Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hata Chelsea iliponunuliwa na Roman Abromovic alimchukua mtendaji mkuu David Dein kutoka Man u, ila man u tunamatajiri vilaza sana
Ni Peter Kenyon mwaka 2003. Roman Abramovich alipoinunua tu Chelsea mwaka 2003 mtu wa kwanza kumpa kazi alikuwa ni huyu jamaa alimvua kutoka kwetu.

Baada ya hapo chini yake ndani ya miaka 5 Chelsea walishinda EPL mara mbili. Alichofanya Sheikh Mansour kwa City alim-study Abramovich alichokifanya Chelsea mwaka 2003. Unampa kazi mtendaji mkuu ambaye ni best sokoni kwa wakati husika akujengee timu.

Kuendesha klabu ya soka kwa mafanikio ni zaidi ya pesa. Pesa ni muhimu ila unahitaji sana watu sahihi ktk kila idara. Uwanjani ni reflection ya uongozi wa juu. Ukiwa na viongozi wenye uwezo mdogo hata malaika awe kocha hutoboi.
 
Wapenzi wenzangu wa MAN UTD mimi ubaridi umeshanianza hapa,hii game na Liverpool
 
Back
Top Bottom