For sure mkuu,me nimehamia City sasaManchester United haina mpango wa kupigania ubingwa kwa misimu ya hivi karibuni. Mashabiki muhamie timu nyingine kwa muda kama walivyokuwa mashabiki wa Asernal.
Mmmh! City ya msimu huu nayo sio ya kuamini, imeuza wachezaji wengi wazuri na wazoefu na hizi tetesi za kumuuza B. Silva kama zitakuwa kweli watapata wakati mgumu sana.For sure mkuu,me nimehamia City sasa
64
81
108Huyu tulimic vituko vyake



si astaafu tu huyu watakuja kumuua huyu maguire angekuwa anacheza Colombia angekuwa kashapigwa Shaba


Msimu uliopita tulikuwa na tatizo la DM sasa hivi limeongezeka la fullbacks na left wingHuyu kocha nae kiazi tu, Maguire + Shaw + + Tomnay sio wa kuanza.
NB: Utd watafute kipa, kiungo mkabaji na namba 9, tofaut na hivyo top 4 ni ndoto.
Msimu ujao litaongezeka la AM na STMsimu uliopita tulikuwa na tatizo la DM sasa hivi limeongezeka la fullbacks na left wing
Ondoeni managementETH haondoki kirahisi hivyo.
Matatizo ya United yapo kwenye management.
Kama unashindwa kuuza wachezaji unategemea kocha afanye nini.?
RR alisema tunahitaji kufanya open heart surgery kwenye usajili.
Leo tunaanza msimu hatujagusa maeneo muhimu. Miezi mitatu tunahusishwa na mchezaji mmoja tu.
Haland keehakojoa viwiliMmmh! City ya msimu huu nayo sio ya kuamini, imeuza wachezaji wengi wazuri na wazoefu na hizi tetesi za kumuuza B. Silva kama zitakuwa kweli watapata wakati mgumu sana.
Ha ha haKamaa hii ni timu ya mpira bhasi Huu mchezo ufutwe dunianii.. mamaaeee hamna timu hapaaaaa





Nani alaumiwe ?Kuna vitu ni rahisi sana kuona, yeye ETH ajiulize ni timu gani Top6 pale EPL MACFRED wanapata namba ndio atajua hana timu.
Timu yetu ni mbovu mno,yani ni mbovu kupita maelezo, nilisema humu,sikutegema hadi ligi inaanza hatujanunua DM makini.
Kwa ubovu wetu,baada ya kupata kocha na dirisha kufunguliwa,kabla ya kwenda preseason tulipaswa kuwa tumenunua wachezaji sio pungufu ya sita ili aanze kujenga timu mapema.
Nyie nafasi yenu ni kuanzia tano huko...top four sahauni kabisa aiseeHuyu kocha nae kiazi tu, Maguire + Shaw + + Tomnay sio wa kuanza.
NB: Utd watafute kipa, kiungo mkabaji na namba 9, tofaut na hivyo top 4 ni ndoto.
kocha mana kasema ana kikosi kizuri na leo kasema kikosi cha leo kinatoshaNani alaumiwe ?