Ubishi wangu upo chifu?
Toa jina....
Leo Uchochoro Ferdnand kaanza...
Naona taabu atakayoipata kumzuia Bonny....
Game nzuri sana hii kutazama....
Tumetolewa
Tumetolewa
......kaka matokeo vipi?
Filimbi ya mwisho imechelewa....
hata magoli aaliotufunga city yalikuwa muda huo huo..Naona utabiri umetimia Bony kapeleka maumivu
Pep Guardiola ni mojawapo
Naona Bonny kakuletea furaha!!Leo sitaangalia MANURE najua kitakachowapata nitakuwa hapa Jamvinikuangalia update.