Sidhani kama unaijua Man U kuliko mimi, anyway nikiwa andazi sijui wewe nani?
Everton wenyewe wanafurahi kuondoka kwa Moyes, kwamba sasa wanaweza hata kufuzu kucheza CPL.
Hongera kwa kuijua timu vizuri kuliko mimi.
Inapaswa ujue kwamba hata Sir Alex ilimchukua muda kuanza kushinda makombe baada ya kuja Manchester utd iliyokuwa na historia kubwa uingereza. Alikuja 1986 alishinda kombe la FA 1990 na ligi kuu 1993, hivyo akaweza kutengeneza vikosi mbalimbali ambavyo viliweza kutwaa mataji mengi na kuifanya manchester utd kuwa timu yenye mashabiki wengi duniani, na timu inayovuta hisia za watu wengi (mashabiki wengi wa soka ni either wanashabikia manchester au wanaichukia manchester).
Hivyo kuvaa viatu vya SAF haiwezi kuwa walk in the park ndo maana hata wakina Guardiola waliogopa.
Huwezi kusema mashabiki wa Everton wanafurahia Moyes kuondoka na Martinez kuja. Wigan ya Martinez ingawa ilichukua FA msimu uliopita, pia ilishuka daraja na misimu kabla ilikuwa kwenye relegation dogfight na timu nyingine.
Moyes mwaka 2005 aliweza kumaliza top 4 akiwa na limited budget na liverpool ilimaliza ya 5.
Vile vile DM anategemewa kukaa muda mrefu kwenye timu tofauti na makocha aina ya mourinho.
Kwenye mechi ya mwisho ya nyumbani msimu uliopita Sir Alex alisema kwamba mashabiki wampe muda kocha anayekuja (DM) kama unaijua sana Manchester nadhani hilo unalikumbuka.
Moyes anaweza kuwa alikosea kubadilisha benchi la ufundi na kuja na watu wake, baada ya kuwaondoa wakina mike phelan, eric steele, renee maulesteen na wengineo. Pia anaweza kuwa alikosea katika usajili wa majira ya joto. Pia anaweza kuwa amekosea katika kufanya substitution katika baadhi ya mechi na hivyo kupelekea timu kufungwa lakini Manchester utd bado ina uwezo wa kuchukua ligi kuu (tunazidiwa pts 11 na anayeongoza, 2008/2009 scousers walituzidi pts 12 lakini bado tulichukua kombe. Vile vile timu bado ipo kwenye champions league na League Cup