Rashford ni mpumbavi Sana huwaga simkubaki kabisa. Hallad anakwenda kusaidia chini juu yeye kakalisha matacore yake mbeleSi mbaya walau tumetupia 3.Rashfold kazingua sana kama angetumia nafasi vizuri mambo yangekuwa mengine.
Nakunywa 🍷 na maumivu kiasi na amini katika project ya Mwl.
Vipi turudi kwenye international break au tuendelee?[emoji1787][emoji1787]Kocha la Mpira ETH kwny first press alipoulizwa anazungumziaje ubora wa Liverpool na Man City na ana mpango gani kukabiliana nao,
Alijibu
"WE SHALL BATTLE THEM ALL" [emoji1491][emoji1491].
Kauli ya kiume sana hii, na tushaanza shughuli.
Morale ikiwa juu hata mambo yanayoonekana kutowezekana huwa yanawezekana.
Sema tulimiss sana timu la mpira, hatujawa uwanjani muda mrefu.
GGMU [emoji1491][emoji1491]
Sio kucheza kwa presha sema huna uwezo wa kucheza km Man city, itakuchua miaka 5 kucheza huo mpira.[emoji1787][emoji1787]Hii game ishaharibika tunacheza kwa presha sana tofauti na city wanavyocheza.
Pep Guardiola wannabe who is older than pep himself [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Erick ten shanga
Cry baby [emoji1787][emoji1787][emoji1787]acha upumbavu wew city unamuweza au unaongea kujifariji tu hapa timu gani pale england ambaye anauwezo wakushindana city
Kufungwa ni kawaida katika mpira napia kukontrol gemu kwa kufanya pressing sana ni sehemu kubwa mojawapo ya kuwin game lakin haikupi uhaika wa 100% kushinda katika game, tatizo timu ilikua Kama vile imelala yaani wachezaji Ile kuonesha motisha ya kupambana hapana kabisa wanacheza kwa presha,na kutokujiamini pamoja na hofu sana yaan ni Ile ilimradi muda huende mpira huishe sababu hawakuwa mchezoni kabisa hasa kule mbele ndio kulikua kumepwaya kabisa.Kwann hampend kufanya analysis ya game zenu muujue Ukweli?
Man u karibu game 3 za mwisho ameshinda lkn kwa ushindi mgumu au wa janja janja ,sio kwa ku control game
Kwa situation hizi, tegemea ushindi wa kubahatisha tu
Hilo goli la Antony Labda n goli Bora Kwa upande WA nyumbu Kwa mwezi wa 10Kipindi cha pili walau tumeonyesha uhai.
Kwa hizo goli 3 tulizozipata mbele ya city sio kitu cha kubeza hata kidogo.
Kwangu mimi hii game ya leo najihesabia sisi ni washindi ingawa point 3 zimeenda kwa city.
Goli la Anthony ndio goli bora kabisa kwa mwezi huu wa October.
Wanaombeza Anthony wana chuki zao binafsi inabidi wapuuzwe ingawa Anthony nae anapaswa pia abadilike kwa kufosi kufunga wakati kuna wachezaji wengine wapo kwenye position nzuri zaidi.
Huu ni wakati sasa wa Bruno Fernandez kuanzia Sub, jamaa kwa sasa amepoteza umakini na anapelekea kuigharimu sana timu kwa kupoteza kwake mipira mara kwa mara ingawa kuna baadhi ya mechi hua anatuokoa.
Haaland ni balaa kubwa tuliloletewa kwenye Epl na hatuna budi kukubaliana nalo, mechi 8 hatricks 3 yaani hili jini mpaka ligi inaisha litakua na magoli 50+
Nilikuwa naitafuta comment yako mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hawa manyumbu wanacheza kama wapo period [emoji23][emoji23][emoji23]
Wew najua ni mtoto na Hilo linaonekana ulipomuita kiungo wenu Thomas partey kuwa ana low IQ but nao ishajulikana Kati yako na yeye nany ana low IQ.Sio kucheza kwa presha sema huna uwezo wa kucheza km Man city, itakuchua miaka 5 kucheza huo mpira.[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] King safi sana huyu kima unatakiwa umpige palepale kwenye kidonda.Wew najua ni mtoto na Hilo linaonekana ulipomuita kiungo wenu Thomas partey kuwa ana low IQ but nao ishajulikana Kati yako na yeye nany ana low IQ.