Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

FDJ atakuja kweli?.
Ngoma bado ngumu, ukitoa Hawa waandishi uchwara Tier 1 wetu wanasema deal linakwamishwa na Deferred wages.

Ducker anasema De jong yupo Open kuja United ila hataki kuacha Hela zake Barcelona, hivyo hadi alipwe ndio ataconsider kuja UTD. Jamaa anawadai Barca hela za kutosha, Barcelona walimkopa kipindi cha Covid.

Toka Tarehe 28 ilishakuwa reported Kwamba Fee imekubaliwa sisi na Barcelona tumemalizana ni kusolve tu issue ya Mshahara ya FDJ.
 
FDJ atakuja kweli?.
Breaking news,ingawa tushaanza kuchoka sasa
Screenshot_20220714-125524_Twitter.jpg
 
Ni yule dogo na martinez ndo tumesajili tangia dirisha lifunguliwe?!

ETH ana list ipi ya wachezaji ambao anataka kuwasajili?
Eriksen na Malacia Done, Martinez leo Done pia bado kufanya transaction za fuedhaa aje kufanya medical, ni done deal. Bado FDJ na Anthony. Manchester united anaplay smart. FDJ bado yeye kukubali na anawait deferred payment yake tu ndo mana 21 iko reserved for him unless otherwise. So list ya ten hag ukitoa FDJ bado Anthony though tunamkimbiza Brobby wa RB alitokea Ajax kimyakimya, Peredes wa Psg pia. Kuhusu Tielman no approach made wala Neves. Hawa wawili itategemea deal la De jong.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani palipofikia Barca hawamtaki De Jong kuliko sisi tunavyomhitaji. Jamaa anawadai na bado wanataka aondoke kwa lazima yote ni kwasababu ya ukata uliopo Barca wanaimezea mate pesa ya United.

Barca na Madrid ni moja ya vilabu vya kishenzi kwa jinsi wanavyo-treat wachezaji wao.
 
Yani palipofikia Barca hawamtaki De Jong kuliko sisi tunavyomhitaji. Jamaa anawadai na bado wanataka aondoke kwa lazima yote ni kwasababu ya ukata uliopo Barca wanaimezea mate pesa ya United.

Barca na Madrid ni moja ya vilabu vya kishenzi kwa jinsi wanavyo-treat wachezaji wao.
Wameshakubaliana na Man u tayari
 
Back
Top Bottom