Katika eneo ambalo halihitaji mtu ni beki wa kati, wapo zaidi ya 10 nafikiri.Jamani nipo naangalia game ya Chelsea hapa namwona Koulbary toka Napoli.Ina maana sisi Man u tulishindwa kusajili hili jembe? Shenzi kabisa Man u
Nitamuangalia vizuri wiki ijayo dhidi ya Spurs.Jamani nipo naangalia game ya Chelsea hapa namwona Koulbary toka Napoli.Ina maana sisi Man u tulishindwa kusajili hili jembe? Shenzi kabisa Man u
New castleNawaona Newcastle United pamoja na Eddie Howe nafasi ya nne msimu huu.
Jamani nipo naangalia game ya Chelsea hapa namwona Koulbary toka Napoli.Ina maana sisi Man u tulishindwa kusajili hili jembe? Shenzi kabisa Man u
sawa mpira biashara mbona barca wanawakati mgumu lakini wanajitahidi kufanya usajili kwa kila namna wanajua bila hivyo hawawezi kushindana na madridTupo kwenye phase ya mabadiliko, tumetaka Changes lakini bado mashabiki ni ngumu kukubali changes.
De jong fee yetu imekubaliwa na Barca kama mwezi sasa, kinachoendelea ni Barca hawataki kumlipa mshahara wake wanataka sisi ndio tumlipe,
Kama club yetu imechange kweli inatakiwa tusikubali, hii itasaidia hata kwa baadae timu nyengine zisitake advantage ya "UTD TAX", waache Chelsea walipe, ili tueke statement ya mabadiliko.
mpaka sasa hawajasajili mchezaji hata mmoja hao barca, na pia ushindani tutaujua mwisho wa msimu sio sasa hivi.sawa mpira biashara mbona barca wanawakati mgumu lakini wanajitahidi kufanya usajili kwa kila namna wanajua bila hivyo hawawezi kushindana na madrid


ni kubwa pale mtahani mpaka watu wanalia kilio cha furaha.




Vilaza Kama wewe mnahitaji kuombewa mpo wengi sanaLeo asubuhi na mapema nimeamka zangu kwenda kufanya mazoezi navyozidi kutembea nikawa nasikia kama kelele hivi.
Jinsi navyozidi kusogea nazo zile sauti nazo zilikuwa zina zidi kuwa kubwa maskioni mwangu nikaanza kupata hofu kwamba kuna nini mapema yote hii hata akuja kucha vizuri watu wanalia
Nika bahatika kumuona mzee mmoja hivi analia sana yule mzee nikafika pale nikamuuliza mzee wangu pole kwanza, nataka nataka nijue unalia nini mzee wangu sikuamini jibu alilonipa yule mzee kwamba furahani kubwa pale mtahani mpaka watu wanalia kilio cha furaha.
Ooh ni ilo tu mzee sasa furaha ya nini iyo mzee wangu akanambia kijana we acha tu ile kitu inayo tupaga burudani kila wiki imeludi kwaiyo hapa tunalia vilio vya furaha kijana.
Bado sikukoshwa na lile jibu alilonipa nikamwambia mzee funguka basi Wat's wrong alicho ni jibu sasa.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
prediction
Manchester united 2 Brighton 1
time:10:00 View attachment 2316667

ulipokuwa mjinga AU ulipokuwa mdogoPrivately, people at #mufc accept that choosing Aaron Wan-Bissaka from the 804 right backs they scouted was unwise.
[@lauriewhitwell]
😛😛😛
------------------------
Nilipokuwa mjinga niliamini wazungu wote Wana uelewa mkubwa wa mambo.