Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna vitu ni rahisi sana kuona, yeye ETH ajiulize ni timu gani Top6 pale EPL MACFRED wanapata namba ndio atajua hana timu.
Timu yetu ni mbovu mno,yani ni mbovu kupita maelezo, nilisema humu,sikutegema hadi ligi inaanza hatujanunua DM makini.

Kwa ubovu wetu,baada ya kupata kocha na dirisha kufunguliwa,kabla ya kwenda preseason tulipaswa kuwa tumenunua wachezaji sio pungufu ya sita ili aanze kujenga timu mapema.
Nani alaumiwe ?
 
Huyu kocha nae kiazi tu, Maguire + Shaw + + Tomnay sio wa kuanza.

NB: Utd watafute kipa, kiungo mkabaji na namba 9, tofaut na hivyo top 4 ni ndoto.
Nyie nafasi yenu ni kuanzia tano huko...top four sahauni kabisa aisee
 
Nashindwa kuvivaa viatu vyenu

Binafsi sita wakejeli wala kuwakashifu, mnahitaji zaidi faraja.
Ni bora mje kule the gunner kututukana coz unajulikana ni utani tu

Tuwe waungwana kwa washabiki wa vilabu vyote MANCHESTER UNITED anahitaji faraja na ukarimu katika kipindi hiki kigumu.
Screenshot_20220807-183111.jpg
 
Nashindwa kuvivaa viatu vyenu

Binafsi sita wakejeli wala kuwakashifu, mnahitaji zaidi faraja.
Ni bora mje kule the gunner kututukana coz unajulikana ni utani tu

Tuwe waungwana kwa washabiki wa vilabu vyote MANCHESTER UNITED anahitaji faraja na ukarimu katika kipindi hiki kigumu. View attachment 2317309
Hiyo game ya Liverpool wanaenda kupanuliwa mpaka makalio yatachanika
 
Pre season ilikuwaje ..mbona mulikuwa munashinda.
Munaliwa kimasikhara Yani kiboya boya tu munapakuliwa🤣🤣🤣🤣

Manjestaa Ni Mandonga aliyechangamka ..mikwara mingi prisezon alafu kwenye ligi kirahissi munaliwa za uso madogo🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom