Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yani #FAZA ronaldo anaumia na matokeo akiwa Sub...Lakini bwana Maguire yeye anafurahia yanayoendelea uwanjani.

20221003_144304.jpg


Duh!...kweli nimeamini wachezaji wengine ni Mzigo ata wakiwa Benchi, AKIPANGWA KIKOSINI SHIDA...ASIPOPANGWA NDO TABU ZAID, eti Tumfanyeje uyu jaman???...maana ata bench halimfai sasa 😅😅😅.
20221003_000934.jpg
 
Do you remember when United fans were shouting out that they are winning the league after signing Ronaldo & Sancho last season?
 
Lakini waaaapiiiiiii

FA nao pia wajiangalie, sio kila mchezaji anapewa tu kibali cha kuchezea Premiere league, kuna wachezaji wengine wametumwa makusudi kuja kutuharibia ligi yetu pendwa baada ya kelele za "EPL ndio ligi ngumu zaidi duniani" kua nyingi. View attachment 2375519
Hili jamaa jini , niliwaambia Liverpool waache kumfananisha na Nunez ,ambaye Ni one season wonder ,

Halland Bora angeenda Spain tu
 
Back
Top Bottom