Mr Confidential
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,545
- 2,477
Mzigo unaelekea kutick
Romano mwenyewe kuna muda anatoa maboko.Tuwe wavumilivu na tuachane na taarifa feki juu ya Man U. Mfatilie Romano pekee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wameshakubaliana na Man u tayariYani palipofikia Barca hawamtaki De Jong kuliko sisi tunavyomhitaji. Jamaa anawadai na bado wanataka aondoke kwa lazima yote ni kwasababu ya ukata uliopo Barca wanaimezea mate pesa ya United.
Barca na Madrid ni moja ya vilabu vya kishenzi kwa jinsi wanavyo-treat wachezaji wao.
Nimemkaushia sababu ya namna alivyojiongeza kusepa mshenzi yule, angalia namna timu inavyo perform in his absense.Mkuu ukiishiwa matusi (ya kumtukana) niambie nikuazime.
Baada ya mechi alisemaje huyu mzalamu.Jurgen Klopp’s first question at the press conference:
“The first question I have. Did it look like this yesterday when Man United was here as well?”
Reporters:
“NO.”
View attachment 2286247

Kauli ya Romano akimjibu mtu anaesema FDJ hataki kuja UTDHuyu dogo anatupotezea muda tuView attachment 2290835
Defensive mid wetu huyo tayari,
Am more than delighted aiseeDefensive mid wetu huyo tayari,
Ila ndo kafuupi balaa
Anacheza ila sio main position yake. Amesajiliwa sababu hatuna beki wa kati wa kushoti anayetumia mguu wa kushoto.Chief-Mkwawa hivi huyu Lisandro anaweza kucheza DM kama watu wanavyosemasema?
Achana na sisi wewe,tuache tufurahi japo kwa kidogo tulichonacho,yaani tufungwe tunune,tushinde tunune pia????kwendraaaaaaaa,
Kwanza tungefungwa hizo goli mngetuacha nyie???
Halaf acha kumfananisha ETH na vitu wa ajabu ajabu


tufurahi pamoja
we are happy, happy so happy
