Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Asee hivi ndivyo tunataka

Mmeona sasa Malacia ni mtu zaidi ya shaw, Martinez nae anafanya shughuli ndio tunasema Ten Haag jivike mabomu tumia watu wako achana na waliofukuzisha makocha.

Ronaldo hizo ndizo dakika zake za kuingia kuwascare wapinzani


Leo nimekubali kocha kaja na mbinu. Aendelee hivyo hivyo ukiboroga benchi mpaka akili ikae sawia.

Ushindi safi.
 
Diogo Dalot amepewa kisu ameambiwa leo jukumu lake ni moja tu la kumenya Kiazi.
Bruno ni katika kirusi ambacho mashabiki hawakizungumzii sana ila anaigharimu timu kwa kiwango kikubwa, anapoteza mipira sana na kujiangusha hovyo, inatakiwa atafutiwa hata timu ya mkopo aende akajinoe tena kama itashindikana kuuzwa.
Anakera sana, nusra atufungishe anyway naona ashaanza kugain confidence kocha aendelee kuweka benchi wanaozingua.

Bruno akiendelea hivyo wanae tu.

Jamaa aache kulialia bana
 
1658433182168.jpg
 
Back
Top Bottom