Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa mara ya Kwanza naona hii.

Screenshot_20220813-203625.jpg
 
Taarifa:

Kuna jamaa mmoja huwa anatusumbua sana kule Arsenal thread anaitwa Flano muda huu kawahishwa ICU.
Mkuu naona umefurahia sana Maguire kukandwa.
Ten Hag amekuja kuendeleza clean sheet alizoachiwa na Ralf Ragnic.
Man united haina tofauti na mtumbwi wa vibwengo.
Ila hawa wahuni wa Brentford sio binaadamu hawana utu hata kidogo.
 

Safi kabisa, nililiona hili, hivi ni timu gani pale EPL haina CDM na kocha akafurahia kabisa kuanza ligi?

Pep alikuwa na Fernandinho lakini alinunua Rodrì ili fernandinho anavyoisha Rodri awe amezoa,mnaona moto wa Rodri.

Huwezi kuwa na timu haielewi hata mchezàji gani anaichezesha ukategemea kitu toka kwenye hiyo timu zaidi ya hiki tunachoona kwa United.
Nilimshangaa sana EtH kwa kukubali mpaka anaenda Preseason na hana CDM.


 
Back
Top Bottom