NO04
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 1,754
- 1,246
Mnafurahe ee!? Hahaaa tuliaYani sioni namba 6 kama yupo umo ndani
Mnafurahe ee!? Hahaaa tuliaYani sioni namba 6 kama yupo umo ndani
ETH haondoki kirahisi hivyo.ETH muda wake unaisha kwa speed kali mno, huenda Christmas akawa ameshatimuliwa. Makosa ya ETH kutobadilisha kikosi. Hao vijana walishashindwa toka msimu uliopita. Inasikitisha sana.
🤣🤣🤣Jana mlikua mnashangilia kwa vigelegele Liverpool kusaka drooInaonekana itakuwa season nyingine ya kupitia kwenye maumivu
For sure mkuu,me nimehamia City sasaManchester United haina mpango wa kupigania ubingwa kwa misimu ya hivi karibuni. Mashabiki muhamie timu nyingine kwa muda kama walivyokuwa mashabiki wa Asernal.
Mmmh! City ya msimu huu nayo sio ya kuamini, imeuza wachezaji wengi wazuri na wazoefu na hizi tetesi za kumuuza B. Silva kama zitakuwa kweli watapata wakati mgumu sana.For sure mkuu,me nimehamia City sasa
64
81
108Huyu tulimic vituko vyake



si astaafu tu huyu watakuja kumuua huyu maguire angekuwa anacheza Colombia angekuwa kashapigwa Shaba


Msimu uliopita tulikuwa na tatizo la DM sasa hivi limeongezeka la fullbacks na left wingHuyu kocha nae kiazi tu, Maguire + Shaw + + Tomnay sio wa kuanza.
NB: Utd watafute kipa, kiungo mkabaji na namba 9, tofaut na hivyo top 4 ni ndoto.
Msimu ujao litaongezeka la AM na STMsimu uliopita tulikuwa na tatizo la DM sasa hivi limeongezeka la fullbacks na left wing
Ondoeni managementETH haondoki kirahisi hivyo.
Matatizo ya United yapo kwenye management.
Kama unashindwa kuuza wachezaji unategemea kocha afanye nini.?
RR alisema tunahitaji kufanya open heart surgery kwenye usajili.
Leo tunaanza msimu hatujagusa maeneo muhimu. Miezi mitatu tunahusishwa na mchezaji mmoja tu.
Haland keehakojoa viwiliMmmh! City ya msimu huu nayo sio ya kuamini, imeuza wachezaji wengi wazuri na wazoefu na hizi tetesi za kumuuza B. Silva kama zitakuwa kweli watapata wakati mgumu sana.