Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,631
- 11,106
Hahah! Hii project haiwezi feli japokuwa tunaweza kuwa vizuri ila kushinda kombe la PL au UEFA ni suala lingine tofauti na ubora wa timu.Kwangu mimi ikitokea hadi hii project ya EtH nayo imefeli,basi nitakuwa tayari kukubali kuwa mpira ni zama na ya kwetu itakuwa imepita kama ilivyopita ya Nottingham forest,arsenal,n.k
Kombe la kwanza la msimu tayari kibindoni.

AAMI Park

First session down under 
,Good vibes 

