Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,480
Ngoma bado ngumu, ukitoa Hawa waandishi uchwara Tier 1 wetu wanasema deal linakwamishwa na Deferred wages.FDJ atakuja kweli?.
Ducker anasema De jong yupo Open kuja United ila hataki kuacha Hela zake Barcelona, hivyo hadi alipwe ndio ataconsider kuja UTD. Jamaa anawadai Barca hela za kutosha, Barcelona walimkopa kipindi cha Covid.
Toka Tarehe 28 ilishakuwa reported Kwamba Fee imekubaliwa sisi na Barcelona tumemalizana ni kusolve tu issue ya Mshahara ya FDJ.
jamaa mkali sana kwenye kazi ila pia anajenga mahusiano mazuri na wachezaji wake.
