Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hapa ndio unapoona tofauti ya Man United na Arse
Mashabiki wa United hua hatusapoti upumbavu pale timu inapozingua, iwe kazingua mchezaji, kocha au mmiliki hua tunawachana live na tunaonyesha reactions.
Nyie Arse hua mna excuse hata mkitiwa kidole na bado mtasifia juu na hamtaki timu, machezaji au kocha akosolewe.


Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Ole aliangushwa na Bodi kumuingilia kumletea Ronaldo,

Na pia ratiba ya man u haikuwa nzuri,

Ila ole aliwawezea vijana kuwa develop hapo man u

Ole Ndiye alikuwa anacheza ile Kaunta halis ya man u , alikutana na timu ndogo atazimiliki bila shida, big teams atazipiga kaunta

Sidhan Kama Kuna Kocha ana rekod Bora kwa Pep Kama Ole
Kama kawaida ya binadamu cha kale dhahabu, nyie c mlikuwa mnamtukana Ole kila siku humu?
 
Mechi ya man u imehamishiwa porn hub na xxnx
watoto wote wametolewa
 
Screenshot_2022-10-02-17-25-02-97.jpg
 
Back
Top Bottom