Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mourinho alishwahi sema Achievement yake kubwa ni Kushika nafasi ya Pili kwa kikosi aina hii cha man u ambacho kiukweli ni shida tupu ukiangalia namna wanavyocheza unajua no plan yani Kuanzia beki mpaka foward hakuna Coordination anaepata mpira hajui next plan foward zinabutuaa ili mradi kuoteaa goli.. Kina magwaya huku nyumaa wapo loose tu yani Hakuna Marking kabisaa ubaya Hata De gea na mabeki kina magwaya unaona wanacheza ili mradi tu. Uwepo wa ronaldo unawapumbaza wengi wakiamini tuna kikosi Bora ila ukweli pale hakuna Chemistry ya kuisadia timu kabisa.
 
Kuondoka kwa mtu kama Ferguson kwenye timu aliyoitumikia kwa zaidi ya miaka 20 na aliyeweka falsafa zake zilizoota mizizi haliwezi kuwa jambo dogo, ilikuwa ni lazima Man u iyumbe hata kocha angekuwa nani, na ndiyo maana watu wanaojua alama za nyakati kama Pep walikataa kumrithi Fergie co kwamba hawakuwa wanapenda la hasha bali walijua isingekuwa rahisi. Fergie alimpendekeza Pep na walipata kuongea wakiwa USA lkn licha ya kipindi kile Pep kutokuwa na timu lkn aligoma kwa kisingizio eti anapumzika kwanza.

Hii timu tuvumilie tu atakuja wa kutuvusha japo tutatakiwa tubadilike kabisa tuachane na falsafa za Fergie na pia kuna aina fulani ya wachezaji wapo pale inabidi wapewe mkono wa kwaheri, kocha aanze upya na wachezaji anaowataka japo tatizo lingine ninaloliona ni kila kocha anayekuja pale anakwambia ana kikosi kizuri baadaye mambo yanamuendea kombo.
Timu zenye proper structure haziyumbi kienyeji.

SAF ndo alikuwa structure ya United. Aliondoka akabaki ED anayeamua kila kitu.
 
Rangnick alivyotangaza kukubali kazi ya Austria nikasema timu inaenda chini zaidi ndiyo maana hata yeye hana imani nayo ameamua kuondoka na ile nafasi ya ushauri haitaki.

Nikajibiwa ushauri atafanya huku anakua kocha Austria. Baada ya siku kadhaa akajiuzulu huo ushauri. So mi narudia tena kusema kwamba timu bado haina project ya maana.

Mashabiki wa United Pogba alisema hawajui mpira. Ni ngumu kidogo kumpinga Pogba kwenye hili hebu kumbuka jinsi mashabiki walikua wanapiga kelele wanahitaji winga na winga ni Sancho.

Sancho amekuja. Ana magoli 3 katika mechi 30. Lakini huwasikii mashabiki wakisema kwamba wanahitaji winga yaani wanazuga kua tatizo la winga limeisha.

Wakaanza leta lawama kwamba wanahitaji DM. Mi ninavyojua Fred ni DM na Scot ni DM, ila mashabiki wanaamini Rabiot ndiyo dawa ya hii ishu. Sasa waulize hao mashabiki kama wamewahi muona Rabiot akicheza.

Rabiot alikua mzuri akiwa PSG, akaenda Juve akawa average, Juve na PSG zipo ligi mbili tofauti yawezekana alishine PSG kwakua PSG ipo farmers league. Akiwa Juve akawa hapangwi akaanza maneno yeye na mama yake wakawa wanaishambulia Juve mitandaoni.

Sasa mchezaji wa tabia hizi akija timu ambayo ipo hovyo tutarajie nini? Sasa jiulize ni kweli mashabiki walihitaji winga au walimhitaji Sancho? Na saa hii ni kweli wanahitaji DM au wanamhitaji Rabiot?

Narudia tena. Shida ya United ni kocha.
Naona umepiga kwenye mshono

 
Mourinho alishwahi sema Achievement yake kubwa ni Kushika nafasi ya Pili kwa kikosi aina hii cha man u ambacho kiukweli ni shida tupu ukiangalia namna wanavyocheza unajua no plan yani Kuanzia beki mpaka foward hakuna Coordination anaepata mpira hajui next plan foward zinabutuaa ili mradi kuoteaa goli.. Kina magwaya huku nyumaa wapo loose tu yani Hakuna Marking kabisaa ubaya Hata De gea na mabeki kina magwaya unaona wanacheza ili mradi tu. Uwepo wa ronaldo unawapumbaza wengi wakiamini tuna kikosi Bora ila ukweli pale hakuna Chemistry ya kuisadia timu kabisa.
Kwaio mmeliwa kimasihara au planned?
 
IMG_20220814_092937.jpg
 
Upo Simba halafu upo manjestaa Yani unapigwa mtungo hahahaha pote pote mbele na nyuma panalika tu hahaha😂😂😂🤣🤣🤣
 
Rangnick alivyotangaza kukubali kazi ya Austria nikasema timu inaenda chini zaidi ndiyo maana hata yeye hana imani nayo ameamua kuondoka na ile nafasi ya ushauri haitaki.

Nikajibiwa ushauri atafanya huku anakua kocha Austria. Baada ya siku kadhaa akajiuzulu huo ushauri. So mi narudia tena kusema kwamba timu bado haina project ya maana.

Mashabiki wa United Pogba alisema hawajui mpira. Ni ngumu kidogo kumpinga Pogba kwenye hili hebu kumbuka jinsi mashabiki walikua wanapiga kelele wanahitaji winga na winga ni Sancho.

Sancho amekuja. Ana magoli 3 katika mechi 30. Lakini huwasikii mashabiki wakisema kwamba wanahitaji winga yaani wanazuga kua tatizo la winga limeisha.

Wakaanza leta lawama kwamba wanahitaji DM. Mi ninavyojua Fred ni DM na Scot ni DM, ila mashabiki wanaamini Rabiot ndiyo dawa ya hii ishu. Sasa waulize hao mashabiki kama wamewahi muona Rabiot akicheza.

Rabiot alikua mzuri akiwa PSG, akaenda Juve akawa average, Juve na PSG zipo ligi mbili tofauti yawezekana alishine PSG kwakua PSG ipo farmers league. Akiwa Juve akawa hapangwi akaanza maneno yeye na mama yake wakawa wanaishambulia Juve mitandaoni.

Sasa mchezaji wa tabia hizi akija timu ambayo ipo hovyo tutarajie nini? Sasa jiulize ni kweli mashabiki walihitaji winga au walimhitaji Sancho? Na saa hii ni kweli wanahitaji DM au wanamhitaji Rabiot?

Narudia tena. Shida ya United ni kocha.
Makocha wangapi wamepita?
 
Cr7 anashusha heshima yake ..kucheza na manjestaa kwa Sasa Ni kujishusha hadhi😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom