Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kheeeee kheeeeee Kheeeeeee kwenye hiyo Rambo uliyobeba kunani!? Nasikia unatembea na tindikali siku hizi hahahahahah lol!!!! eti unawavizia BAK na Mbu kwi kwi kwi kwi.....Mkuu tulizana banaaaa it is just a game mbona unanuna hivyo banaaaa....acha hizoooooo. Unafanya hata BelindaJacob aogope kupita huku siku hizi maana kumekuwa kama jukwaa la siasa...peace & harmony iliyokuwepo watu kutaniana, kukejeliana kwa vicheko taratibu inaanza kupotea.

I would never take it personal.....

As I know this is just football....

Cheers goon.....
 
1501812_10151924196137746_929962518_n.jpg
1514973_10151924195997746_325532113_n.jpg
1524700_10151924196012746_1451990748_n.jpg
 
Kheeeee kheeeeee Kheeeeeee kwenye hiyo Rambo uliyobeba kunani!? Nasikia unatembea na tindikali siku hizi hahahahahah lol!!!! eti unawavizia BAK na Mbu kwi kwi kwi kwi.....Mkuu tulizana banaaaa it is just a game mbona unanuna hivyo banaaaa....acha hizoooooo. Uaaya hata BelindaJacob aogope kupita huku siku hizi maana kumekuwa kama jukwaa la siasa...peace & harmony iliyokuwepo watu kutaniana, kukejeliana kwa vicheko taratibu inaanza kupotea.

Chifu, kwangu mimi vicheko na utani haviwezi kunitoka.....

Naelewa huu ni mchezo tu.....
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Kheeeee kheeeeee Kheeeeeee kwenye hiyo Rambo uliyobeba kunani!? Nasikia unatembea na tindikali siku hizi hahahahahah lol!!!! eti unawavizia BAK na Mbu kwi kwi kwi kwi.....Mkuu tulizana banaaaa it is just a game mbona unanuna hivyo banaaaa....acha hizoooooo. Uaaya hata BelindaJacob aogope kupita huku siku hizi maana kumekuwa kama jukwaa la siasa...peace & harmony iliyokuwepo watu kutaniana, kukejeliana kwa vicheko taratibu inaanza kupotea.

......hehehehhhh
Yaani kanipa jibu mwenyewe
Nimenywea...

Haya sasa, Swansea #Moja wao #Nunge ....

Sijui atawanunia wangapi!
Am out mpk filimbi ya mwishooo
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Leo sitaangalia MANURE najua kitakachowapata nitakuwa hapa Jamvinikuangalia update.
 
Back
Top Bottom