Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa kikosi cha City sioni wa kuchuana nao msimu huu nyinyi nkomae mcheze UEFA tu msimi ujao
hio Uefa yenyewe hawanusi msimu ujao.
Kama wewe ni mgeni wa AsaniWali unaweza ukashtuka kwelikweli kwa matokeo ya mechi zao 5 au 6 za mwanzo, ila nakuhakikishia baada ya game hizo wataanza kushikana uchawi wao kwa wao kwenye lile jukwaa lao la matusi.
Arsenal inayoanza ligi kwa mbwembwe za ushindi hua haitoboi kwenye top4.
 
hio Uefa yenyewe hawanusi msimu ujao.
Kama wewe ni mgeni wa AsaniWali unaweza ukashtuka kwelikweli kwa matokeo ya mechi zao 5 au 6 za mwanzo, ila nakuhakikishia baada ya game hizo wataanza kushikana uchawi wao kwa wao kwenye lile jukwaa lao la matusi.
Arsenal inayoanza ligi kwa mbwembwe za ushindi hua haitoboi kwenye top4.
Umenikumbusha mbali Sana. Asernal ilivheza mech 19 ikaja kuitolewa bikira. Na kikombe hawakubeba. Hizi timu zinaishi Kwa majina yao bana
 
HUYU MAMA WA RABIOT ANGEWAPIGA PESA NDEFU,

Adrien #Rabiot’s deal

Salary request: 9M/year + add-ons

#ManUnited’s salary offered: 7M/year + bonus

Commissions: 10M (request by mom-agent Veronique)

Transfer: €17,5M (total agreement between #MUFC and #Juventus)
Bora hii deal imekuwa off.. bado mchezaji mwenyewe ni wa kusua sua tu, nilisikia wanmdiscuss Caicedo, muda unavokimbia tungekomaa tu na huyu tayari ni proven pia EPL pia
 
United walikua tayari kumfanya Adrien Rabiot moja ya wachezaji wanaolipwa pesa nyingi kwenye daraja moja la kina Bruno Fernandes na Christian Eriksen lakini mama yake Véronique iinasemekana alihitaji mshahara mkubwa zaidi. [ @David_Ornstein ] #MUFC

Naona hawa wajinga wameona united ni pakupigia pesa kwa kiwango gani kwanza.
Kwa hali mliyokuwa nayo hamna jinsi, kama hamtaki kaeni na timu yenu.
 
United walikua tayari kumfanya Adrien Rabiot moja ya wachezaji wanaolipwa pesa nyingi kwenye daraja moja la kina Bruno Fernandes na Christian Eriksen lakini mama yake Véronique iinasemekana alihitaji mshahara mkubwa zaidi. [ @David_Ornstein ] #MUFC

Naona hawa wajinga wameona united ni pakupigia pesa kwa kiwango gani kwanza.
Hii mishahara mikubwa inasumbua sana, Bruno amedrop sana yaani, toka ale deal jipya.
 
MARTINELLI: Manchester united signed me from Brazil then brought me to their fitness training ground after completely my Fitness training they told me am not fit for the club, but when Arsenal got that chance they signed me and i pass everything... Arsenal is my club i will always fight for this club.... I appreciate fans and Arsenal officials.


So sad, yani hamkuona potential kwa huyu dogo
 
Back
Top Bottom