Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

arsenyani kama watoto wadogo kwaiyo achana nao tu hao.
Tupo hapa had X mass Kama hamjaanza mapambio Ya kumtimua kocha

Mlimpamba Sana Yule mwalimu wa Klopp na tuchel mkaishia awaachie timu

Huyu Ten hagg mara Mia Ole , ukibisha tunaweka kumbukumbu ,mtakuja hapa kudai awaachie timu🤣🤣

Hivi ndio Huyu alisema Guardiola ajiandae era imeisha🤣

Kwa mpira huu wakuvizia na kukaa nyuma ,na hapo unaambiwa katumia £250m dirisha moja
 
arsenyani kama watoto wadogo kwaiyo achana nao tu hao.
Unafurahishaga ukija kule jukwaan unatamba Sancho kaimprove

Kuna flop nyingine ,soon mtamuwekea kikao humu yule Anthony mcheza na jukwaa
IMG-20220929-WA0018.jpg
 
Hata yule ole sendeka na yule mwalimu wa Klopp na tuchel mlisema wanatengeneza timu, ila mliwatimua
Huyo klopp unayemsema alitumia £177m kuleta Allison ,vvd,fabinho,ox,keita,Salah

Tena baada ya mauzo ya coutinho

Arteta pesa kubwa aliyowahi kutumia Ni £140m ,

Sasa huyu kipara wenu katumia over £200+m dirisha moja tu , timu bado inacheza kwa ujanja ujanja

Kama Klopp ukimpa Sasa £200m+ hata Arteta umpe hiyo £200+m kwa dirisha moja ,timu haiwez kucheza kwa ujanjaujanja Kama kina westham ,
Kwo we unataka timu zote bajeti zao ziwe sawa, yan ni sawa na kutaka kila kaya tanzania tule ugali maharage kila siku

Bajeti zinatokana na mapato so km timu inaingiza pesa ya kutosha why wasi spend big???

Af ralph hakuja kutengeneza timu alkuja kuivusha timu mpk msimu umalzike tutafute kocha
 
Huyu mwamba asingejiongeza basi asingenyanyua hili dude mpaka anakufa.
Bahati nzuri akawahi kushtukia mchongo akaachana na watoto akaja kujiunga na wanaume.
Mpaka kesho akiwa anahojiwa hua anapenda zaidi kuizungumzia Manchester United aliyoichezea kwa misimu miwili tu kuliko Arsenyani aliyoitumikia kwa 8 season's.
Pia hua anajutia na akijilaumu sana kwa kupoteza nguvu zake miaka nane kwa Arsenyani ambako aliambulia kubebeshwa masufuria ya ngao ya hisani.View attachment 2372526
Mkuu naona umeamua kupiga panapouma.😁
 
Tupo hapa had X mass Kama hamjaanza mapambio Ya kumtimua kocha

Mlimpamba Sana Yule mwalimu wa Klopp na tuchel mkaishia awaachie timu

Huyu Ten hagg mara Mia Ole , ukibisha tunaweka kumbukumbu ,mtakuja hapa kudai awaachie timu

Hivi ndio Huyu alisema Guardiola ajiandae era imeisha

Kwa mpira huu wakuvizia na kukaa nyuma ,na hapo unaambiwa katumia £250m dirisha moja
Childish reasoning
Zikiisha ulizokunywa uje uandike upya labda uko na point
 
Back
Top Bottom