Kauli yake hii mweyewe nilikaa kimya nione ana maajab gan kumbe 🚮Ten Hag kitendo cha kusema anawachezaji wazuri nilimwona ni mjinga kabisa..
Taarifa:
Kuna jamaa mmoja huwa anatusumbua sana kule Arsenal thread anaitwa Flano muda huu kawahishwa ICU.


Mkuu naona umefurahia sana Maguire kukandwa. I'm here bossfuraha ni pamoja na kuchapwa kama hivi.
Na Nunez na Salah na Kane na Son na JesusBado halaand anawasubiri kwa haaamu![]()
Mkuu hapo jamaa alizingua pakubwa hata kama hakumtaka Ralf angemsikiliza kuhusu hii teamTen Hag kitendo cha kusema anawachezaji wazuri nilimwona ni mjinga kabisa..