Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

United walikua tayari kumfanya Adrien Rabiot moja ya wachezaji wanaolipwa pesa nyingi kwenye daraja moja la kina Bruno Fernandes na Christian Eriksen lakini mama yake Véronique iinasemekana alihitaji mshahara mkubwa zaidi. [ @David_Ornstein ] #MUFC

Naona hawa wajinga wameona united ni pakupigia pesa kwa kiwango gani kwanza.
Hii mishahara mikubwa inasumbua sana, Bruno amedrop sana yaani, toka ale deal jipya.
 
MARTINELLI: Manchester united signed me from Brazil then brought me to their fitness training ground after completely my Fitness training they told me am not fit for the club, but when Arsenal got that chance they signed me and i pass everything... Arsenal is my club i will always fight for this club.... I appreciate fans and Arsenal officials.


So sad, yani hamkuona potential kwa huyu dogo
 
Enzi za kazi kazi baba Kai yupo mzigoni,inabidi kila mchezaji awe na hii picha ibandikwe kwenye kila kabati la nguo ili kuleta morali
JamiiForums-1191546372.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa nachunguza vikosi vya timu zilizoachwa na makocha wakubwa uingereza kwa mfano timu yetu bingwa mtarajiwa wa msimu huu ARSENAL wachezaji pekee waliobaki ni
xhaka ,ernemy,saka,holding hii inaonyesha kila kocha ana watu wake

kwa liva crop ana Henderson ,filminho, wengine wote kawaleta yeye ,

man City hakuna wote wa gardiola ,


Manchester United ndio wabishi sana wachezaji wa farguson awataki kuondoka shaw, Jones, rashfod, ronaldo, matial,

na fagasoni bado yupo
 
Back
Top Bottom