Wamevurugwa wamepanic huko sokon wanakurupuka kununua kina casemiro waje Kula pesa za bure ....
Casemiro ana uefa zaidi ya 2 +makombe kibao ...
Ronaldo uefa zaidi ya 3+makombe kibao ....
Varane uefa za kutosha ....
Sasa unawasajili ili waje kukupa Nini kiu ya mafanikio kimpira haipo ,ila saizi wanajitakia pesa ,wazeeke na mishahara minono Kwan huko Madrid Perez anaakili kichizi hawezi ongeza mshahara kwa wachezaji wenye 30+ years ,hata wawe vzuri na mna gani kwani ni maji ya jioni ndio maana kawaacha kina Marcelo ,varane , Ronaldo,Sasa casemiro ,anaingiza damu changa kuzidi kuimalisha real Madrid Leo na kesho ......
ila Hawa wazee wa kukurupuka wanataka kunenepesha ng'ombe siku ya mnada subili uone watakavyo pigwa



mtu Kama casemiro unaona kabisa yupo after money ,Hakuna taji ambalo unaweza mtishia ...