Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sidhani kama unaijua Man U kuliko mimi, anyway nikiwa andazi sijui wewe nani?

Everton wenyewe wanafurahi kuondoka kwa Moyes, kwamba sasa wanaweza hata kufuzu kucheza CPL.

Swali la msingi hujajibu,Moyes aondoke aje kocha gani?
 
Sidhani kama unaijua Man U kuliko mimi, anyway nikiwa andazi sijui wewe nani?

Everton wenyewe wanafurahi kuondoka kwa Moyes, kwamba sasa wanaweza hata kufuzu kucheza CPL.

Ona sasa....

Ungekuwa unaijua #ManUnited husingeiita Man U....

Eti Everton wanafurahi, kwani ligi imeisha na Everton wamefuzu kucheza UCL?

Arifu, ligi bado unaongea as if tupo Mei....

Tulia arifu.....
 
swansea tries to play spaniard football style.. but thy fails to perform it..
 
Tuambie aje nani?

Mkuu wangu Belo, lazima apatikane kocha anaiweka timu ktk kushindana siyo kushiriki.

Siwezi kusema aje nani ila naamini sasa Moyes hakuwa chaguo sahihi. Hata Everton wanaenjoy kuondoka kwake.
 
Mkuu wangu Belo, lazima apatikane kocha anaiweka timu ktk kushindana siyo kushiriki.

Siwezi kusema aje nani ila naamini sasa Moyes hakuwa chaguo sahihi. Hata Everton wanaenjoy kuondoka kwake.

Umeulizwa nani sasa ndio angekuwa chaguo sahihi?

Swali jepesi kabisa chifu.....
 
Umeulizwa nani sasa ndio angekuwa chaguo sahihi?

Swali jepesi kabisa chifu.....

Wapo wengi mkuu, hata Ed Woodward anajua kuwa wapo makocha kibao wanaoifaa
Man U kuliko huyu aliyechaguliwa kikabila.
 
Wapo wengi mkuu, hata Ed Woodward anajua kuwa wapo makocha kibao wanaoifaa
Man U kuliko huyu aliyechaguliwa kikabila.

Kocha yeyote ambaye angekuja kumrithi SAF lazima angepata taabu,
Kocha ambae alikuwa available ni Mourinho but Jose hawezi fundisha timu zaidi ya misimu 3,Man United walikuwa wanataka kocha wa muda mrefu
 
Back
Top Bottom