Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Kwa kikosi cha City sioni wa kuchuana nao msimu huu nyinyi nkomae mcheze UEFA tu msimi ujao


hio Uefa yenyewe hawanusi msimu ujao. Kama wewe ni mgeni wa AsaniWali unaweza ukashtuka kwelikweli kwa matokeo ya mechi zao 5 au 6 za mwanzo, ila nakuhakikishia baada ya game hizo wataanza kushikana uchawi wao kwa wao kwenye lile jukwaa lao la matusi.
Arsenal inayoanza ligi kwa mbwembwe za ushindi hua haitoboi kwenye top4.
Manchester United are interested in signing Karim Mandonga from Boxing United, as they're finding it difficult to sign Frenkie De Jong. 

