30

Aston Villa (A) - November 6
Hizi game zote kwa manyumbu ni ngumu sana
 
Lakini waaaapiiiiiii

FA nao pia wajiangalie, sio kila mchezaji anapewa tu kibali cha kuchezea Premiere league, kuna wachezaji wengine wametumwa makusudi kuja kutuharibia ligi yetu pendwa baada ya kelele za "EPL ndio ligi ngumu zaidi duniani" kua nyingi.
Screenshot_20221003_103156.jpg
 
Furaha ya mpira ni pamoja na kupoteza kama hivi.

Uimara wa timu unakuja kufatana na kupoteza game.
Kweli kabisa maisha bila changamoto hua yanakosa msisimko.
Mechi ya jana kulikua na mistakes za hapa na pale ila kipindi cha pili vijana walionyesha mabadiliko makubwa sana, nimeongea na Ten Hag amenihakikishia kua mapungufu yote yaliyojitokeza jana ameyaona na atayafanyia kazi na ile kauli yake ya "Eras come to an end" bado iko palepale.
 
awa city nao wasipotibu tatizo lao la kuluhusu migoli ovyo itawachukua muda mrefu sana kubeba ligi ya mabigwa barani ulaya
Mkuu...Sitaki kusema sana ila Historia inaonyesha Mabeki wengi wazuri...huwa wakipata injury tu basi wanaporudi viwango vyao huwa chini na huwa wanapoteza form zao.

Mfano: Van Djik wa Liver saiv ana kiwango cha chini tofauti na alivyozoeleka awali na hii ni tokea amerudi injury hayuko sawa kabisa. Tukiiangalia City vizuri unaona kabisa ata Dias tokea arudi kutoka majeruhi amepoteza ubora wake na vivyo hivyo ata kwa Larpote ambaye amerudi jana.

Kumbuka Stone naye yupo injury pamoja na walker jana pia, kwahiyo challenge kubwa ya wachezaji wazuri ni kupata majeruhi ambayo City yanawaandama sana kwa sasa, Na ukiangalia vizuri saiv Uhai wa ukuta wa City ni yule Akanji(waliemsajili majuzi kutoka Dortmund) na Ake ndo wanaafadhali pale nyuma...wengine wapewe muda watarudi kwenye ubora wao ila kwa umri wa walker(32yrs) tena katika EPL...hana kiwango kibaya ila naona kabisa mwisho wake unakaribia maana injury ni nyingi kwake.

Lakini ata kama kuna kuruhusu magoli...kikubwa pawe na forward kali zenye accuracy ya kufunga magoli mengi ili Kucompasate kwenye goals difference...na hiki ndicho kitakachowasaidia City uwepo wa haaland pale mbele, kikubwa awe fit asipate majeruhi nayeye.
 
Lakini waaaapiiiiiii

FA nao pia wajiangalie, sio kila mchezaji anapewa tu kibali cha kuchezea Premiere league, kuna wachezaji wengine wametumwa makusudi kuja kutuharibia ligi yetu pendwa baada ya kelele za "EPL ndio ligi ngumu zaidi duniani" kua nyingi. View attachment 2375519
Ndugu Mie City ila lile goli la Antony ni FAR-POST ya hatari, kijana ana kitu mpeni muda na nachokiona mkitaka mpate THE BEST OUT OF ANTHONY...acheni kupaki basi mcheze mpira wa kutandaza.

Na ili litawezekana kama mtampata beki mzuri mwenye kimo atakayeweza kucheza na Martinez(huyu yupo vizuri ila mfupi)...kwa varane bado na jana goli la haaland la pili ni kosa lake kabisa KIPA KAJITAHIDI KUBANA GOLI ALIVYOWEZA JAPO KUNA UPENYO ULIUACHA NA HII YOTE DE GEA ALIAMINI ULE MPIRA UTATOKA NJ'E...sasa ilitakiwa yeye Kama beki wa mwisho asiruhusu ule mpira kumpita yani angeuosha(swipe) kabla ya kwenda kukutana na Jini haaland pembezoni mwake na kupenyeza kwenye ule ule upenyo mdogo ulioachwa.
 
Back
Top Bottom