Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,445
- 5,356
Hii mishahara mikubwa inasumbua sana, Bruno amedrop sana yaani, toka ale deal jipya.United walikua tayari kumfanya Adrien Rabiot moja ya wachezaji wanaolipwa pesa nyingi kwenye daraja moja la kina Bruno Fernandes na Christian Eriksen lakini mama yake Véronique iinasemekana alihitaji mshahara mkubwa zaidi. [ @David_Ornstein ] #MUFC
Naona hawa wajinga wameona united ni pakupigia pesa kwa kiwango gani kwanza.
MARTINELLI: Manchester united signed me from Brazil then brought me to their fitness training ground after completely my Fitness training they told me am not fit for the club, but when Arsenal got that chance they signed me and i pass everything... Arsenal is my 

