Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Tupo hapa had X mass Kama hamjaanza mapambio Ya kumtimua kochaarsenyani kama watoto wadogo kwaiyo achana nao tu hao.
Mlimpamba Sana Yule mwalimu wa Klopp na tuchel mkaishia awaachie timu
Huyu Ten hagg mara Mia Ole , ukibisha tunaweka kumbukumbu ,mtakuja hapa kudai awaachie timu🤣🤣
Hivi ndio Huyu alisema Guardiola ajiandae era imeisha🤣
Kwa mpira huu wakuvizia na kukaa nyuma ,na hapo unaambiwa katumia £250m dirisha moja


mmedharaulikaaa
...


