Ha ha haKamaa hii ni timu ya mpira bhasi Huu mchezo ufutwe dunianii.. mamaaeee hamna timu hapaaaaa





Nani alaumiwe ?Kuna vitu ni rahisi sana kuona, yeye ETH ajiulize ni timu gani Top6 pale EPL MACFRED wanapata namba ndio atajua hana timu.
Timu yetu ni mbovu mno,yani ni mbovu kupita maelezo, nilisema humu,sikutegema hadi ligi inaanza hatujanunua DM makini.
Kwa ubovu wetu,baada ya kupata kocha na dirisha kufunguliwa,kabla ya kwenda preseason tulipaswa kuwa tumenunua wachezaji sio pungufu ya sita ili aanze kujenga timu mapema.
Nyie nafasi yenu ni kuanzia tano huko...top four sahauni kabisa aiseeHuyu kocha nae kiazi tu, Maguire + Shaw + + Tomnay sio wa kuanza.
NB: Utd watafute kipa, kiungo mkabaji na namba 9, tofaut na hivyo top 4 ni ndoto.
kocha mana kasema ana kikosi kizuri na leo kasema kikosi cha leo kinatoshaNani alaumiwe ?
Manchester United wanaajiri makocha kuwadhalilisha.kocha mana kasema ana kikosi kizuri na leo kasema kikosi cha leo kinatosha
Nani alaumiwe ?
Hiyo game ya Liverpool wanaenda kupanuliwa mpaka makalio yatachanikaNashindwa kuvivaa viatu vyenu
Binafsi sita wakejeli wala kuwakashifu, mnahitaji zaidi faraja.
Ni bora mje kule the gunner kututukana coz unajulikana ni utani tu
Tuwe waungwana kwa washabiki wa vilabu vyote MANCHESTER UNITED anahitaji faraja na ukarimu katika kipindi hiki kigumu.View attachment 2317309

Huyo kenge mbna van_gaal alimuonya , makocha wengi wamepita pale wameona , yeye anajiona ataweza kufikia mwez wa Kwanza next year watakuwa wamemvurushaManchester United wanaajiri makocha kuwadhalilisha.
Huwezi kumwajiri mtu bila kumpa support kwenye usajili.
Kocha mwenyewe anavyosema kikosi kina massive talents anakuwa ana maanisha nini?.Manchester United wanaajiri makocha kuwadhalilisha.
Huwezi kumwajiri mtu bila kumpa support kwenye usajili.
Ila lembu nilikwambia tatizo la CF , hata Chelsea ndio Maana mnamtaka Auba , bila CF Ni kurukaruka tuOya nimechelewa, pilau mmeshakula humid.
Leo hajaanza, means Pep anajiandaa maisha bila BernadoMmmh! City ya msimu huu nayo sio ya kuamini, imeuza wachezaji wengi wazuri na wazoefu na hizi tetesi za kumuuza B. Silva kama zitakuwa kweli watapata wakati mgumu sana.
1999We nae tupitie misimu miwili ya tanuli la moto, akati sisi wenyewe tumekuwa ndio tanuri la moto lenyewe misimu ya kutosha.
Umeanza kushabikia manchester united mwaka gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasukuma walikupelekea Moto nini?Munaliwa
Munashinda.
Acha kuongea kiree mtoto wa chuga. Unandika kama lisukuma lichafu la kolomije huko.
Sema Mnaliwa, Mnashinda. Pumbaaaaaf
Furaha ya manure kula kisago sioMan Utd inacheza leo na Dunia nzima iko na furaha...Glory Glory Man Utd


