Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,876
- 32,795
Manchester United wanaajiri makocha kuwadhalilisha.kocha mana kasema ana kikosi kizuri na leo kasema kikosi cha leo kinatosha
Huwezi kumwajiri mtu bila kumpa support kwenye usajili.
Manchester United wanaajiri makocha kuwadhalilisha.kocha mana kasema ana kikosi kizuri na leo kasema kikosi cha leo kinatosha
Nani alaumiwe ?
Hiyo game ya Liverpool wanaenda kupanuliwa mpaka makalio yatachanikaNashindwa kuvivaa viatu vyenu
Binafsi sita wakejeli wala kuwakashifu, mnahitaji zaidi faraja.
Ni bora mje kule the gunner kututukana coz unajulikana ni utani tu
Tuwe waungwana kwa washabiki wa vilabu vyote MANCHESTER UNITED anahitaji faraja na ukarimu katika kipindi hiki kigumu.View attachment 2317309

Huyo kenge mbna van_gaal alimuonya , makocha wengi wamepita pale wameona , yeye anajiona ataweza kufikia mwez wa Kwanza next year watakuwa wamemvurushaManchester United wanaajiri makocha kuwadhalilisha.
Huwezi kumwajiri mtu bila kumpa support kwenye usajili.
Kocha mwenyewe anavyosema kikosi kina massive talents anakuwa ana maanisha nini?.Manchester United wanaajiri makocha kuwadhalilisha.
Huwezi kumwajiri mtu bila kumpa support kwenye usajili.
Ila lembu nilikwambia tatizo la CF , hata Chelsea ndio Maana mnamtaka Auba , bila CF Ni kurukaruka tuOya nimechelewa, pilau mmeshakula humid.
Leo hajaanza, means Pep anajiandaa maisha bila BernadoMmmh! City ya msimu huu nayo sio ya kuamini, imeuza wachezaji wengi wazuri na wazoefu na hizi tetesi za kumuuza B. Silva kama zitakuwa kweli watapata wakati mgumu sana.
1999We nae tupitie misimu miwili ya tanuli la moto, akati sisi wenyewe tumekuwa ndio tanuri la moto lenyewe misimu ya kutosha.
Umeanza kushabikia manchester united mwaka gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasukuma walikupelekea Moto nini?Munaliwa
Munashinda.
Acha kuongea kiree mtoto wa chuga. Unandika kama lisukuma lichafu la kolomije huko.
Sema Mnaliwa, Mnashinda. Pumbaaaaaf
Furaha ya manure kula kisago sioMan Utd inacheza leo na Dunia nzima iko na furaha...Glory Glory Man Utd



Leo asubuhi na mapema nimeamka zangu kwenda kufanya mazoezi navyozidi kutembea nikawa nasikia kama kelele hivi.
Jinsi navyozidi kusogea nazo zile sauti nazo zilikuwa zina zidi kuwa kubwa maskioni mwangu nikaanza kupata hofu kwamba kuna nini mapema yote hii hata akuja kucha vizuri watu wanalia
Nika bahatika kumuona mzee mmoja hivi analia sana yule mzee nikafika pale nikamuuliza mzee wangu pole kwanza, nataka nataka nijue unalia nini mzee wangu sikuamini jibu alilonipa yule mzee kwamba furahani kubwa pale mtahani mpaka watu wanalia kilio cha furaha.
Ooh ni ilo tu mzee sasa furaha ya nini iyo mzee wangu akanambia kijana we acha tu ile kitu inayo tupaga burudani kila wiki imeludi kwaiyo hapa tunalia vilio vya furaha kijana.
Bado sikukoshwa na lile jibu alilonipa nikamwambia mzee funguka basi Wat's wrong alicho ni jibu sasa.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
prediction
Manchester united 2 Brighton 1
time:10:00 View attachment 2316667




Mambo yamegeuka.... Disco limeingia masai na sime 


Hakika Jombaa niliwahi kusema ni lazima bodi ikubali kula hasara ndani ya hii misimu miwili kuna wchezaji wengine sana wanapaswa kuondoka.ETH haondoki kirahisi hivyo.
Matatizo ya United yapo kwenye management.
Kama unashindwa kuuza wachezaji unategemea kocha afanye nini.?
RR alisema tunahitaji kufanya open heart surgery kwenye usajili.
Leo tunaanza msimu hatujagusa maeneo muhimu. Miezi mitatu tunahusishwa na mchezaji mmoja tu.
Muda wa kupata furaha yani nasikia tu kelele tu hapa mafans wanamzuka kwerikweri wa mechiView attachment 2317104




Hii ndo namna murua kabisa ya kuwapa farajaMsiwakejeli nyumbu na wala msiwadhihaki
Wanahitaji faraja