Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,365
- 21,740
Haya maneno mkiendelea kuongea tweeter ndio yatafanya wachezaji wa Liverpool wakikutana na man u sio mbinu za kocha Tena ni afe beki afe kipaHivi hawa Liverpool walitufungaje goli 5 bila msimu ulioisha?
Natamani ligi ianze mapema,tushampata nahodha wa jahazi letu,EtH.
Kuna watu hapa watasema ni maandalizi tu,shauri yao bana,sisi tunahesabu kikombe cha kwanza hicho kwa msimu huu.


kiufupi Kila mtu atakuwa na hasira




