42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,836
- 8,874
Mtajua hamjuiAcha urozi
Mtajua hamjuiAcha urozi
Nyie utopolo Arsenal mna niniUefa inaanza Leo mmesikia nyie nyumbu laana fc mwaka wa 5 sasa hata kombe lolote lile hamna afu Kuna watu bado wanashabikia hii timu kweli vichaa hawaishi Dunian



PoleniReal Sociedad tuna jambo letu leo![]()
Haka kamsemo inabidi ufanye kukasajili rasmi.Ni Siku ya Mechi!!
UEFA Europa League
Old Trafford
Saa 4:00 usiku
Real Sociedad!!
Prediction
Manchester united 4 vs Real sociedad 1
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
#GGMU
View attachment 2349637
Kutamba kote kule mtaani maneno mengi kumbe mnacheza uropa![]()
Tumpe Tuchel kazi under 18 pale Carrington wazee au mnasemaje?
Kwa kikosi hiki ushindi mtamu mtamu. Anton atapenda kuendeleza makali. Casamiro, Eriksen na Fred patamu sana hapo. CR7 atatoa onto kucheza Europa, kwamba siyo size yake. Maguire na Linderlof hope watakuwa makini leo.Kosi la ushindi ili japo hawa jamaa ni wagumu kweli.View attachment 2350538
Nadhani Zitachezwa na vitambaa mkononi na dk kadhaa mwanzoni sala fupiHuu msiba wa Queen mechi zitachezwa weekend hii kweli?
Aiseeeh yani Maguire tena?Kosi la ushindi ili japo hawa jamaa ni wagumu kweli.View attachment 2350538

First half hatujaccheza Vizuri ngoja tuone second half, namini ten hag atakua ameona makosa atayasahihisha.Yani hiki kikosi cha leo wachezaji kupiga pasi za kawaida tu hawawezi.