Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,630
- 11,096
Second half timu ipi ilechezesha team B? Ile mechi ilikuwa vice-versa kipindi cha kwanza United walianza seniors Liverpool wakaanza team B wakapigwa 3 cha pili United wakaingia team B Liverpool wakaingia seniors wakagongwa kimoja cha nguruwe.Yupo vizuri baada ya kuwafunga timu B pre season? Mbona socha Van gal nao walifanya ivo ivotulia muombe sana ETH awavushe salama
![]()
